Chalinze inazidi mikoa ifuatayo

Chalinze inazidi mikoa ifuatayo

Kinachonifurahisha lindi na mtwara ni kujirusha full. Hakuna nyumba bado ni nyasiii. Ukiambiwa bilioni kadhaa zimezama humo huwezi elewa
 
Kinachonifurahisha lindi na mtwara ni kujirusha full. Hakuna nyumba bado ni nyasiii. Ukiambiwa bilioni kadhaa zimezama humo huwezi elewa
mnajitahidi ila bado hamjafikia viwango vya chalinze hasa kwa mzunguko wa fedha
 
Bukoba gan unayoiongelea mi nafahamu bk hii
Screenshot_20181128-083345.jpeg
Screenshot_20181128-083533.jpeg
Screenshot_20181128-083508.jpeg
Screenshot_20181128-083433.jpeg
 
ila JAMANI watanzania tuzingatie MIPANGO MIJI, hata chalinze iweje bila mipango miji ni takataka, sehemu nyingine ni MBEYA , MLIMA NYOKA, wenyeviti wa mitaa au madiwani waambieni watu au jipangeni kuacha nafasi ya baabara ! NYUMBA YAKO hata kama umepiga MSOUTH halafu hakuna njia ni kazi bure ! UONGOZI WA JIJI LA MBEYA LIFANYIENI KAZI SUALA LA MLIMA NYOKA, nyumba zinaota kama uoga halafu hakuna anaejali kuacha njia, uongozi jipangeni mtu akinunua aache njia mita 3.. JAMANI tuko kwenye zama na sisi tuonekani watu jamani.. hali kadhalika CHALINZE viongozi jitahidini sana kuancha nafasi za barabara hata kama serikali haijafanya. hii ni kwa faida yako mkazi na wala si faida ya serikali


Zile nyumba ni za kichawi, very strategic kwa wakazi wa Mbeya hawawezi kuzivunja hata iweje.
 
Kivipi, umeona Bukoba kulivyo hovyo? Huwezi kupigana miti na nduguyo ukawa na maendeleo, watu wazima inabidi wajipange sana kwani hali ile si Bukoba tu mjini bali hata huko mikoani. Biashara ni ziro kabisa.
Nenda kaone tena kulivyo ndio utanielewa
 
chalinze ya ndani kwa ndani ama hii hii tunayopitaga na magari yetu ya mikoani??
 
Mkuu kusoma sio tatizo. suala hapa huo usomi umesaidia nini Kagera yako? hata stand ni vumbi tupu sasa unawezaje kujisifia elimu hapa
Nadhani umeangalia mji wa Bukoba na baadhi ya mahoteli machache niliyokuwekea na uniambie Chalinze yako ina lipi la kujivunia na kuipita miji uliyotaja
 
Kwa mzuguko wa fedha,majengo,maendeleo mji wa chalinze unazidi makao makuu ya mikoa ifuatayo
1.Shinyanga
2.Kigoma
3.Lindi
4Mtwara
5.Singida
6.Kagera(Bukoba)
7.Mara(Musoma)
8.Simiyu(Bariadi)
Kazi kwenu wavulana wa mikoani
Ngoja wanyiramba waje wakutukane!
 
Back
Top Bottom