Chanzo cha mapenzi ya jinsia moja Afrika Mashariki

Chanzo cha mapenzi ya jinsia moja Afrika Mashariki

Acha uongo na uzushi we bibi.

Yaani nyie makafiri mpaka umo makanisani mnafungishana ndoa za mashoga halafu ujifanye mnachukia.

Teeh ebu angalia hapa chini.
View attachment 681913
Mashoga hao ndani ya kanisa na biblia wameshikishwa halafu useme mnachukia.

Acheni unafki nyie watu.
Dakika tano za mtu kuingia Google anaweza kupata info za kila anachotaka haya mapicha unayoyaleta hayapingi ukweli kwamba kufi.ra.na ni dhambi kulingana na biblia ila watu wameamua kuyafanya wenyewe.

Ni kama nyinyi mnavyosema dini haijasema ugaidi ni sahihi isipokua wanaofanya hivyo wanajitenga na uislamu.

Haya jisomee. Na video ya mashoga wakifunga ndoa huko Saudi Arabia kaiangalie.

Meet America’s first openly gay imam

The hidden existence of female homosexuality in Islam

 
Ni kweli yakhee...hata Imam shoga aitwaye Nur Warsame ana waumin wengi sana huko Canada...wanaongezeka kila siku.


Nimeishi kule Oman na Saudia miaka ya 2000 mwanzoni kikazi....aisee waarab wana kasumba. Yaani mwanamme unaruhusiwa kuwa na rafiki wa kiume, akija kukutembelea nyumbani mnakwenda chumbani kujifungia huku wazazi na ndugu wakiwa nje.....kama kufilana humo ndani mtafilana tu na hakuna atakaye waingilia. Ila akija mwanamke kukutembelea, kamwe hairuhusiwi kwenda naye chumbani na hauruhusiwi tu kukaa naye karibu. Kwa hali hii....Uarabuni use.nge umeenea sana na hata mademu wanasagana sana mashuleni (shule za mabweni) kwa kuzidiwa na nyege. Kuna vingine siwezi kuvisema hapa, ila nyege haivumiliki kamwe.
 
Nimeishi kule Oman na Saudia miaka ya 2000 mwanzoni kikazi....aisee waarab wana kasumba. Yaani mwanamme unaruhusiwa kuwa na rafiki wa kiume, akija kukutembelea nyumbani mnakwenda chumbani kujifungia huku wazazi na ndugu wakiwa nje.....kama kufilana humo ndani mtafilana tu na hakuna atakaye waingilia. Ila akija mwanamke kukutembelea, kamwe hairuhusiwi kwenda naye chumbani na hauruhusiwi tu kukaa naye karibu. Kwa hali hii....Uarabuni use.nge umeenea sana na hata mademu wanasagana sana mashuleni (shule za mabweni) kwa kuzidiwa na nyege. Kuna vingine siwezi kuvisema hapa, ila nyege haivumiliki kamwe.
Wachafu sana hao sheikh....usione wamejitundika shungi zao.
 
Dakika tano za mtu kuingia Google anaweza kupata info za kila anachotaka haya mapicha unayoyaleta hayapingi ukweli kwamba kufi.ra.na ni dhambi kulingana na biblia ila watu wameamua kuyafanya wenyewe.

Ni kama nyinyi mnavyosema dini haijasema ugaidi ni sahihi isipokua wanaofanya hivyo wanajitenga na uislamu.

Haya jisomee. Na video ya mashoga wakifunga ndoa huko Saudi Arabia kaiangalie.

Meet America’s first openly gay imam

The hidden existence of female homosexuality in Islam


Teeh teeh naona kafir bin hudud umekuja mbio kuokoa jahazi.

Sheria za kiislamu ziko wazi tu hazina mazonge na zinatekelezwa kila kukicha kwenye nchi za kiislamu.

Huko hamna mambo ya kidonadi Cameron na James delicious

Uko ukikamatwa tu unajihusisha na hivyo vitendo adhabu yake ni kifo kwa mujibu wa Qur'an.

