Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,772
- 25,413
Bwana achana na ya Arabuni, njoo Tulane mihogo Kisarawe, mihogo inakipa sana sikuhizi.
Mihogo kachori!
Yeah buddy!
Bwana achana na ya Arabuni, njoo Tulane mihogo Kisarawe, mihogo inakipa sana sikuhizi.
Anakusingizia[emoji3][emoji3] nilipokuwa mdogo nilikuwa napenda mwanaume anayenizidi miaka 6- 10
Ni kweli hicho ni kiwango cha kawaida kabisa, nashangaa huyu eti kamzidi mkewe 8 yrs anamuita kibabuMbona miaka 6-10 ni miaka michache sana jamani!
All people in my family wamezidiana na spouses wao 10yrs na kuendelea
Including my parents!
Cha ajabu hao hao men look younger!
Jamani 5-10 ni kiasi very normal,atleast walao kwa ninao wafahamu!
ahaa sawa sikujua vijana wa zamani mko vzur ivo...NIKUTAFUTE? 😁nataka ku comfirm.Wee niko 65 yrs lkn nasimamia show mbaya vijana wenu wa chips kuku wa kisasa labda ujuzi wao ni kuchezea kwa mikono kama wapiga keyboard lkn ile etutana yango na yango Zero peleka mzigo kwa 60+
ahaa sawa sikujua vijana wa zamani mko vzur ivo...NIKUTAFUTE? 😁nataka ku comfirm.Wee niko 65 yrs lkn nasimamia show mbaya vijana wenu wa chips kuku wa kisasa labda ujuzi wao ni kuchezea kwa mikono kama wapiga keyboard lkn ile etutana yango na yango Zero peleka mzigo kwa 60+
Yah ndo mana akeHaaaaa ndo kusema wengi uachwa na minyege kama yote
Fikra mfuu hizi. Inashangaza pale MTU mzima anapowaza vizawadi.Mkuu pesa ni kitu ambacho kiko flexible..
Kwako utaona ku spend milioni kumi ni nyingi kwa wengine ni hela ndogo sana...
Kila mtu hujikuna anapofikia...
Hata kama huna hela nyingi still unaweza kumuonyesha mkeo unampenda, yuko mawazoni kwako ..nunua vizawadi ambavyo viko ndani ya uwezo wako,,inatosha
Umemaliza na huo ndio ukweliKifupi ni kwamba anajiuza
Yote hayo yanaweza kufanywa na mwenye kibamia au maskini mwenye ukuni imara ila still mtaachana tu🤣🤣🤣tunapenda kusikilizwa,tunapenda kujaliwa,tunapenda kusaidiwa...
Kumbe wana tabu na waje kwa vijana tuwasugue mpk k iwake motoYah ndo mana ake
Kupenda pesa kila mtu anapenda hilo liko wazi. Ila kitendo cha pesa ku outweight utu wa mtu ndio kinacholalamikiwa na vijana wengi.Mmh wewe hupendi pesa?
ila sasa uko na baharia age mate wako sio 🤣🤣🤣Anakusingizia[emoji3][emoji3] nilipokuwa mdogo nilikuwa napenda mwanaume anayenizidi miaka 6- 10
[emoji7][emoji7] haswaa hata mimi najuaHahahaha af [emoji7] unaniuza huku ujue[emoji1787][emoji1787][emoji1787] but age is just a digit.