Changamoto za kuoa ukiwa “Senior Bachelor”

Changamoto za kuoa ukiwa “Senior Bachelor”

Lakini wote ni single mothers.

Mimi.huwa nawaza ujinga inapofika kutaka kumchukua single mamy, kwamba ina maana.huyu kafumuliwa sana mpaka kazaa?? Hamu inaisha.
Mimi toka niachane na demu wangu wa chuo..chuo nilimaliza mwaka 2009 demu nimekuja kuachana mwaka 2015

Kila demu ambaye ana sifa nazotaka since 2015 lazima nikute ana mtoto

Ni demu mmoja out of six ndiye hakuwa na mtoto..na huyo si kumpenda kivile japo alinipenda saana

So nimeamua nitaoa single mother..maana nataka demu mwenye umri wa miaka kati ya 25-30

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi toka niachane na demu wangu wa chuo..chuo nilimaliza mwaka 2009 demu nimekuja kuachana mwaka 2015

Kila demu ambaye ana sifa nazotaka since 2015 lazima nikute ana mtoto

Ni demu mmoja out of six ndiye hakuwa na mtoto..na huyo si kumpenda kivile japo alinipenda saana

So nimeamua nitaoa single mother..maana nataka demu mwenye umri wa miaka kati ya 25-30

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wanawake akili zinakuwa wakizaa?
 
Nadhani changamoto kubwa zaidi ni kujua iwapo mwenzio anakupenda wewe ama status yako (ya kiuchumi au ajira). Upendo wa kweli kabisa kwetu sie old school haijalishi una pesa ama kazi nzuri, unaangalia vision aliyonayo mwenzio na kuona kama mtafika ndoto zenu pamoja.

All in all siri zote zina Mungu mwenyewe. Trust your guts jilipue tu

Sent using Jamii Forums mobile app
I wishi nikuoe
 
Sasa unakuta mwanaume hana mashine anafua mwenyewe, anapika mwenyewe, anapasi mwenyewe, chakula chake kitamu kuliko cha wanawake wengi, anaosha vyombo mwenyewe, akienda shopping anajua viungo vyote hadi tenderriser na hasahau kutokununua hata kimoja.

Sufuria zake saafi anazisugua na steelware kuchwao, anapata wageni wa kike na wa kiume kila weekend, akienda kazini ana pack chakula alichopika yeye, Wanawake wake hawapiki anawapikia wanasubiria chakula chake huku wanaangalia +EVA. Anaalikwa kwenye sherehe anahudhuria hasahau.


Sasa huyu aoe ili iweje? Anachokosa nisex tu.
Acha kunianika
 
Mimi toka niachane na demu wangu wa chuo..chuo nilimaliza mwaka 2009 demu nimekuja kuachana mwaka 2015

Kila demu ambaye ana sifa nazotaka since 2015 lazima nikute ana mtoto

Ni demu mmoja out of six ndiye hakuwa na mtoto..na huyo si kumpenda kivile japo alinipenda saana

So nimeamua nitaoa single mother..maana nataka demu mwenye umri wa miaka kati ya 25-30

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hisani yako mchukue huyohuyo single mamy na Mungu atakubariki, tusiwaogope, wapo wenye sifa nzuri.
 
Kwa hisani yako mchukue huyohuyo single mamy na Mungu atakubariki, tusiwaogope, wapo wenye sifa nzuri.
Hakuna changamoto kubwa kama ku-engage na mtu anayekwambia "mzazi mwenzangu ", yaani kila baada ya muda lazima utasikia huo msamiati "mzazi mwenzangu".

Kwa kweli kila mtu na choice yake, lakini when it comes to marriage kuoa/kuolewa na mtu mwenye mtoto/watoto unazidisha changamoto.

Nawapa kongole waliooa single parents.

Sent from my TA-1032 using Tapatalk
 
Hakuna changamoto kubwa kama ku-engage na mtu anayekwambia "mzazi mwenzangu ", yaani kila baada ya muda lazima utasikia huo msamiati "mzazi mwenzangu".

Kwa kweli kila mtu na choice yake, lakini when it comes to marriage kuoa/kuolewa na mtu mwenye mtoto/watoto unazidisha changamoto.

Nawapa kongole waliooa single parents.

Sent from my TA-1032 using Tapatalk
Au parents day shuleni inabidi waende Baba na mama sasa imagine shule ya boarding huko mbali inabidi wakae siku mbili au tatu
 
Heheheh huu uzi leo unabariki single mothers na wanawake zaidi ya miaka 30 kuwa ndo wife material
Huku ukikandia watoto wenye under 25 hahahahhaha
Mwanaume akiwa anaelekea desperate age ni kashersheeeeeee

Endeleeni kuchagua jmn lol
 
hii vita si mchezo..
ila all in all haya mambo hayana formula...
wapo waliooa singo maza na ndoa zao zazidi shamiri deile & wapo waliooa ambao hawajazaa mpk wamefika 30 kuja kushtuka kumbe sababu ni wagumba sio maamuzi!
 
Heheheh huu uzi leo unabariki single mothers na wanawake zaidi ya miaka 30 kuwa ndo wife material
Huku ukikandia watoto wenye under 25 hahahahhaha
Mwanaume akiwa anaelekea desperate age ni kashersheeeeeee

Endeleeni kuchagua jmn lol
Mwanaume hazeeki wewe.....
 
hii vita si mchezo..
ila all in all haya mambo hayana formula...
wapo waliooa singo maza na ndoa zao zazidi shamiri deile & wapo waliooa ambao hawajazaa mpk wamefika 30 kuja kushtuka kumbe sababu ni wagumba sio maamuzi!
Hujashtuka siku hizi Bibi harusi wengi wana vitumbo? Mbuzi kwenye gunia nani anataka
 
Back
Top Bottom