Waislamu wanaupinga huu mchezo ambao wskristo mnaukumbatia mpaka makanisani.

Unamkumbuka yule jamaa wa afrika kusini kafiri aliyejifanya muislamu eti kafungua msikiti mashoga na wanawake waje kuswali pamoja.

Nafkiri unajua kilichomtokea na huo msikit mpaka leo hii ni gofu.

Sasa nyie mpaka wachungaji mashoga mnao tena kwa kujitangaza akina Desmond Tutu mnao mnawabariki tu.

Amma kweli ukafiri nuksi.
 
Teeh teeh naona kafir bin hudud umekuja mbio kuokoa jahazi.

Sheria za kiislamu ziko wazi tu hazina mazonge na zinatekelezwa kila kukicha kwenye nchi za kiislamu.

Huko hamna mambo ya kidonadi Cameron na James delicious

Uko ukikamatwa tu unajihusisha na hivyo vitendo adhabu take ni kifo kwa mujibu wa Qur'an.

Waislamu wanaupinga huu mchezo ambao wskristo mnaukumbatia mpaka makanisani.

Unamkumbuka yule jamaa wa afrika kusini kafiri aliyejifanya muislamu eti kafungua msikiti mashoga na wanawake waje kuswali pamoja.

Nafkiri unajua kilichomtokea na huo msikit mpaka leo hii ni gofu.

Sasa nyie mpaka wachungaji mashoga tena kwa kujitangaza akina Desmond Tutu mnao mnawabariki tu.

Amma kweli ukafiri nuksi.
Unajisikiaje unapoandika lugha haujui maana yake?

IMG_20180122_094923.png


Hizo ni sheria za kiislamu kuran inasemaje?

Sisi biblia inakataza.

Bible Gateway passage: 1 Corinthians 6:9-10 - New International Version

Mkaona haitoshi sasa ni kufi.rana huku mmevaa kanzu

images%282%29.jpg



Halafu pia wakristo wengi wanakua kazini ndiyo maana hawana muda wa kuzunguka mtandaoni kukuletea majibu. Si unajua tumesoma kushinda nyinyi.
 
One of stubborn mad infidel Desmond tutu ...aliwah kusema ikiwa kuna pepo ambayo mashoga hawatakiw yeye hataingia ......askofu huyo ana tuzo yao inaitwa nobel
[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Weyeeeee mfuasi wa Mudy mbakaji wa Aisha weye....!

Una undugu na Hamida tak'o laini wa magomeni mapipa kuuutwa kutuvalia ushungi na kuficha tupu ya nyuma kwa ajili ya kukamilisha sunna ya sheikh wake usiku yakhee?
Tulia we kibibi mwajuma deladela.

Yaani we kibibi tangia upigwe talaka na yule bwana ako wa kiarabu basi una hasira na warabu kama mbogo.

Halafu acha michezo ya kupendwa kupakatwa we bibi ushazeeka tulia ulee wajukuu.
 
Mayahudi na waarabu wanapigana nyuma kitambo sana

Wao ndo wameifundisha dunia

Kwa East afrika ni waarabu walileta hii makitu.

Nasema hivi hasa ni vile nilitoka huko mikoa ya bara miaka ya 80 nikiwa sijawahi kusikia hayo mamichezo nikiwa na miaka 15 na kuhamia dar. Kule hamna misikiti wala waislamu mpaka miaka ya hivi karibuni

Ni ukristo na wenye imani zetu za asili tu kule. Kufika dar, lasalaleh, na nikafikia maeneo ya magomeni. Ni rahisi kuona kuwa hapa kwetu waarabu walileta hii michezo kwasababu hii.

Nashindwa kuamini kuwa ni miongoni mwa makabila yetu East afrika walikuwa na mambo Haya kabla ya wageni. Na siamini sana Kama wazungu ndo walituletea maana huko kwetu bara wazungu walikuwa wakutosha tangia zamani sana sasa inakuwaje kwetu vijijini watu walikuwa hawapigani nyuma tangia miaka hiyo
 
Mapenzi ya jinsia moja umeanza muda mrefu sana tangu karne ya 8. Bahati nzuri kipindi hiki hakukuwa na media kama sasa. Ni kipindi ambacho biashara ya utumwa ilishamiri sana.

