Chanzo cha mapenzi ya jinsia moja Afrika Mashariki

Chanzo cha mapenzi ya jinsia moja Afrika Mashariki

Misikiti ya Maimamu Mashoga wawili waitwao Daaliye Abdullah wa USA na Nur Warsame wa CANADA ndio wenye waumini wengi siku hizi.

Wabillah Tawfiq.
 
Ile style ya kubinuliana Mikun*du kila siku mswalipo inajaza mashoga huko Masjid yakhee....!


Wabillah Tawfiq

Nakuona unapiga makelele ya Halleluya Bwana Ametenda wakati Baba Askof anavalishwa Pete ya ndoa na Mwanaume mwenzie madhabahuni
 
Hawo ni mashetani , wanaitimia biblia vibaya. Kwenye biblia kakuna maandiko yanayoruhusu ushoga. Hivyo hakuna dini inayoruhusu huwo ujinga. Hawo wanaofanya hivyo wametawaliwa na shetani.
Teeh teeh teeh

We mamdogo kwa vile nimekuwekea wazungu unajifanya eti shetani sijui shetani kawatawala.

Wakati watu wanabokoana bila khiyana tena humo humo makanisani kwa yesu kristo.

Ila ningeweka za warabu ingekua kawaida yao amma kweli nyie makafiri unafki upo damuni.
 
Wazungu wanachukia pedophile wakati wao ndo wanaongoza kuwafanyia.

We bibi lazima utakua umekunywa pombe kabla ya kuingia umu.

Nenda mbaya zaidi mpaka makanisani khasa kanisa katoliki wanalawiti vitoto na Papa kakili kosa hilo mara nyingi.

Au. we mwenzetu hupo sayari ya maazi.
Unaelewa maana ya peadophile lakini? Hayo ya makanisani unayajua kwakua wazungu ni wa wazi mno
 
Nakuona unapiga makelele ya Halleluya Bwana Ametenda wakati Baba Askof anavalishwa Pete ya ndoa na Mwanaume mwenzie
Hapana yakhee...hayo makelele wanapiga wa masjid wakati wakiwainamishia marijali wenzao kule masjid kila siku...!

Ashakhum si matusi wakimaliza wanasema ALLAH AKHBAR
 
Napita post kwa post nione kama kuna mtu yeyote kauliza uhusiano wa Biriani kua na mafuta na huo ushoga bado sijamuona mpaka nilipofikia, wewe Prenge naomba unipe uhusiano wa biriani zilizokua zinaliwa na uhusiano wa ulichokileta.
 
Teeh teeh teeh.

Dada huwezi kuondoa ukweli kwamba wazungu wanapenda mno tena sana huu mchezo.

Lakini kwa vile ni makafiri wenzako wala huoni.

Ebu cheki hapa chini hawa mashoga
View attachment 680523
Hapo ni kanisani na tazama kwenye back ground ya hiyo picha utaona kisanamu cha bikra maria.

Yaani nyie makafiri mpaka makanisani mnalawitiana achilia mbali kufungishana ndoa.
Mtoa post kazungumzia Afrika mashariki. Lakini hata huko Ulaya huo mchezo ulifika na waarabu kipindi hicho cha utumwa. Hapo ndipo wazungu na wao walipoanza huon mchezo kutoka kwa waarabu.
Aliposema Allah kwenye Quran n viumbe waso na fikra hawa makufar ..yanajithibitisha
 
Wewe bibi bwana punguza kunywa viroba na divai basi.

Yaani hata unachoandika hakieleweki hivi ukiandika,"unaelekea maana ya pedophile lakini?" hapa unamaanisha nini maana hata hueleweki.
Bibi ni mchakarikaji inabidi adeal na wewe kukuelewesha huku anaendelea na deals zingine.

Yupo sahihi kukuuliza maana ya pedophile.
 
Inawezekana lakini..ila hawa gays dah usiombe ukutane nao sehemu ya taasisi labda shuleni,chuoni na n.k,wakakupenda dah utaishi maisha magumu sana.
 
