Chalinze inazidi mikoa ifuatayo

Chalinze inazidi mikoa ifuatayo

Kwa mzuguko wa fedha,majengo,maendeleo mji wa chalinze unazidi makao makuu ya mikoa ifuatayo
1.Shinyanga
2.Kigoma
3.Lindi
4Mtwara
5.Singida
6.Kagera(Bukoba)
7.Mara(Musoma)
8.Simiyu(Bariadi)
Kazi kwenu wavulana wa mikoani
Ingekua mtoto wa like ningesema unawashwa unatafuta bwana akitwange kisamvu
 
Wanaoenda bukoba wengi ni wachagga ..wahaya wengi bado ushamba mwingi ndege hawapandi kabisa.
Hiv bukoba huwa Kuna wachaga kweli?

Kama wapo hawazidi kumi. Wanawaogopa wahaya Kama Nini hao wanywa mbege
 
Kwa mzuguko wa fedha,majengo,maendeleo mji wa chalinze unazidi makao makuu ya mikoa ifuatayo
1.Shinyanga
2.Kigoma
3.Lindi
4Mtwara
5.Singida
6.Kagera(Bukoba)
7.Mara(Musoma)
8.Simiyu(Bariadi)
Kazi kwenu wavulana wa mikoani
Acha dharau.na uongo
 
Nadhani mdau ameeleweka, haya shime watanzania twende chalinze tukafanye biashara tupige mapesaaaaa
 
Kwa mzuguko wa fedha,majengo,maendeleo mji wa chalinze unazidi makao makuu ya mikoa ifuatayo
1.Shinyanga
2.Kigoma
3.Lindi
4Mtwara
5.Singida
6.Kagera(Bukoba)
7.Mara(Musoma)
8.Simiyu(Bariadi)
Kazi kwenu wavulana wa mikoani
ukute mwandishi hajawahi hata kuvuka wilaya ya morogoro
 
Alivyo muongo, anadai Chalinze inaishinda MIKOA, yaani Kisehemu kidogo cha Chalinze kiweze kuizidi Mikoa na siyo Miji mikuu ya mikoa bali ni mkoa mzima! Ni kichekesho cha karne. Basi angalau rekebisha kichwa cha habari kiendane na uhalisia.
 
ila JAMANI watanzania tuzingatie MIPANGO MIJI, hata chalinze iweje bila mipango miji ni takataka, sehemu nyingine ni MBEYA , MLIMA NYOKA, wenyeviti wa mitaa au madiwani waambieni watu au jipangeni kuacha nafasi ya baabara ! NYUMBA YAKO hata kama umepiga MSOUTH halafu hakuna njia ni kazi bure ! UONGOZI WA JIJI LA MBEYA LIFANYIENI KAZI SUALA LA MLIMA NYOKA, nyumba zinaota kama uoga halafu hakuna anaejali kuacha njia, uongozi jipangeni mtu akinunua aache njia mita 3.. JAMANI tuko kwenye zama na sisi tuonekani watu jamani.. hali kadhalika CHALINZE viongozi jitahidini sana kuancha nafasi za barabara hata kama serikali haijafanya. hii ni kwa faida yako mkazi na wala si faida ya serikali
Watu wamesogea had had msitun Kwa tenende
Samahani natoka nje ya mada kidogo hivi historia ya mlima nyoka ulikuwa na nyoka wengi au?
 
Back
Top Bottom