ThisIsIt

Member
Oct 4, 2022
31
63
Kama umewahi kufanya application ya maombi ya kazi kupitia mfumo wa ajira portal utakubaliana na mimi huu ni mfumo wa kijinga sana kuwahi kutokea

Just imagine wametangaza nafasi za kazi za Tutoria Assistant(Accounting and Finance). Wanataka mtu aliesomea ACCOUNTING AND FINANCE or BUSINESS ADMINISTRATION IN ACCOUNTING AND FINANCE, kama inavyoonesha hapa chini;

Screenshot_20221013-114446_Chrome.jpg


Sasa mtu amesomea chuo Bachelor of business administration in accounting na mfumo unakukubali kuomba kazi unaomba, mwisho wa siku wanakuja kusema hauna qualification na wakati G.P.A iko sawa kisa tu iyo finance😭😭

Screenshot_20221013-114420_Chrome.jpg


Halafu unawapigia simu wanasema mtu unakua umeucheat mfumo wakati vyeti na kila kitu umewawekea, how can this be possible..huu mfumo wa portal ni wa kipumbavu...otherwise hizi changamoto zinakatisha ndoto za watu wengi na ukizingatia majina yenyewe wanachelewa kuita watu.
 
Kama vile ambavyo wanafunzi wanaosoma vyuoni kushindwa kuelewa kwamba unaweza kupata kazi kwa kutumia hata module moja tu..ndivyo hivyo hivyo hao watu wa PSRS wanavyokariri kwamba lazima usome accounting nkt hata mtu aliesoma Finance kuna maswala yanamuwezesha kufanya..kwenye accounting
 
Kama vile ambavyo wanafunzi wanaosoma vyuoni kushindwa kuelewa kwamba unaweza kupata kazi kwa kutumia hata module moja tu..ndivyo hivyo hivyo hao watu wa PSRS wanavyokariri kwamba lazima usome accounting nkt hata mtu aliesoma Finance kuna maswala yanamuwezesha kufanya..kwenye accounting
Ni wajinga sana mkuu
 

Udhaifu, Maoni na Mapendekezo kwa Tume ya Ajira "PSRS"
 

Udhaifu, Maoni na Mapendekezo kwa Tume ya Ajira "PSRS"
Asante mkuu labda mods wataangalia namna gan wauweke uzi wangu kwenye post yako maana hata mimi nimepiga simu kapokea mdada ambaye kabisa ni kama hajui anachokisema..kuna haja hata ya makatibu siku moja moja kupiga simu za hao jamaa waone watu wao walivo hawana weledi na majukumu yao..iyo system ya kishenzi na kipuuzi
 
Ushauri wa bure..kama una umri wa miaka 30 una degree yako ni mwaka wa 3 unatafuta ajira hujaipata achana na hizo ishu unapoteza muda, kuna umri ukifika watu hawatotaka kujua umesoma mpaka wapi ila wao watataka waone maendeleo yako tu...........
 
Kama umewahi kufanya application ya maombi ya kazi kupitia mfumo wa ajira portal utakubaliana na mimi huu ni mfumo wa kijinga sana kuwahi kutokea

Just imagine wametangaza nafasi za kazi za Tutoria Assistant(Accounting and Finance). Wanataka mtu aliesomea ACCOUNTING AND FINANCE or BUSINESS ADMINISTRATION IN ACCOUNTING AND FINANCE, kama inavyoonesha hapa chini;

View attachment 2385704

Sasa mtu amesomea chuo Bachelor of business administration in accounting na mfumo unakukubali kuomba kazi unaomba, mwisho wa siku wanakuja kusema hauna qualification na wakati G.P.A iko sawa kisa tu iyo finance😭😭

View attachment 2385710

Halafu unawapigia simu wanasema mtu unakua umeucheat mfumo wakati vyeti na kila kitu umewawekea, how can this be possible..huu mfumo wa portal ni wa kipumbavu...otherwise hizi changamoto zinakatisha ndoto za watu wengi na ukizingatia majina yenyewe wanachelewa kuita watu.
Hapa nazan sio mfumo chuo husika ndio kinahusika ,utakuta wanapendelea waliosoma chuo chake tu cha IRDP Kwa kozi hizo maana najua chuo husika kitaenda kuwaambia wapi tunawataka ...hyo ilitokea pia kwa watu waliosoma chuo cha Ardhi fani za mipango miji nasikia wamekatwa wote walioomba IRDP wameita waliosoma hapo kwao tu ndio wanawataka basi sio wa chuo kingine
 
Hapa nazan sio mfumo chuo husika ndio kinahusika ,utakuta wanapendelea waliosoma chuo chake tu cha IRDP Kwa kozi hizo maana najua chuo husika kitaenda kuwaambia wapi tunawataka ...hyo ilitokea pia kwa watu waliosoma chuo cha Ardhi fani za mipango miji nasikia wamekatwa wote walioomba IRDP wameita waliosoma hapo kwao tu ndio wanawataka basi sio wa chuo kingine
Dah so sad aisee
 
Back
Top Bottom