Changamoto za mahusiano

Changamoto za mahusiano

Mshana Jr kuna siku km saa 7 na nusu usiku humu humu ndani kuna faili lilishushwa chaaa.
Fulani kaachika kwa sbb ya kusagana na ana watoto wawili teena ile ID naikumbuka vzr. Tulichangia km watu nne hivi uzi ukapote mpk leo.
Na bahati nzuri ID zoote za ke/me zikawekwa.
Ilikuwa lini hiyo!? Ni wanachama hai?
Mshana Jr kuna siku km saa 7 na nusu usiku humu humu ndani kuna faili lilishushwa chaaa.
Fulani kaachika kwa sbb ya kusagana na ana watoto wawili teena ile ID naikumbuka vzr. Tulichangia km watu nne hivi uzi ukapote mpk leo.
Na bahati nzuri ID zoote za ke/me zikawekwa.
 
kwanza sintapanic,
nitathibitisha na kujiridhisha kwanza ikiwa ni kweli au nimeona maruwe ruwe tu,

jambo la pili,
kama mwanaume kamili,
nitafanya utafiti wa kina ili kubainisha ni kitu gani hasa kilimfanya aanze kufanya hiyo chafu, na ni kipi hasa kinachochea ang'ang;ane na hiyo nonsense.

kwa hatua za awali,
Jambo la tatu,
kama mwanaume kamili,
kwa hatua za awali katika kutafuta majawabu ya changamoto hizo, sintamshirikisha mtu yeyote ispokua Mungu kuhusu hiyo changamoto. Nitamsitiri huyo pisi kali na kuhakikisha tunapambana kadiri iwezekanavyo kutafuta majawabu ya changamoto hiyo, kuidhibiti na kuiacha kabisa tabia hiyo, na hatimae sasa nawe awe miongoni mwanaharakati machamoioni wa kupambana na kuhakikisha wengine hawajitumbukizi kwenye hiyo nonsense.

Lakini,
nikikwama kuidhibiti changamoto hiyo,
ndipo sasa nitaanza kutafuata usaidizi ambao nao lazima na wenyewe uwe very credible kwangu,

na kwakweli nitamfanya pisi kali huyo awe mfano wa mabadiliko ya kimaadili miongoni mwa pisi kali wengine wanaodharauliwa kwenye jamii kwasababu ya hiyo upuuzi wa kuishi kwenye kiza cha ushetana, na kuwafanya waingie katika nuru na kuachana kabisa na hiyo chafu.

Kuna baadhi ya changamoto kwenye mahusiano, zinafaa kugeuzwa na kutumika kama fursa muhimu sana ya mabadiliko ya kijamii, kisiasa au kiuchumi.
Hakuna haja ya mwanaume kamili kupanic na kukimbia changamoto, ni muhimu sana kupambana nazo na kuzimaliza kabisa.

Mungu Ibariki Tanzania :pulpTRAVOLTA:
AI inakufichia aibu nyingi.. Ukiandika yako mwenyewe ni urojo mtupu
 
Usisubutu utaumia nimewahi kupiga mtu kwa T K O
Sikiliza miaka ile ya JK tulienda Dodoma ss tulifikia Giraffe pale.
Jioni ss mwenzatu mmoja anasema twendani pale CBE nikamuone dogo alafu twende chako ni chako Enzi hizo ipo juu.
Tumefika pale college tukamuona dogo Salam kidoho tukaanza safari mdogo mdogo by Tz 11. Kwa mguu.
Tumevuka ile road ss twende kule njia ya Giraffe mmoja wetu kabeba walet ina pesa, ina simu, kibaka alipita km upepo na ile wallets shaaaaaaaa.
Tulikuwa watatu nilimkimbiza yule kija na hata kuja kusahau pale kuna Kota Zina fensi aliruka nikaruka nae.
Kumbe wakati miye naruka yeye akawa ameirusha ile wallet kwenye mauwa.
Wale wenzangu wapo mwiziiiiii wNapiga tuuu kelele mwiziiii mxiuuuu.
Short tuu tulimkamata na wallet tuliipata ila pesa zilipotea ila simu ilirudi.
Nimekupa taadhali miye siyo wa sport sport ooohh
Najua mpo humu mnakumbuka ile habari eti
 
Back
Top Bottom