Changamoto za kuoa ukiwa “Senior Bachelor”

Changamoto za kuoa ukiwa “Senior Bachelor”

mim
Miaka 5 kidogo, shule wengi wanamaliza 22-26
Nilimaliza shule nina miaka 30 net, sasa ningesema nijikusanye si pale unakuja kuoa unaolea manjemba ya mtaa??Ujue huu mwili una expire date ati! Usidhani utakuwa vile vile unavyojiona leo.
 
Nadhani changamoto kubwa zaidi ni kujua iwapo mwenzio anakupenda wewe ama status yako (ya kiuchumi au ajira). Upendo wa kweli kabisa kwetu sie old school haijalishi una pesa ama kazi nzuri, unaangalia vision aliyonayo mwenzio na kuona kama mtafika ndoto zenu pamoja.

All in all siri zote zina Mungu mwenyewe. Trust your guts jilipue tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sisi ma-senior bachelor huwa kuna changamoto kadhaa tunapata kwenye kuchagua mtu sahihi wa kuoa. Kama ilivyo kwa wanawake hata sisi wanaume huwa tunapewa pressure sana na wazazi , ndugu, jamaa na marafiki kuhusu kuoa. Maswali kama unaoa lini? Kwanini huoi? tunakumbana nayo sana. Tushirikishane changamoto na jinsi ya kuzikabili.
1.kwasababu age imeenda wanawake wengi waliofikia umri wa kuolewa unawaona wadogo kiumri na kimatendo(22-26)
2.wale ambao hawakubahatika kuolewa hadi 32-35 unawaona wazee sana ingawa wewe ni mzee kuliko wao! (mwanaume hazeeki)
3.kama uko kama mimi na misimamo ya kutotaka kuoa mwanamke aliezaa utapata tabu sana maana wengi wenye age ya kutulia (28-31) wameshazaa na watu wengine.
4.
5.
6.

Vijana nawashauri kama mnataka kuoa msichelewe sana.
Umri ukienda sana napo ni shida, unajikuta mabinti wadogo unawaona kama wanao tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika.

Mabinti wa miaka 25-30 wengi wan watoto bila ndoa. Kumkuta mwakamke ana miaka 30 na hana mtoto ni nadra sana.

Kwa mimi ambae msimamo wangu ni kutokuoa single mom, inanipatia shida sana ingawa mimi bado sijafikia senior bachelor.
Uongoooooo tusio na watoto tupo wengi tu sema hujachunguza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani changamoto kubwa zaidi ni kujua iwapo mwenzio anakupenda wewe ama status yako (ya kiuchumi au ajira). Upendo wa kweli kabisa kwetu sie old school haijalishi una pesa ama kazi nzuri, unaangalia vision aliyonayo mwenzio na kuona kama mtafika ndoto zenu pamoja.

All in all siri zote zina Mungu mwenyewe. Trust your guts jilipue tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye kujilipua.....
 
Namtetea, he is honest about this.
How are you by the way Rebecca.


Sent from my iPhone using JamiiForums

I’m good thanks,nimekuelewa,ila Kama umeshamake decision ni vigumu kuona potential partners kila siku unawapita, ni Kama ume build walls around yourself!
 
mim

Nilimaliza shule nina miaka 30 net, sasa ningesema nijikusanye si pale unakuja kuoa unaolea manjemba ya mtaa??Ujue huu mwili una expire date ati! Usidhani utakuwa vile vile unavyojiona leo.
Very true
 
Ukioa single mother kuna probability kubwa sana ya mmoja wa watoto wako kuja kuwa single mother pia, u-single mother unaambukiza/rithishika


Sent using Jamii Forums mobile app

Si kweli.
Labda single mother amlee mtoto mwenyewe...

Ila Kama mkuu atamlea vizuri akapata mapenzi ya baba na mama ,then na yeye atataka kulea familia yake ya Baba na mama
 
unatafuta mke unakuta ana miaka 20-22 hana mtoto akili zake sasa anataka hela ya soda,vocha na chips ukimuuliza biashara utasikia si umenipenda kila kitu ww hamu ya kuoa inaisha
 
Sasa unakuta mwanaume hana mashine anafua mwenyewe, anapika mwenyewe, anapasi mwenyewe, chakula chake kitamu kuliko cha wanawake wengi, anaosha vyombo mwenyewe, akienda shopping anajua viungo vyote hadi tenderriser na hasahau kutokununua hata kimoja.

Sufuria zake saafi anazisugua na steelware kuchwao, anapata wageni wa kike na wa kiume kila weekend, akienda kazini ana pack chakula alichopika yeye, Wanawake wake hawapiki anawapikia wanasubiria chakula chake huku wanaangalia +EVA. Anaalikwa kwenye sherehe anahudhuria hasahau.


Sasa huyu aoe ili iweje? Anachokosa nisex tu.
Na watoto awapate kwenye vendingmachine
 
Back
Top Bottom