masoud mshahara
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 4,712
- 2,010
Kuna cha uongo hapo katika alivyo andika ?Nakuona bro unavyoiponda bukoba kisa wahaya walikuzidi mbali
Kuna cha uongo hapo katika alivyo andika ?Nakuona bro unavyoiponda bukoba kisa wahaya walikuzidi mbali
Ndiyo hao hao wavulana wa mikoaniWavulana Wa mikoani ndo akina nani
Kaongea kweliNakuona bro unavyoiponda bukoba kisa wahaya walikuzidi mbali
Labda nilete picha za matajri watano tu wa chalinze.Weka picha za chalinze hapa
Nilishafika kwa kweli Bukoba panasikitisha sana wapo nyuma sana kimaendeleo,solution ni watu wa bukoba kukumbuka kuwekeza nyumbaniHivi we ulishawahi fika bukoba?
mnajitahidi ila bado hamjafikia viwango vya chalinze hasa kwa mzunguko wa fedhaKinachonifurahisha lindi na mtwara ni kujirusha full. Hakuna nyumba bado ni nyasiii. Ukiambiwa bilioni kadhaa zimezama humo huwezi elewa
Wahaya watoe kwenye list
ila JAMANI watanzania tuzingatie MIPANGO MIJI, hata chalinze iweje bila mipango miji ni takataka, sehemu nyingine ni MBEYA , MLIMA NYOKA, wenyeviti wa mitaa au madiwani waambieni watu au jipangeni kuacha nafasi ya baabara ! NYUMBA YAKO hata kama umepiga MSOUTH halafu hakuna njia ni kazi bure ! UONGOZI WA JIJI LA MBEYA LIFANYIENI KAZI SUALA LA MLIMA NYOKA, nyumba zinaota kama uoga halafu hakuna anaejali kuacha njia, uongozi jipangeni mtu akinunua aache njia mita 3.. JAMANI tuko kwenye zama na sisi tuonekani watu jamani.. hali kadhalika CHALINZE viongozi jitahidini sana kuancha nafasi za barabara hata kama serikali haijafanya. hii ni kwa faida yako mkazi na wala si faida ya serikali
Nenda kaone tena kulivyo ndio utanielewaKivipi, umeona Bukoba kulivyo hovyo? Huwezi kupigana miti na nduguyo ukawa na maendeleo, watu wazima inabidi wajipange sana kwani hali ile si Bukoba tu mjini bali hata huko mikoani. Biashara ni ziro kabisa.
Nenda kaone tena kulivyo ndio utanielewa
Na mikoa mingine umeiona?Nilikuwa huko miezi iliyopita.
Nadhani umeangalia mji wa Bukoba na baadhi ya mahoteli machache niliyokuwekea na uniambie Chalinze yako ina lipi la kujivunia na kuipita miji uliyotajaMkuu kusoma sio tatizo. suala hapa huo usomi umesaidia nini Kagera yako? hata stand ni vumbi tupu sasa unawezaje kujisifia elimu hapa
Ngoja wanyiramba waje wakutukane!Kwa mzuguko wa fedha,majengo,maendeleo mji wa chalinze unazidi makao makuu ya mikoa ifuatayo
1.Shinyanga
2.Kigoma
3.Lindi
4Mtwara
5.Singida
6.Kagera(Bukoba)
7.Mara(Musoma)
8.Simiyu(Bariadi)
Kazi kwenu wavulana wa mikoani
Unatokea mji gani ili tuweke ulinganifuNakuona bro unavyoiponda bukoba kisa wahaya walikuzidi mbali
Unatokea mji gani mkuuMkuu kusoma sio tatizo. suala hapa huo usomi umesaidia nini Kagera yako? hata stand ni vumbi tupu sasa unawezaje kujisifia elimu hapa
Hiyo hiyo pamoja na ya ndanichalinze ya ndani kwa ndani ama hii hii tunayopitaga na magari yetu ya mikoani??