Chatanda azua tena mvutano CCM, Chadema Arusha

Chatanda azua tena mvutano CCM, Chadema Arusha

Katika viongozi wote wa kisiasa na kidini waliozungumza kuhusiana na tukio la mauaji ya arusha, ni hawa viongozi watatu ndiyo walionekana kuwa na mtazamo finyu na uwezo uwezo mdogo wa kufikiri ,kwani haiingii akilini eti tu kwa sababu ya maslahi binafsi ya kisiasa unakuwa mtu usiyejali hata utu wa mwenzio,Chatanda na makamba wakishiorikiana na Tambwe wanachimba kaburi la pamoja la chama cha mapinduzi,ccm kama kweli ccm ina nia ya dhati kubaki kwenye siasa ni vema ikazisoma alama za nyakati na kuwastaafisha mamluki hawa ndani ya ccm haraka iwezekanavyo, kwa sababu sura zao hawa viongozi watatu ni hasira ya umma kwa ccm.
 
kama kuna watu wa kukumbukwa kwa kuifanyanya tanzania iunze 2011 vibaya ni hawa watu wawili, na ndiyo the most hated people in Tanzania at the moment,hawa hawafai kuliko hata kushindwa kwa serikali kuwajibika ,popote jina la makamba linapotamkwa hasira za watu zinaongezeka , makamba na chatanda hawatufai wala hawafai kuitwa watanzania.inauma na inaumiza kuwa na watanzania wa namna hii. ccm wafukuzeni hawa wanakiua chama.
 
Mimi bora nifungiwe maisha humu jamvini, lakini nasema wazi kuwa haw watu wawili mtu na hawara yake wanastahili kuuliwa
 
Jamani hizi post mbona zinajirudia rudia tu. kwani lazima kuanzisha post mpya, waweza changia zilizopo
 
kama kuna watu wa kukumbukwa kwa kuifanyanya tanzania iunze 2011 vibaya ni hawa watu wawili, na ndiyo the most hated people in Tanzania at the moment,hawa hawafai kuliko hata kushindwa kwa serikali kuwajibika ,popote jina la makamba linapotamkwa hasira za watu zinaongezeka , makamba na chatanda hawatufai wala hawafai kuitwa watanzania.inauma na inaumiza kuwa na watanzania wa namna hii. ccm wafukuzeni hawa wanakiua chama.
- Kwa sababu ya hiyo RED hapo juu ni bora waendelee mpaka 2014,
Serikali hii ina jina jipya sasa hivi " Nyanya Damu" Vampire BeWare
 
nani kaiona picha ya mary chatanda?msaada plz ili iwe rahisi tutakapoanza zoezi la kumtenga katka kila nyanja ndani ya jamii kwani ndiye muhusika mkuu wa yote ya liyotokea arusha,hivi makazi yake haswa yapo wapi?
Huu upupu ulouandika ndo umenisaidia vipi kumfaham huyu muuwaji!?
 
Baba Enock,

Hilo jina ni la kwake kabisa, yaani ni halisi kwani ktk website ya bunge jina hilo lipo, sema hawajaweka picha yake. Ingia katika website ya bunge, search jina Mary utaona Chitanda

Sehemu zote "official" huyu mwanamke anajulikana kwa jina hilo "Mary Chatanda" lakini the naked truth is, hilo siyo jina lake halisi - wakati ukifika nitatoa details zake! Nipe muda kidogo
 
Makamba ndiye chanzo. Na kama ulifuatilia vizuri, ile statement, eti kama mnataka (Maaskofu) vueni majoho tukutane uwnjani kwenye siasa. Hizi ni sentensi za makamba. Ndo maana Askofu Laizer alisema, Makamba amemwambukiza Chatanda.
 
Hivi hii mahakama ya makosa ya kihalifu ya kimataifa,wanasemaje kuhusu makamba, mwema na chatanda!au mpaka wapelekewe malalamiko?na kama ni hivyo chadema vipi mmeshaenda?
 
Usiwalum, Wale wachawi wa Romania wanaotishia kuiloga nchi yao isahau kuwadai kodi, walifanya majaribio yao kwa Makamba, Chatanda, Tambwe, Werema, Ngereja na Sophia Simba (Japo huyu anaonekana ameanza kupona katulia siku hizi). Baada ya majaribio wamebaini uchawi wao unafaa hasa na sasa wanauhakika na uchawi wao.
 
tumtafute naye tumchalange mapanga kwanin hatuna silaha za moto km ccm
 
She was in Morogoro before being transferred to Arusha. Wadau wa Moro wanaweza kupata picha yake, hata iliyopigwa kwenye kitchen parties, au pale Moro Hotel alipokuwa akivinjari.
 
wakuu jokes aside, hivi kweli mtu akisoma hiyo heading hapo ataelewa nini? mbona tukiingia kwenye thread yenyewe inakua kama udaku tena?? and how many threads regarding Mary can we open??

simpendi huyo dada lakini tukienda mtindo huu, ataishia kutudharau mazee

At least wee unaliona hilo, hata hivyo umechelewa kutoa tahadhari.
Kwa mtu mwenye akili zake timamu huwa hashughulishwi na maneno yanayosemwa humu, in short tayari JF ishadharauriwa siku nyingi tu.
 
nimetafuta picha kwenye google bila mafanikio

Mkulu hata mimi nimeifanyia kazi kutafuta picha ya huyu Nduli wa kike kwenye Google bila mafanikio lakini bado sijakata tamaa! ninahamu kubwa mno ya kumjua kisura:doh:
 
Mbunge+wa+Korogwe+mjini+Yusuph+Nassir+Akiongea+Mbunge+viti+maalum+%2528CCM%2529+mkoa+Tanga+Mary+Chatanda.JPG


Mbunge wa Korogwe mjini Yusuph Nassir Akiongea Mbunge viti maalum(CCM)mkoa Tanga Mary Chatanda
 
Back
Top Bottom