Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,455
- 283,795
Hata ng'ombe zinastahili kuvuka kwa usalama , nyinyi madereva mkishalewa mnagonga mifugo ya watu bila huruma .
Kaka UCD afadhali unisaidie katika mchango wa mawazo, yale maghorofa marefu ya New York na Ulaya yalijengwa miaka ile wakati treni zikiwa ni zile za kutumia kuni lakini waliojenga walitazama kesho na kesho kutwa.Wewe inakuuma nini?? Mlizoea maendeleo yaende kwenu tu kaskazini?? Kwenu kuna viwanja vitatu eneo moja Arusha, KIA na Moshi mbona hatukulalamika acheni wivu wa kijinga!!
Maoni yako ni yale mwandishi maarufu Shakespeare anayaitaTaa huwekwa kwa ajili ya kuongoza magari/ kuweka usawa katika matumizi ya barabara kuepusha ajali! ivo cdhan kama ni issue kuwekwa taa za brbrn wilayan! tulisha kalili taa hadi kwenye msongamano wenzetu hata kama gar mbili hupita! hata kijijini uweza kuweka taa za barabarani!
Kweli siwezi kujadili na kivuli...!! Mtu mwenyewe ni kivuli mfyuuuuuu!!!Siwezi kujadili hoja na mtu mpumbavu wa kiwango chako!Tafuta mjinga mwenzako mjadiliane!
Kwakweli ukisoma michango ya watu unajua kabisa IQ ya baadhi ya watanzania bado inatambaa kabisa na haijulikani itasimama lini, yani unajadili taa za barabarani kuwekwa chato? Ni kukosa exposure au ujinga, ? Ulaya taa za barabarani zipo hadi huko mnakokuita vijijini.
Huelewi concept yaani tatizo hujui logic.
Logic iko hivi
Kama 'A' ni bora na 'A' na 'B' ni marafiki , Basi 'C'akiwa rafiki wa 'B' naye ni bora.
Nimekuandikia hivyo maana naona akili yako bado ni ya kitoto sana.
Nimetoa mifano kuwa nchi Kama hizo barabara haiwezi kufunguliwa bila taa, ndiyo maana kama chato wameweka taa Basi wamezingatia international road safety.
Sasa akili yako kwa sababu imeisha wekewa akili za mgando na kila jambo ni kupinga kila uonalo utapinga tu.
Nikukumbushe, Mimi siyo sisiemu wala ukawa. I don't want to be a slave of politicians
Mkuu, taa za barabaran zinasimamiwa na halmashauri ya mji. Serikali za mitaa chini ya baraza la madiwan ndio huamua kuweka taa barabaran na wala serikali kuu. Mkiwa na mbunge mzuri akasimamia mapato vizuri na makusanyo yakawa mazuri , kila halmashaur inaweza kufanya mambo mengi ambayo hayapo kwenye majimbo mengi...wangeweka 4-WAY STOP SIGN.
..kuweka traffic lights ktk eneo hilo ni kutumia vibaya fedha za maendeleo.
NB.
..vipi Airport ya Mwanza uliyokuwa unaipigia kelele ujenzi wake kusuasua?
..Je ni kweli fedha zimeelekezwa kujenga International airport kijijini kwa mtukufu badala ya Mwanza?
Hii mifano yenu ya Ulaya na USA, wakati mwingine muwe mnaiacha huko huko.. Changamoto za Ulaya na USA yako ni tofauti kabisa na huku Afrika. (Afrika) Bado tunamahitaji makubwa sana na changamoto ni zaidi ya hizo taa za barabarani. Mgawanyo wa rasilimali pamoja na matumizi ya pesa ya umma lazima yaende pahala ambapo kuna uhitaji mkubwa si sababu fulani katoka huko.Labda hujui road safety !?
Basi. tambua kuwa jambo mojawapo ni traffic lights
Mfano njoo, Ulaya, USA, Japan yaani barabara bila taa haiwezi kufunguliwa.
Kwa hiyo, taa za barabarani huwa siyo jambo la kuwekea kigugumizi bali ni lazima ziwepo mara tu ujenzi wa barabara unapoisha.
Taa za kuongozea Magari kwenye barabara yoyote ile ni sawa na samaki na maji havitenganishwi.
Mkuu, taa za barabaran zinasimamiwa na halmashauri ya mji. Serikali za mitaa chini ya baraza la madiwan ndio huamua kuweka taa barabaran na wala serikali kuu. Mkiwa na mbunge mzuri akasimamia mapato vizuri na makusanyo yakawa mazuri , kila halmashaur inaweza kufanya mambo mengi ambayo hayapo kwenye majimbo mengi.
Tatizo tunaendekeza rushwa na kujuana sehem zetu zote za kazi. Wenzetu wakifanikisha jambo tunaona ni upendeleo. Kwani taa za barabaran zinazotumia sola ni tsh ngapi. Au we unadhan taa zinatakiwa kuwa Dar tu.
Wahi FacebookKweli siwezi kujadili na kivuli...!! Mtu mwenyewe ni kivuli mfyuuuuuu!!!
Kuna nini mkuu??Wahi Facebook
Bei yake ndogo hsta milioni thelathini haifiki tatizo ninaloona hapa ni wivu wa maendeleo na chuki binafsi..Mkuu, taa za barabaran zinasimamiwa na halmashauri ya mji. Serikali za mitaa chini ya baraza la madiwan ndio huamua kuweka taa barabaran na wala serikali kuu. Mkiwa na mbunge mzuri akasimamia mapato vizuri na makusanyo yakawa mazuri , kila halmashaur inaweza kufanya mambo mengi ambayo hayapo kwenye majimbo mengi.
Tatizo tunaendekeza rushwa na kujuana sehem zetu zote za kazi. Wenzetu wakifanikisha jambo tunaona ni upendeleo. Kwani taa za barabaran zinazotumia sola ni tsh ngapi. Au we unadhan taa zinatakiwa kuwa Dar tu.