Tafadharini jamani wahusika wa hili swala(Ajira portal)najua wahusika mko hapa na mnatatua shida zinazolalamikiwa kwenye hili jukwaa,NAWAPONGEZA KWA HILO
issue kubwa hapa ni sie wenye bachelor ya finance kutokukumbukwa kwenye kazi zote za account officer, auditing na hata financial management officer
Kama hii ya financial management officer mmetusahau sisi wa finance na mmeweka watu wa LLB
Ajira portal, mtu mwenye bachelor of commerce in Finance anafanya majukumu yote ya account na Ana vigezo vinavyotambulika duniani kote vya kufanya kazi za uhasibu
Nawaomba jamani mturekebishie system ya ajira Portal ituruhusu tuweze kuapply nafazi hizi
Natumaini kuona positive response kutoka kwenu Kama ambavyo mmekuwa mkionesha kwa malalamiko yote
Ahsante!!
issue kubwa hapa ni sie wenye bachelor ya finance kutokukumbukwa kwenye kazi zote za account officer, auditing na hata financial management officer
Kama hii ya financial management officer mmetusahau sisi wa finance na mmeweka watu wa LLB
Ajira portal, mtu mwenye bachelor of commerce in Finance anafanya majukumu yote ya account na Ana vigezo vinavyotambulika duniani kote vya kufanya kazi za uhasibu
Nawaomba jamani mturekebishie system ya ajira Portal ituruhusu tuweze kuapply nafazi hizi
Natumaini kuona positive response kutoka kwenu Kama ambavyo mmekuwa mkionesha kwa malalamiko yote
Ahsante!!