Changamoto za kuoa ukiwa “Senior Bachelor”

Changamoto za kuoa ukiwa “Senior Bachelor”

Mbona jibu rahisi? Hakuwa tayari kuzaa kabla ya ndoa.
kwa hiyo huenda aliwahi kupata mimba akazitoa, au alikuwa tayari kuzaa ila hakuwa na rutuba au ni mwaminifu au mwangalifu.
 
Nadhani changamoto kubwa zaidi ni kujua iwapo mwenzio anakupenda wewe ama status yako (ya kiuchumi au ajira). Upendo wa kweli kabisa kwetu sie old school haijalishi una pesa ama kazi nzuri, unaangalia vision aliyonayo mwenzio na kuona kama mtafika ndoto zenu pamoja.

All in all siri zote zina Mungu mwenyewe. Trust your guts jilipue tu

Sent using Jamii Forums mobile app


Tuachane na kujilipua...sijilipui hata nifike 40!

Nadhani changamoto kubwa ipo hapo pia.

I once met a lady ambaye, na ninamshukuru sana, baadaye alikuja kunieleza ukweli tu kuwa 'She was in love with the idea of me'. Maana kwa maneno yake kila binti anataka akutane na mwanaume msomi, ana kazi, probably ana gari na ana nyumba. Sasa anapokutana na wa hivyo halafu ikatokea huyo mwanaume akaonesha kumpenda binti, basi ni rahisi binti kuhisi 'this is love'.

Nilikuwa na bahati huyu alikuwa muwazi..ingawa niliumia maana nilihisi nilimpenda. But such is our fate...
 
Kwa sisi ma-senior bachelor huwa kuna changamoto kadhaa tunapata kwenye kuchagua mtu sahihi wa kuoa.

Kama ilivyo kwa wanawake hata sisi wanaume huwa tunapewa pressure sana na wazazi , ndugu, jamaa na marafiki kuhusu kuoa. Maswali kama unaoa lini? Kwanini huoi? tunakumbana nayo sana. Tushirikishane changamoto na jinsi ya kuzikabili.

1. Kwasababu age imeenda wanawake wengi waliofikia umri wa kuolewa unawaona wadogo kiumri na kimatendo(22-26)

2. Wale ambao hawakubahatika kuolewa hadi 32-35 unawaona wazee sana ingawa wewe ni mzee kuliko wao! (mwanaume hazeeki)

3. Kama uko kama mimi na misimamo ya kutotaka kuoa mwanamke aliezaa utapata tabu sana maana wengi wenye age ya kutulia (28-31) wameshazaa na watu wengine.

4.
5.
6.

Vijana nawashauri kama mnataka kuoa msichelewe sana.
Ukianza kufukuzia vibinti unakuta unashindana na watoto waliokua form 2 wakati wewe unasoma masters
 
Kwa sisi ma-senior bachelor huwa kuna changamoto kadhaa tunapata kwenye kuchagua mtu sahihi wa kuoa.

Kama ilivyo kwa wanawake hata sisi wanaume huwa tunapewa pressure sana na wazazi , ndugu, jamaa na marafiki kuhusu kuoa. Maswali kama unaoa lini? Kwanini huoi? tunakumbana nayo sana. Tushirikishane changamoto na jinsi ya kuzikabili.

1. Kwasababu age imeenda wanawake wengi waliofikia umri wa kuolewa unawaona wadogo kiumri na kimatendo(22-26)

2. Wale ambao hawakubahatika kuolewa hadi 32-35 unawaona wazee sana ingawa wewe ni mzee kuliko wao! (mwanaume hazeeki)

3. Kama uko kama mimi na misimamo ya kutotaka kuoa mwanamke aliezaa utapata tabu sana maana wengi wenye age ya kutulia (28-31) wameshazaa na watu wengine.

4.
5.
6.

Vijana nawashauri kama mnataka kuoa msichelewe sana.
31 ila sina mtoto
 
Ni changamoto kubwa niliyoipata ilikuwa ni kupenda, senior bacheloz always wanakuwa wamepita kwenye mahusiano mengi sana. Kwahiyo kupenda moyo ulishakufa kitambo hii inasababisha kigugumizi kwenye maamuzi yupi atakufaa kwa matumizi ya nyumban.
Ila changamoto nyingine ni kuacha makoloni yote na kuwa na mmoja kama njiwa. Hili ni tatizo kwakweli. Kwa wanaotaka kuoa au kuolewa fanyeni maamuzi mapema mtakuwa sugu kwenye mapenzi iwaletee shida kwenye maamuzi. Na kama unadate na senior bachelor ujue kuwa peke yako ni 2-10%tu
 
kwa hiyo huenda aliwahi kupata mimba akazitoa, au alikuwa tayari kuzaa ila hakuwa na rutuba au ni mwaminifu au mwangalifu.
Sawa Dr....umepotea sana, madini yako yanahitajika na hawa dotcom
 
Mi changamoto kubwa niliyoipata ilikuwa ni kupenda, senior bacheloz always wanakuwa wamepita kwenye mahusiano mengi sana. Kwahiyo kupenda moyo ulishakufa kitambo hii inasababisha kigugumizi kwenye maamuzi yupi atakufaa kwa matumizi ya nyumban.
Ila changamoto nyingine ni kuacha makoloni yote na kuwa na mmoja kama njiwa. Hili ni tatizo kwakweli. Kwa wanaotaka kuoa au kuolewa fanyeni maamuzi mapema mtakuwa sugu kwenye mapenzi iwaletee shida kwenye maamuzi. Na kama unadate na senior bachelor ujue kuwa peke yako ni 2-10%tu
 
Back
Top Bottom