Wanaume ndio walikuwa wanahitajika zaidi kuliko wanawake. Hivyo basi kutokana na kusafiri muda mrefu kwenye majahazi, historia iliyofichwa inaeleza wale MABWANA walikuwa wanawafanyia vibaya kinyume na maumbile wale watumwa.

Unabisha? Hii ilitokana na kukaa muda mrefu njiani, chakula kikuu kilikuwa biriani ambayo ina mafuta mengi sana. Biriani ilipunguza gharama sana muda mwingi watumwa waliishia kunywa maji...

Back to topic: Fuatilia maeneo mengi ambayo wamepita wale MABWANA na kukaa muda mrefu kuna haya mambo sana..
Hata shaitwan alikuwa mtakatifu kabla ya kumuasi MUNGU BABA hivyo Kwa kuwepo ushoga muda mrefu haku halalalishi uendelee kuwepo!
 
Hii ipo kwenye vitabu vya historia mashuleni ama umetunga wewe, na ama unahusika. Maana umeeleza sana.
 
We kafir bwana unanifurahisha kweli.

Yaani wewe ushoga wote wa makanisani huuoni

Teeh yani nyie moto unawahusu tu.

Kwa kukumbatia ushoga Mungu lazima awachome moto.
Muislamu mwenzako huyu hapa

images%283%29.jpg


Anaitwa Nasser el Sonbaty alikua anakasirika watu kuwasema na kuwasumbua mashoga.
 
Mapenzi ya jinsia moja umeanza muda mrefu sana tangu karne ya 8. Bahati nzuri kipindi hiki hakukuwa na media kama sasa. Ni kipindi ambacho biashara ya utumwa ilishamiri sana.

Wanaume ndio walikuwa wanahitajika zaidi kuliko wanawake. Hivyo basi kutokana na kusafiri muda mrefu kwenye majahazi, historia iliyofichwa inaeleza wale MABWANA walikuwa wanawafanyia vibaya kinyume na maumbile wale watumwa.

Unabisha? Hii ilitokana na kukaa muda mrefu njiani, chakula kikuu kilikuwa biriani ambayo ina mafuta mengi sana. Biriani ilipunguza gharama sana muda mwingi watumwa waliishia kunywa maji...

Back to topic: Fuatilia maeneo mengi ambayo wamepita wale MABWANA na kukaa muda mrefu kuna haya mambo sana..
Hayajaanza karne ya nane. Lot aliishi karne ya ngapi? Haya mambo yalianza na wanadamu wa kwanza kabisa!
 
Napita post kwa post nione kama kuna mtu yeyote kauliza uhusiano wa Biriani kua na mafuta na huo ushoga bado sijamuona mpaka nilipofikia, wewe Prenge naomba unipe uhusiano wa biriani zilizokua zinaliwa na uhusiano wa ulichokileta.
Biriani ilitumika kupunguza gharama za chakula@ kitaalamu mafuta uongeza hisia za mapenzi
 
Biriani ilitumika kupunguza gharama za chakula@ kitaalamu mafuta uongeza hisia za mapenzi
Naomba reference ya hiyo kusema mafuta huongeza hisia za mapenzi.

Ila mafuta ndiyo yanasababisha high blood pressure si ndiyo?

Unataka kusema dawa za kuongeza hamu ya tendo component yake kubwa ni mafuta?
 
Sasa Kama Saudia mashoga wengi lakin hawajapitisha Sheria ya kuruhusu Ushoga , Ulaya na makanisani wapo wachache tayari washaruhusu Ushoga jee wakiwa wengi Kama huko si mtaambiwa msipikuwa mashoga hamtaona ufalme wa Milele?
Tatizo lako ushawaza udini wametaja vatican naona unatia omo kila post punguza povu
 
Back
Top Bottom