Changamoto za kuoa ukiwa “Senior Bachelor”

Changamoto za kuoa ukiwa “Senior Bachelor”

Sababu ingine nimesahau kuisema. Kutokuaminika kuwa hatujaoa. Wewe ulikuwa huamini kuwa sijaoa ndio maana ulinikataa. Ila umekuwa siku hizi,maana ulikuwa pasua kichwa
Hivi kumbe na wewe hujaoa? Vip watoto wa nje? Kuna Uzi uliletaga humu, ukimtamani mtoto Wa jirani, kuwa unakapenda nikajua unazuga na wewe utakuwa na watoto, vip mwaka huu unaisha bila Mke??😝
 
Tuachane na kujilipua...sijilipui hata nifike 40!

Nadhani changamoto kubwa ipo hapo pia.

I once met a lady ambaye, na ninamshukuru sana, baadaye alikuja kunieleza ukweli tu kuwa 'She was in love with the idea of me'. Maana kwa maneno yake kila binti anataka akutane na mwanaume msomi, ana kazi, probably ana gari na ana nyumba. Sasa anapokutana na wa hivyo halafu ikatokea huyo mwanaume akaonesha kumpenda binti, basi ni rahisi binti kuhisi 'this is love'.

Nilikuwa na bahati huyu alikuwa muwazi..ingawa niliumia maana nilihisi nilimpenda. But such is our fate...
I hope ulimbwaga kwa sababu nyingine na siyo hii ya kukwambia "universal truth". Sasa baada ya kuwa msomi, una kazi, probably gari na nyumba na UKAONESHA KUMPENDA ni kwa nini binti asiseme "this is love"? Kuwa na vitu na upendo ni package kamili kila mwanamke anaitaka. Mwanamke akikwambia "nimekupenda wewe na si vitu vyako" muulize "mimi yupi?" Akishakutajia sijui ucheshi, ustaarabu, werevu, kipaji cha utunzi na macho mazuri muulize ungekuwa kapuku pamoja na traits zote hizo angekupenda? Akikwambia ndiyo muulize mngekutana wapi kwanza! Hata hayawani hachagui mwenzi dhaifu labda akose namna kabisa. Bibie akikukuta huna kitu na akakupenda basi ujue ana macho ya rohoni, ameona potential ndani yako na ana uwezo wa kusubiri izae. Sasa usisubiri kukutana na mwanamke mnafiki. Ukikutana na "ideal she" wako wewe songesha. Kwamba amekupenda kwanza ulivyo navyo kisha wewe au kinyume chake itakuwa siri yake na usalama wako.
 
Hivi kumbe na wewe hujaoa? Vip watoto wa nje? Kuna Uzi uliletaga humu, ukimtamani mtoto Wa jirani, kuwa unakapenda nikajua unazuga na wewe utakuwa na watoto, vip mwaka huu unaisha bila Mke??😝
Njoo uchukue nafasi.
 
I hope ulimbwaga kwa sababu nyingine na siyo hii ya kukwambia "universal truth". Sasa baada ya kuwa msomi, una kazi, probably gari na nyumba na UKAONESHA KUMPENDA ni kwa nini binti asiseme "this is love"? Kuwa na vitu na upendo ni package kamili kila mwanamke anaitaka. Mwanamke akikwambia "nimekupenda wewe na si vitu vyako" muulize "mimi yupi?" Akishakutajia sijui ucheshi, ustaarabu, werevu, kipaji cha utunzi na macho mazuri muulize ungekuwa kapuku pamoja na traits zote hizo angekupenda? Akikwambia ndiyo muulize mngekutana wapi kwanza! Hata hayawani hachagui mwenzi dhaifu labda akose namna kabisa. Bibie akikukuta huna kitu na akakupenda basi ujue ana macho ya rohoni, ameona potential ndani yako na ana uwezo wa kusubiri izae. Sasa usisubiri kukutana na mwanamke mnafiki. Ukikutana na "ideal she" wako wewe songesha. Kwamba amekupenda kwanza ulivyo navyo kisha wewe au kinyume chake itakuwa siri yake na usalama wako.

Sadly, it wasn't my decision to make.
 
I hope ulimbwaga kwa sababu nyingine na siyo hii ya kukwambia "universal truth". Sasa baada ya kuwa msomi, una kazi, probably gari na nyumba na UKAONESHA KUMPENDA ni kwa nini binti asiseme "this is love"? Kuwa na vitu na upendo ni package kamili kila mwanamke anaitaka. Mwanamke akikwambia "nimekupenda wewe na si vitu vyako" muulize "mimi yupi?" Akishakutajia sijui ucheshi, ustaarabu, werevu, kipaji cha utunzi na macho mazuri muulize ungekuwa kapuku pamoja na traits zote hizo angekupenda? Akikwambia ndiyo muulize mngekutana wapi kwanza! Hata hayawani hachagui mwenzi dhaifu labda akose namna kabisa. Bibie akikukuta huna kitu na akakupenda basi ujue ana macho ya rohoni, ameona potential ndani yako na ana uwezo wa kusubiri izae. Sasa usisubiri kukutana na mwanamke mnafiki. Ukikutana na "ideal she" wako wewe songesha. Kwamba amekupenda kwanza ulivyo navyo kisha wewe au kinyume chake itakuwa siri yake na usalama wako.
Haya ni madini
 
Oeni wenyewe kweny hilo gereza la masahibu mnataka mtudanganye mtuvute na sisi vijana pambanen na Hali zenu tunamicheki Sana mnavyolialia humu jf
 
Siku hizi mimi naowaona ni madogo waliozaliwa 1996-1999 yani nawaona wadogo kushinda mdogo wangu kuchelewa kuoa kunasumbua kwa kweli...
 
Kaka unanikatisha tamaa sn.Kwani nikaoa nikiwa na 35 na nikapata watoto 2 kuna ubaya?Maana mie nataka watoto 2 tu,japo tayar ninaye wa mapemaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida inaanziaga hapa je utamchukua huyo wa ujanani kuja kuishi nae? Je mama yake mdogo huyo atamkubali mtoto? Au atamkubali kwanza ili ndoa ifike baadae aanzishe visirani?
 
Siku hizi mimi naowaona ni madogo waliozaliwa 1996-1999 yani nawaona wadogo kushinda mdogo wangu kuchelewa kuoa kunasumbua kwa kweli...
Sio unawaona madogo hao ni wadogo kweli. 1999-2019 ni miaka 20! Huyo unakuta gap yake na wewe kiumri ni kubwa kuliko gap ya umri wako na baba yake.
 
Bora uoe mdogo ambae utapiga back to back watoto 2-3 fasta, kisha mnatulia, maana mwanaume ukiwa umri mkubwa kuzaa na malezi nayo issue....
Sio unawaona madogo hao ni wadogo kweli. 1999-2019 ni miaka 20! Huyo unakuta gap yake na wewe kiumri ni kubwa kuliko gap ya umri wako na baba yake.
 
Ni pale unapopata tatizo la kukupeleka hospitali, patient history inakuwa hivi;

A patient is a 50 yrs old male, never bn married. He lives by himself, un able to look after himself.

Next of kin in case of an emergency? Querry a brother ?

Katika hali hiyo hata sanamu la Michelin utalitamani.
Mbona hayo uliyosema hayakumuhusu Ruge?
 
Back
Top Bottom