Chalinze inazidi mikoa ifuatayo

Chalinze inazidi mikoa ifuatayo

Kwa mzuguko wa fedha,majengo,maendeleo mji wa chalinze unazidi makao makuu ya mikoa ifuatayo
1.Shinyanga
2.Kighoma
3.Lindi
4Mtwara
5.Singida
6.Kagera(Bukoba)
7.Mara(Musoma)
8.Simiyu(Bariadi)
Kazi kwenu wavulana wa mikoani
Sheria ya takwimu inakataza. Sijui umetumia logic ipi ?! Lakini umeishusha sana mikoa yetu.

Nakata rufaa rudia upya mchanganuo upya sikubali
 
Sasa ni saa 4 kasoro usiku,
CCM tunawakumbusha na kuwaomba wapiga kura wetu wote msisahau kuweka Net kuzuia Mbu-Malaria-Kifo, baada ya 2020 ruhusa hata ukitaka kulala kwenye karavati.


😂😂😂😂😂😂😂😂 nimehis had kupaliwa jaman khaaa..kuna watu mnajua kukera watu yaan nimechekaaa eish ngj nilale mm
 
Chalinze nailinganisha na Sirari wala si Tarime achilia mbali Musoma.

Kwa Shinyanga umewaonea sana hata wilaya tu ya Kahama , chalinze haisogezi pua. Hata kwa watani za Bukoba usiwashushe thamani namna hiyo !! Wamesoma
Mi nimeongelea makao makuu ya mikoa ,ndio maana nimeitaja Musoma na wala sijailinganisha Chalinze na Tarime au Sirari.
 
Kwa mzuguko wa fedha,majengo,maendeleo mji wa chalinze unazidi makao makuu ya mikoa ifuatayo
1.Shinyanga
2.Kigoma
3.Lindi
4Mtwara
5.Singida
6.Kagera(Bukoba)
7.Mara(Musoma)
8.Simiyu(Bariadi)
Kazi kwenu wavulana wa mikoani
We andazi kweli unaijua singida au unaisikia. Makao makuu siyo issue kikubwa upatikanaji wa fursa mkoawide.
 
Back
Top Bottom