Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 1,959
- 2,179
amina sana kaka tusichoke kusaidiana kaka.
Huu ni moja ya udhaifu wangu kiongozi napenda sana kusaidia kiasi kwamba mwisho wa siku najikuta napoteza marafiki.
Kuna mtu alikuwa anahitaji vitabu humu JF akatangaza kila kitabu atatoa elfu 10 alitaka vitatu.
Nikamtumia vyote vitatu na vingine vya nyongeza whatsapp na kumwambia uliweka offer ya elfu 30 kwa vitabu vyote hivyo ila mie utanilipa 10k tu au ninunulie bando la 10k tigo mwezi mzima aisee, jamaa anaanza vijisababu mara sijaenda ATM mara hivi mwisho wa siku hata nikimsalimia kwamsg anasoma tu hata salamu hajibu.
Mpaka leo nimemnyamazia tu. Binadamu hao.