nsanzu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,928
- 5,770
Kuna pahala nimesema hawaolewi!? Punguza jazba singo maza
Kuna pahala nimesema hawaolewi!? Punguza jazba singo maza
Mimi naona mipango yangu ya kuoa tena imeanza kufikia kikomo
Wewe una 60 mtoto ana 37,lazima ugongeweKuoa mtoto raha sana.. wewe una 45 yeye ana 22. Unajua ikiwa 45 maisha ndio yamenoga
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio dhambi wala hakuna sehemu utakuta hili kaburi la single motherKuna pahala nimesema hawaolewi!? Punguza jazba singo maza
7 years to that timeNimejibu hili swali mara nyingi kweli....36
Huwa hawafi?Sio dhambi wala hakuna sehemu utakuta hili kaburi la single mother
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili suala linaniumiza sana kichwa. unaweza kuwa umekaa mtu anakuja nawauliza watoto "baba yenu yupo?" akidhani we ni babu yao"Sisi ma senior bachelor"
Inamaana mpaka Leo haujaoa? Angalia watoto wa ndani ya ndoa baada ya kuoa wasije kuita babu badala ya baba.
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Unakosea wapi? 😀😀Nimegundua nilitakiwa nioe mzungu waswahili siwawezi
Na wewe hujaoa?😛7 years to that time
Kwani unataka kuoa kakaangu???basi huwa nahisi una mke mwenzako hivoo???Kwa sisi ma-senior bachelor huwa kuna changamoto kadhaa tunapata kwenye kuchagua mtu sahihi wa kuoa. Kama ilivyo kwa wanawake hata sisi wanaume huwa tunapewa pressure sana na wazazi , ndugu, jamaa na marafiki kuhusu kuoa. Maswali kama unaoa lini? Kwanini huoi? tunakumbana nayo sana. Tushirikishane changamoto na jinsi ya kuzikabili.
1. Kwasababu age imeenda wanawake wengi waliofikia umri wa kuolewa unawaona wadogo kiumri na kimatendo(22-26)
2. Wale ambao hawakubahatika kuolewa hadi 32-35 unawaona wazee sana ingawa wewe ni mzee kuliko wao! (mwanaume hazeeki)
3. Kama uko kama mimi na misimamo ya kutotaka kuoa mwanamke aliezaa utapata tabu sana maana wengi wenye age ya kutulia (28-31) wameshazaa na watu wengine.
4.
5.
6.
Vijana nawashauri kama mnataka kuoa msichelewe sana.