Ndio ujue kuna utofauti

Kuna Nchi Mwanaume kufir.wa ni haki yake ya kubinadamu na imeandikwa kwenye Katiba na Sheria za Nchi nchi zingine kufanyiwa hivyo Mwanaume ni kosa la jinai haijalishi unapenda au hupendi

Imagine Mtoto wako wa Kiume anakuletea Nyumbani kukutambulisha Mwanaume anaemlawiti Eti ndio Uhuru wa kujiamulia mambo yake
Nyie huwa mnawaza "kutambulishwa" tu????

😀
 
Teeh teeh teeh

We mamdogo kwa vile nimekuwekea wazungu unajifanya eti shetani sijui shetani kawatawala.

Wakati watu wanabokoana bila khiyana tena humo humo makanisani kwa yesu kristo.

Ila ningeweka za warabu ingekua kawaida yao amma kweli nyie makafiri unafki upo damuni.
Wallah....amasema Mtume wetu yakwambaaa....ingawa ninyi hamkumwonja mtoto Aisha, basi onjaneni ninyi kwa ninyi mashabaab....[emoji23] [emoji23] [emoji23]


tapatalk_1513619073186.jpeg
 
Kwa East Africa ni Waarabu na ndio maana hakuna nchi yenye mashoga wengi duniani kuliko Saudia. Wakaleta upumbavu wao huku East Africa.
Saudia hivi kuna mashoga kweli?maana kule wapo makini sana na sheria..kuna nyuzi aliandika [HASHTAG]#thebold[/HASHTAG].kuhusu umakini wa sheria saudia.kana kwamba ukibainika wewe ni gay,unatoka nje ya ndoa,unadeti na mwanamke ambaye hujamuoa...basi kifo lazima kikuhusu tena cha ajabu unachinjwa hazarani
 
SI nashangaa tukwagaambila hizo dini zao feki turudi mzimuni kwa mababu, bado wanabisha, wanne star, twende tukatambike mizimu....
Waabudu mizimu huongozwa na shetani. Wewe fuata mafundisho klga biblia. Usijali tabia za wengine eti tu kwasababu ni viongozi wa dini. Hawo viongozi wanaongozwa na shetani. Shetani kazi yake ni kuwapotosha wanadamu wasimjuwe mungu na kutofuata mafundisho yake.
 
Wewe bibi bwana punguza kunywa viroba na divai basi.

Yaani hata unachoandika hakieleweki hivi ukiandika,"unaelekea maana ya pedophile lakini?" hapa unamaanisha nini maana hata hueleweki.
Weyeeeee mfuasi wa Mudy mbakaji wa Aisha weye....!

Una undugu na Hamida tak'o laini wa magomeni mapipa kuuutwa kutuvalia ushungi na kuficha tupu ya nyuma kwa ajili ya kukamilisha sunna ya sheikh wake usiku yakhee?
 
Mkuu safi sana umemtoa kwnye njia. yan kuna watu ukiwataja waarabu akili zao automatically zinaswitch to muslims....poor minded people
Ukweli ni ngumu kuutenganisha Uislamu na uarabu, ila ki imani si sahihi kuunganisha tabia ya mtu na imani yake. Ninaamini, imani iliyo dhabit kabisa kuwa hata kwenye hayo makanisa walioruhusu huo uhayawani kuna wengine wengi tu hawaungi huo ubaradhuli wa uongozi wao. Vivo hivyo ukija kwenye Uislamu, tupo wengi tusioshabikia wala kufungamana naugaidi kwa namna yoyote ile. So kumtuhumu mtu kwa kabila au imani yake huwatendei haki wengine. Kila mtu yuafanya matendo kwa utashi wake.
 
Uislamu uliletwa na waarabu hivyo ni rahisi sana mtu mwenye uelewa mdogo kuhusianisha chochote kinachofanywa na waarabu na uislamu...

Ukristo uliletwa na wazungu pia ni rahisi sana kwa mtu asiyejielewa kuhusianisha chochote kinachofanywa na wazungu na ukristo.

Wazungu na waarabu wote wana mazuri na mabaya yao, tatizo tunashindwa kutathmini chochote kwa fikra huru kwa kuwa wametuteka kwa imani walizotuletea, na katika hilo wamefanikiwa sana.

Bora dini zetu za kiafrila huwez kusikia upuuzi wa ushoga
Wazungu ndio wamewalazimisha muwe mashoga????

Asee wewe ni juhhha kabisa, pole sana!!
 
Back
Top Bottom