Membensamba
Senior Member
- Nov 4, 2010
- 157
- 10
Kutokana na Makamba na Chatanda kufanikiwa kuonesha dunia hali halisi ya ccm kuhusu uozo wake, na umahiri wa chadema, kwa matamshi yao mbalimbali, kuna uwezekano mkubwa uongozi wa cdm kuwazawadia tuzo ya mwaka, ya wanasiasa bora.
Nashauri wanajf muwarahisishie viongozi wa cdm kazi ya kuorodhesha kauli murua za Makamba na M. Chatanda. Ya kwanza labda ni ile aliyotoa wakati wa mchakato wa kura ya maoni kuwa "kila mgombea wa ccm ametoa rushwa, tofauti ni kiwango tu." Endelea na listi tafadhali.
Nashauri wanajf muwarahisishie viongozi wa cdm kazi ya kuorodhesha kauli murua za Makamba na M. Chatanda. Ya kwanza labda ni ile aliyotoa wakati wa mchakato wa kura ya maoni kuwa "kila mgombea wa ccm ametoa rushwa, tofauti ni kiwango tu." Endelea na listi tafadhali.