uko vizuri kichwani.....barikiwa sana
Dah....,[emoji2960]Kwa mdada anaekubali kuolewa na mtu mzima mara nyingi maisha yake hayaja kuwa stable. Mtu mzima ukikutana nae huwa mara nyingi alikuwa na familia yake ya kwanza. Umkute 60+ hajaoa labda aliloea Ulaya na amerudi, mke wa kizungu amegoma kurudi.
Hapa 60+ kuna maradhi yasiyo ambukiza mengi sana. Ukiwa mrs inabidi ukumbuke saa za dawa na tarehe za clinic.
Pesa utapewa za kuishi maisha unayotaka uonekane mjini. Sex kwake si kipaumbele, story mkipiga axnakumbuka 1977 Tanzania ilivyovamiwa na Nduli Idd Amin wakati wewe ulikuwa hujazaliwa.
Akitangulia kufa utalia sana, watu watakupa pole za kufiwa kumbe wewe unalia huna uhakika kama ile Vogue utaendelea kuisukuma au watoto wake watakupiga stop.
Sija refer mtu hapa msianze kutaja majina.
So kutiwa vizuri si kipaumbele? Rejea mleta mada kwamba moja ya vipaumbele muhimu ni ngono ya timbatimba ambayo kwa kibabu ni nadra japo siku hizi kuna visaidizi(vichocheo) vinavyowawezesha(nadhani wale hypertensive hii haiwahusu).tunapenda kusikilizwa,tunapenda kujaliwa,tunapenda kusaidiwa...
So do you?
[emoji41][emoji41][emoji41]Naam[emoji23]
😘[emoji41][emoji41][emoji41]
Umemsema nanilii kabisaKwa mdada anaekubali kuolewa na mtu mzima mara nyingi maisha yake hayaja kuwa stable. Mtu mzima ukikutana nae huwa mara nyingi alikuwa na familia yake ya kwanza. Umkute 60+ hajaoa labda aliloea Ulaya na amerudi, mke wa kizungu amegoma kurudi.
Hapa 60+ kuna maradhi yasiyo ambukiza mengi sana. Ukiwa mrs inabidi ukumbuke saa za dawa na tarehe za clinic.
Pesa utapewa za kuishi maisha unayotaka uonekane mjini. Sex kwake si kipaumbele, story mkipiga axnakumbuka 1977 Tanzania ilivyovamiwa na Nduli Idd Amin wakati wewe ulikuwa hujazaliwa.
Akitangulia kufa utalia sana, watu watakupa pole za kufiwa kumbe wewe unalia huna uhakika kama ile Vogue utaendelea kuisukuma au watoto wake watakupiga stop.
Sija refer mtu hapa msianze kutaja majina.
Nimetongozwa na kibabu chenye pesa zake
Wewe furaha yako ipo katikati ya paja zako kibabu hakikufai.we we we ivi ushawai wauliza wadada waliowahi date wanaume wanaolala baada ya kupiz mara moja tuu au mbili!! alafu dushe inagoma kusimama tena yaan ata usogezee papuchi apo wapi!! aisee unaweza kulia apo bed yaan unamuangaliaaa unataman awe mtoto uchalaze viboko.mxeeew.
Kwako wanao wakisoma kajamba nani maisha ya ku unga unga poa ilimradi unapata sex nzuri ?[emoji1787][emoji1787] asikudanganye mtu Sex ni muhimu tena sana. Wengine huchepuka kisa hii kitu.
Kikubwa ni furaha na amani moyoni tu. Sex siyo kila kitu kwenye mahusiano.
Yaan acha tuu.Wewe furaha yako ipo katikati ya paja zako kibabu hakikufai.
Kwa hasira hizo asubuhi nje kwako imepak vogi utaivunja wewe
Miaka 8 anakuita kibabu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli kila mtu na kipaumbele chakeMi mke wangu nimemzidi 8yrs..huwa ananitania ananiita kibabu!
We mdada sky eckat you seem to be very funny.I wish one day nikutane na wewe face to face.Nakupromise sitokutongoza katu.Please naomba Nile nafasi.Unsnifurahisha sana na posts zako.Kwa mdada anaekubali kuolewa na mtu mzima mara nyingi maisha yake hayaja kuwa stable. Mtu mzima ukikutana nae huwa mara nyingi alikuwa na familia yake ya kwanza. Umkute 60+ hajaoa labda aliloea Ulaya na amerudi, mke wa kizungu amegoma kurudi.
Hapa 60+ kuna maradhi yasiyo ambukiza mengi sana. Ukiwa mrs inabidi ukumbuke saa za dawa na tarehe za clinic.
Pesa utapewa za kuishi maisha unayotaka uonekane mjini. Sex kwake si kipaumbele, story mkipiga axnakumbuka 1977 Tanzania ilivyovamiwa na Nduli Idd Amin wakati wewe ulikuwa hujazaliwa.
Akitangulia kufa utalia sana, watu watakupa pole za kufiwa kumbe wewe unalia huna uhakika kama ile Vogue utaendelea kuisukuma au watoto wake watakupiga stop.
Sija refer mtu hapa msianze kutaja majina.