- Thread starter
- #261
sio lazima ziwe 5Zitaje angalau 5
sio lazima ziwe 5Zitaje angalau 5
Tunaongelea Chalinze vs Makao makuu ya mikoa, sio mkoa mzimaVyuma vikikaza hupelekea uwendazimu.Ndugu huwezi kuongelea mikoa hiyo bila data.Inawezekana umesoma memkwa.Chalinze zaidi ya kuuza machungwa kuna nini? kigoma kuna kahawa ambalo ni zao la biashara, michikichi nalo zao la biashara,hakuna mkoa wowote unaozalisha chikichi kuzidi kigoma,mkoa wa Kigoma unaongoza kwa kuzalisha Tangawizi, Dagaa bora kabisa barani Afrika, boda ya Burundi na Rwanda kigoma inaongoza kwa kuzalisha maharage ikifuatiw na Kagera na mbeya(BBC analysis).Ubora wa Chalinze ni njia panda ya barabara ya kask na nyanda za juu kusini.Kigoma hutoa wafanyakazi bora baada ya wasukuma tofauti na wakwere na wazaramo ambao hawana afya kwa kukosa lishe bora(mihogo ya kuchemsha na mchele robo) sisi wakigoma.Ugali wa muhogo, mahindi, samaki, dagaa, ndizi, magimb, maparachichi(tunalima wenyewe) nk.kUkienda masoko yetu unajizolea unachotak kwa bei bureee sawa na bukoba na mbeya huko chalinze ni njaa tu.
Ila pole mkubwa naona jiwe gizani limefanya kazi yakeVyuma vikikaza hupelekea uwendazimu.Ndugu huwezi kuongelea mikoa hiyo bila data.Inawezekana umesoma memkwa.Chalinze zaidi ya kuuza machungwa kuna nini? kigoma kuna kahawa ambalo ni zao la biashara, michikichi nalo zao la biashara,hakuna mkoa wowote unaozalisha chikichi kuzidi kigoma,mkoa wa Kigoma unaongoza kwa kuzalisha Tangawizi, Dagaa bora kabisa barani Afrika, boda ya Burundi na Rwanda kigoma inaongoza kwa kuzalisha maharage ikifuatiw na Kagera na mbeya(BBC analysis).Ubora wa Chalinze ni njia panda ya barabara ya kask na nyanda za juu kusini.Kigoma hutoa wafanyakazi bora baada ya wasukuma tofauti na wakwere na wazaramo ambao hawana afya kwa kukosa lishe bora(mihogo ya kuchemsha na mchele robo) sisi wakigoma.Ugali wa muhogo, mahindi, samaki, dagaa, ndizi, magimb, maparachichi(tunalima wenyewe) nk.kUkienda masoko yetu unajizolea unachotak kwa bei bureee sawa na bukoba na mbeya huko chalinze ni njaa tu.
Bariadi naifahamu, ata kupewa hadhi ya mkoa haikustahili, sema juhudi za chenge(joka la makengeza) halishindwi kitu.Unaijua Simiyu Bariadi au unaisikiaga tuu wee jamaa fanya utafiti umekurupuka
Unapimaje mzunguko wa fedha za Chalinze vs miji uliyoitaja? Kuna vigezo vya kiuchumi ambavyo vinapelekea mji kuwa na hadhi. Huwa tunaanza na Halmashauri ya Kijiji, Halmashauri ya Mji ndogo, Halmashauri ya Mji, Halmashauri ya Manispaa, na Halmashauri ya Jiji. Hizi hadhi haziji hivihivi, sasa tuambie, Chalinze imefika hadhi gani kati ya hiyo?labda haujaelewa, pamoja na hadhi ndogo iyo ya chalinze,ila mzunguko wa fedha ni mkubwa sana kuzidi miji niliyoitaja,sasa wengien wanaleta mapicha ya mahotel humu ya uko Bukoba wakati hotel zenyewe kwa mwezi zinaingiza laki 8.
Pumba tupuIla pole mkubwa naona jiwe gizani limefanya kazi yake
Uzuri sijashindanisha Chalinze na TukuyuDuh.
Tukuyu ni pazuri zaidi.
upo sawa kwa maelezo yako,lakini kumbuka Chalinze licha ya kutokuwa na hadhi kubwa ina competetive advantage za kutosha kuweza kuzipiku hiyo miji yenye majina makubwa lakini hakuna cha maana(Mji jina kubwa uchumi=0)Unapimaje mzunguko wa fedha za Chalinze vs miji uliyoitaja? Kuna vigezo vya kiuchumi ambavyo vinapelekea mji kuwa na hadhi. Huwa tunaanza na Halmashauri ya Kijiji, Halmashauri ya Mji ndogo, Halmashauri ya Mji, Halmashauri ya Manispaa, na Halmashauri ya Jiji. Hizi hadhi haziji hivihivi, sasa tuambie, Chalinze imefika hadhi gani kati ya hiyo?
Kama Chalinze ingekuwa na mzunguko mkubwa wa fedha kuliko miji unayosema, basi ingefikia hata hadhi ya Halmashauri ya Mji.
Vv
Pato la Halmashauri ya Mji mdogo wa Chalinze ni kiasi gani kwa mwaka Vs pato la Halmashauri ya Manispaa ya Singida?upo sawa kwa maelezo yako,lakini kumbuka Chalinze licha ya kutokuwa na hadhi kubwa ina competetive advantage za kutosha kuweza kuzipiku hiyo miji yenye majina makubwa lakini hakuna cha maana(Mji jina kubwa uchumi=0)
Tena ni pumba za koroshoPumba tupu
Taarifa zote hizi zipo ofisi ya takwimu taifa au ofisi ya Tamisemi dodomaPato la Halmashauri ya Mji mdogo wa Chalinze ni kiasi gani kwa mwaka Vs pato la Halmashauri ya Manispaa ya Singida?
Vv
Kenge hawezi kuwa mshamba, mshamba ni yule anayedhani ya kwamba kenge anaweza kuwa mshambaAchana na huyo kenge wa kikwere ushamba umemzidi....,
Tuwekee sasa ili tuweze kuamini hoja yako.Taarifa zote hizi zipo ofisi ya takwimu taifa au ofisi ya Tamisemi dodoma
nitaleta taarifa kesho za january adi desemba 2017Tuwekee sasa ili tuweze kuamini hoja yako.
Vv
Siyo kila kitu kinapimika kisayansiHoja yako haipimiki kisayansi![]()
Umekimbilia wapi kwa sasa mkuu?Sio mimi tu wafanyabiashara wengi tuliokuwa nao Bukoba miaka hiyo walishakimbia,sababu kubwa hakuna mzunguko wa fedha.

Eti makao makuu ya mkoa wa shinyanga yapo kahama,we vumbi la dodoma limeshaingia na kujaza vyumba vya ubongo.makao makuu ya mkoa wa shinyanga ni wilaya ya kahama...sasa sijui unaifahamu kahama au umejiandikia tuu.
Binafsi ninaishi Dodoma, ila Dodoma ni cha mtoto kwa Kahama!.
Nimekimbilia ChalinzeUmekimbilia wapi kwa sasa mkuu?![]()
![]()