Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,702
- 35,757
Mkuu upo vizur kwa mipasho..umekaza kweli japo huna ushahidiKenge hawezi kuwa mshamba, mshamba ni yule anayedhani ya kwamba kenge anaweza kuwa mshamba
Mkuu upo vizur kwa mipasho..umekaza kweli japo huna ushahidiKenge hawezi kuwa mshamba, mshamba ni yule anayedhani ya kwamba kenge anaweza kuwa mshamba
Hakuna mipasho,tunaenda na factsMkuu upo vizur kwa mipasho..umekaza kweli japo huna ushahidi
Ume conclude mjadala umefungwaVyuma vikikaza hupelekea uwendazimu.Ndugu huwezi kuongelea mikoa hiyo bila data.Inawezekana umesoma memkwa.Chalinze zaidi ya kuuza machungwa kuna nini? kigoma kuna kahawa ambalo ni zao la biashara, michikichi nalo zao la biashara,hakuna mkoa wowote unaozalisha chikichi kuzidi kigoma,mkoa wa Kigoma unaongoza kwa kuzalisha Tangawizi, Dagaa bora kabisa barani Afrika, boda ya Burundi na Rwanda kigoma inaongoza kwa kuzalisha maharage ikifuatiw na Kagera na mbeya(BBC analysis).Ubora wa Chalinze ni njia panda ya barabara ya kask na nyanda za juu kusini.Kigoma hutoa wafanyakazi bora baada ya wasukuma tofauti na wakwere na wazaramo ambao hawana afya kwa kukosa lishe bora(mihogo ya kuchemsha na mchele robo) sisi wakigoma.Ugali wa muhogo, mahindi, samaki, dagaa, ndizi, magimb, maparachichi(tunalima wenyewe) nk.kUkienda masoko yetu unajizolea unachotak kwa bei bureee sawa na bukoba na mbeya huko chalinze ni njaa tu.
Twabhonye hehe mutama?Haa
Mtama Wabhonye
Mwakeye
iseeMkuu kuna chalinze nyingine zaidi ya hii inayolaza malorry? Hebu irudie vizuri definition ya development?
Mtama NilimhiraTwabhonye hehe mutama?
Chalinze muda si mrefu sana itakuwa ni Manispaa kama kasi ikienda kama ilivyo sasa hiviKwa mzuguko wa fedha,majengo,maendeleo mji wa chalinze unazidi makao makuu ya mikoa ifuatayo
1.Shinyanga
2.Kigoma
3.Lindi
4Mtwara
5.Singida
6.Kagera(Bukoba)
7.Mara(Musoma)
8.Simiyu(Bariadi)
Kazi kwenu wavulana wa mikoani
Kweli kabisa, kasi ya Chalinze siyo mchezo.Chalinze muda si mrefu sana itakuwa ni Manispaa kama kasi ikienda kama ilivyo sasa hivi
Invalid conclusion,eti kigoma nayo ni ya kujitapa mbele ya Chalinze.Ume conclude mjadala umefungwa
Hii ni sawa na kusema self container lakini choo cha shimo, sawa mkuu ntakaribia ila usomi wa kujisifia maprado hauna tija mkuuStand haijengwi na watu binafsi! Halafu hiyo stand ilibidi ijengwe ila sababu za kisiasa zilikwamisha huo mpango. Wasomi wana fanya maendeleo yao, wewe ingia mtaani au vijijini uone maendeleo ya mtu mmoja mmoja! BK nyumba ya udongo unaitafuta kwa torch, bati za kisasa. Karibu BK december hii wasomi tutakua likizo na ma prado yetu![]()
Moro town mkuuUnatokea mji gani mkuu
Mkuu mimi sio wa chalinze ila najadili hoja ilioko mezani, bukoba kuna hotel angalau ya nyota 3Nadhani umeangalia mji wa Bukoba na baadhi ya mahoteli machache niliyokuwekea na uniambie Chalinze yako ina lipi la kujivunia na kuipita miji uliyotaja
Adi sasa hivi apa nipo MtwaraWee Mtwara umefika lini?...
Hii hotel ina nyota tano ipo bukobaMkuu mimi sio wa chalinze ila najadili hoja ilioko mezani, bukoba kuna hotel angalau ya nyota 3
TetetetetteHii ni sawa na kusema self container lakini choo cha shimo, sawa mkuu ntakaribia ila usomi wa kujisifia maprado hauna tija mkuu
iyo inajulikana ,shida haina watejaHii hotel ina nyota tano ipo bukobaView attachment 950871View attachment 950876
Moro mpo vizuri,yaani Chalinze kwa moro tunakaaa na kuwa wapoleMoro town mkuu
Labda chalinze ya kipindi cha JK.Kwa mzuguko wa fedha,majengo,maendeleo mji wa chalinze unazidi makao makuu ya mikoa ifuatayo
1.Shinyanga
2.Kigoma
3.Lindi
4Mtwara
5.Singida
6.Kagera(Bukoba)
7.Mara(Musoma)
8.Simiyu(Bariadi)
Kazi kwenu wavulana wa mikoani