Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 10,498
- 15,161
Mbona mizigo ya kuvunja chaga mkuu
Mbona mizigo ya kuvunja chaga mkuu
Subhannallah mbona unajiapiza hivyo, hiyo dini yako ?Bi idhin llah
tupe ubuyuMshana Jr kuna siku km saa 7 na nusu usiku humu humu ndani kuna faili lilishushwa chaaa.
Fulani kaachika kwa sbb ya kusagana na ana watoto wawili teena ile ID naikumbuka vzr. Tulichangia km watu nne hivi uzi ukapote mpk leo.
Na bahati nzuri ID zoote za ke/me zikawekwa.

Ki vpSubhannallah mbona unajiapiza hivyo, hiyo dini yako ?
🚮Yes,
sina tatizo na mtu,
nchi imetulia chini ya serikali sikivu ya CCM, na pale juu Dr.Samia Suluhu Hassan amekaa vizuri kwenye nafasi yake, basi kila kona ya nchi mambo ni bam bam, mwemwere mwemwere![]()
Sawa sawa👏Kwanza kama unajua mapenzi ninini, na umeshawahi kupendwa huwezi kuwa na mtu wa hivyo hata kwa mwezi mmoja, sababu low-key mtu wa hivyo hawezi kukupenda fully.
Akili zao haziwaruhusu kukupenda/kukupa mapenzi walau kwa asilimia 70, they are so mean, rude and in most cases they will give you backhanded compliments… In their mind wewe ni distraction unayemzuia kuwa na yule amtakaye kwa 100%
You will never enjoy, you will never find peace na mtu wa hivyo so shortcut hapo ni kupiga chini mara moja.
However watu wengi hawajawahi kupendwa so they will settle for anything out there… Hawajui mwanaume akipenda anakuwaje na mwanamke akipenda anakuwaje so usishangae mtu akawa na mtu wa hivo miaka na miaka asigundue tatizo.
Wazazi tupende watoto wetu wakikua they will make mistakes sawa, ila mwisho wa siku they will choose better or they will stay gadem alone!
mzee ana maono sana ila watu hawajangundua hilo

Aanh ngoja bhana!mzee ana maono sana ila watu hawajangundua hilo![]()
Umeisha dadatupe ubuyu![]()
bad manners..Umeisha dada
Sawa asantebad manners..
Unanisingizia! I'm not into women wala...zee la totoz in 1&2. 😎
sawa msabato wa watu!Unanisingizia! I'm not into women wala...
Kama anapelekewa moto vzr hatoweza kusimamisha Tena, lazma atajulikana tuuNa akiwa anafua mwenyewe boxer utaonaje?
Huyu atakua anatokea kanda ya pwani
Hapo tulikuwa tunaangalia mustakabali wa kuona samadi kwwenye boxa.Kama anapelekewa moto vzr hatoweza kusimamisha Tena, lazma atajulikana tuu