Chatanda azua tena mvutano CCM, Chadema Arusha

Chatanda azua tena mvutano CCM, Chadema Arusha

nani kaiona picha ya mary chatanda?msaada plz ili iwe rahisi tutakapoanza zoezi la kumtenga katka kila nyanja ndani ya jamii kwani ndiye muhusika mkuu wa yote ya liyotokea arusha,hivi makazi yake haswa yapo wapi?
 
Naunga mkono hoja ni muhimu sura ya huyu pashkuna ikawekwa peupe tumjue muuaji wetu.
 
Anapaswa kuwa katika orodha ya kuwasilishwa kwa Ocampo kwa mauaji yalitotokea
 
iyo kweli mi binafsi nahitaji kumuona kwa sura huyu nduli wa kike,mwenye ujuzi wa kuropoka. Mwanamke asiye na staa,anazania siasa kitchen part. I hate you B.....ch
 
nadhani picha yake itakuwa kwenye orodha ya wabunge. wenye muda waangalie kwenywe tovuti ya bunge

macinkus
 
nani kaiona picha ya mary chatanda?msaada plz ili iwe rahisi tutakapoanza zoezi la kumtenga katka kila nyanja ndani ya jamii kwani ndiye muhusika mkuu wa yote ya liyotokea arusha,hivi makazi yake haswa yapo wapi?

Waandishi wa habari wanasema wakimpiga picha huwa zinaungua hazitoki vizuri
 
She used to be a night hawker pale maeneo ya Equator Hotel.
Nahisi kuna mkubwa aligonga ndo akapewa ukatibu wa Mkoa. Ana sura mbaya usiombe kuona picha yake.
 
She used to be a night hawker pale maeneo ya Equator Hotel.
Nahisi kuna mkubwa aligonga ndo akapewa ukatibu wa Mkoa. Ana sura mbaya usiombe kuona picha yake.

Heee kumbe chakula ya wanene? Ndo maana anathubutu kulopoka lopoka anajua watamkingia kifua
 
wakuu jokes aside, hivi kweli mtu akisoma hiyo heading hapo ataelewa nini? mbona tukiingia kwenye thread yenyewe inakua kama udaku tena?? and how many threads regarding Mary can we open??

simpendi huyo dada lakini tukienda mtindo huu, ataishia kutudharau mazee
 
Ndo walikunywa maji ya bendera hao vyama vingine kwao ni takataka.
Very myopic
 
Mary Chitanda sio jina lake halisi! Sitatoa details nyingine kwa sasa!
 
wakuu jokes aside, hivi kweli mtu akisoma hiyo heading hapo ataelewa nini? mbona tukiingia kwenye thread yenyewe inakua kama udaku tena?? and how many threads regarding Mary can we open??

simpendi huyo dada lakini tukienda mtindo huu, ataishia kutudharau mazee


Yaani burudani za bure haziishi humu JF
 
Nimecheki katika website ya bunge, ni kweli picha yake haipo. Kazi kwelikweli................
 
Mary Chitanda sio jina lake halisi! Sitatoa details nyingine kwa sasa!

Baba Enock,

Hilo jina ni la kwake kabisa, yaani ni halisi kwani ktk website ya bunge jina hilo lipo, sema hawajaweka picha yake. Ingia katika website ya bunge, search jina Mary utaona Chitanda
 
Mmakonde wa wapi? Newala? Maana kikwete kakaa sana huko! Au??
 
Back
Top Bottom