Changamoto ya kuolewa na mtu mzima mwenye pesa

Changamoto ya kuolewa na mtu mzima mwenye pesa

Ili Kuondoa Hii Sitofahamu Ya Nini Wanawake Mnacho Kitaka Kutoka Kwa Wanaume Ningeomba Uniwekee Vipao Mbele Vyenu Ili Wanaume Tujue Mapema.

Nasema Haya Kwa Sababu Si Ajabu Mwanamke Kumkataa Mume Tajiri Kisa Ana Kibamia Akidai Hamridhishi Kunako.

Upande Wa Pili Mume Masikini Akitoswa Na Mke Kisa Kikiwa Ni Umasikini Wake Hatakama Kitandani Yupo Vizuri.

Hivyo Sky Eclat Naomba Ufunguke Hapa Hivi Ni Nini Hasa Wanawake Mnacho Kitaka Kutoka Kwa Mwanaume??.
Wanataka vijana wanaondana na wanaojiweza kiuchumi na kuiweza shughuli sema ni ngumu kumpata aliyekamilika
 
Kwa mdada anaekubali kuolewa na mtu mzima mara nyingi maisha yake hayaja kuwa stable. Mtu mzima ukikutana nae huwa mara nyingi alikuwa na familia yake ya kwanza. Umkute 60+ hajaoa labda aliloea Ulaya na amerudi, mke wa kizungu amegoma kurudi.

Hapa 60+ kuna maradhi yasiyo ambukiza mengi sana. Ukiwa mrs inabidi ukumbuke saa za dawa na tarehe za clinic.

Pesa utapewa za kuishi maisha unayotaka uonekane mjini. Sex kwake si kipaumbele, story mkipiga axnakumbuka 1977 Tanzania ilivyovamiwa na Nduli Idd Amin wakati wewe ulikuwa hujazaliwa.

Akitangulia kufa utalia sana, watu watakupa pole za kufiwa kumbe wewe unalia huna uhakika kama ile Vogue utaendelea kuisukuma au watoto wake watakupiga stop.

Sija refer mtu hapa msianze kutaka majina.
unamwambia anunue kabisa mkanda wa vita ya iddiamini
 
Kwahiyo Unataka Kuniambia Kwa Mukutadha huu Wanawake Hamko Tayari Kuishi Na Mwanaume Asie Na pesa Kwa Sasa, Hatakama Akiwa Kwenye Mapambano ili Baadae Akizipata uje Kufurahia Maisha?.
Mwanaume majukumu bwana, wanawake wengi (siwezi kusema wote) wanapenda mwanaume ambae walau anaweza kumhudumia hata kama ana uwezo wa kujihudumia, hivyo viwango vya huduma ndio tunatofautiana kutoka mtu mmoja hadi mwingine
 
Kwahiyo Unataka Kuniambia Kwa Mukutadha huu Wanawake Hamko Tayari Kuishi Na Mwanaume Asie Na pesa Kwa Sasa, Hatakama Akiwa Kwenye Mapambano ili Baadae Akizipata uje Kufurahia Maisha?.

Mkuu pesa ni kitu ambacho kiko flexible..
Kwako utaona ku spend milioni kumi ni nyingi kwa wengine ni hela ndogo sana...
Kila mtu hujikuna anapofikia...
Hata kama huna hela nyingi still unaweza kumuonyesha mkeo unampenda, yuko mawazoni kwako ..nunua vizawadi ambavyo viko ndani ya uwezo wako,,inatosha
 
Kwa mdada anaekubali kuolewa na mtu mzima mara nyingi maisha yake hayaja kuwa stable. Mtu mzima ukikutana nae huwa mara nyingi alikuwa na familia yake ya kwanza. Umkute 60+ hajaoa labda aliloea Ulaya na amerudi, mke wa kizungu amegoma kurudi.

Hapa 60+ kuna maradhi yasiyo ambukiza mengi sana. Ukiwa mrs inabidi ukumbuke saa za dawa na tarehe za clinic.

Pesa utapewa za kuishi maisha unayotaka uonekane mjini. Sex kwake si kipaumbele, story mkipiga axnakumbuka 1977 Tanzania ilivyovamiwa na Nduli Idd Amin wakati wewe ulikuwa hujazaliwa.

Akitangulia kufa utalia sana, watu watakupa pole za kufiwa kumbe wewe unalia huna uhakika kama ile Vogue utaendelea kuisukuma au watoto wake watakupiga stop.

Sija refer mtu hapa msianze kutaka majina.
Maisha ya siku hizi hayana options nyingi hata huyu babu unaweza ukamtafuta ukamkosa.......nikuomba Mungu tu.
 
Mwanaume majukumu bwana, wanawake wengi (siwezi kusema wote) wanapenda mwanaume ambae walau anaweza kumhudumia hata kama ana uwezo wa kujihudumia, hivyo viwango vya huduma ndio tunatofautiana kutoka mtu mmoja hadi mwingine
Ahsante Sana, Ngoja Niendelee Kujifunza Kupitia Maoni Ya Wanawake Wengine.
 
Mkuu pesa ni kitu ambacho kiko flexible..
Kwako utaona ku spend milioni kumi ni nyingi kwa wengine ni hela ndogo sana...
Kila mtu hujikuna anapofikia...
Hata kama huna hela nyingi still unaweza kumuonyesha mkeo unampenda, yuko mawazoni kwako ..nunua vizawadi ambavyo viko ndani ya uwezo wako,,inatosha
Uko Sahihi Kwa Upande Mmoja, Tatizo Linakuja Pale Mke Anapojua Khari ya mumewe Au Mpenzi Wake Kiuchumi Kua Si mzuri harafu Mke Anashindwa Kukubaliana Na Uhalisia. Hivi Kwanini wanawake Wengi Wenu Mnapenda Mafanikio Ya mkato Bila Kua Wavumilivu?.
 
Haaaaa ndo kusema wengi uachwa na minyege kama yote
we we we ivi ushawai wauliza wadada waliowahi date wanaume wanaolala baada ya kupiz mara moja tuu au mbili!! alafu dushe inagoma kusimama tena yaan ata usogezee papuchi apo wapi!! aisee unaweza kulia apo bed yaan unamuangaliaaa unataman awe mtoto uchalaze viboko.mxeeew.
 
Back
Top Bottom