Roadmap
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 2,898
- 5,798
Graduate gani wewe unakosa hata hoja za msingi ivi Nida number zingekuwa zinawekwa tu bila kuverify kuwa huyu ni mhusika unadhani ni namba ngapi zingetumika ovyo? Unapokuwa na kichwa kibovu cha kushindwa walau kujua details ulizo jaza nida wakati unajiandikisha uko kazini unataka ukafanye nini? Kwangu mfumo wa Ajira portal una ufanisi wa zaidi ya 90% sote tunajua hapo awali kwenye taasisi nyingi kama huna mtu wa kukushika mkono ilikuwa mbinde kupata ila kwa sasa ni bidii zako nawafahamu zaidi ya watu 5 wanufaika na huu mfumo bila kuwa na uncle wala baba mdogo na wamelamba ajira sehemu sensitive
Wewe kama ulikuwa unacheza chuo kwa kutegemea ukimaliza ushikwe mkono na mjomba na upate ajira ndio imekula kwako sasa pambana na wenzako
Wewe kama ulikuwa unacheza chuo kwa kutegemea ukimaliza ushikwe mkono na mjomba na upate ajira ndio imekula kwako sasa pambana na wenzako