Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Labda anawalipa babako na mamakoKwa sasa Halima James Mdee ndio anawalipa mshahara Mbowe, Mnyika na Makene!
Labda anawalipa babako na mamakoKwa sasa Halima James Mdee ndio anawalipa mshahara Mbowe, Mnyika na Makene!
Ndugaye atajuaConvid 19 watakuwa na hali gani?
Unacho kiweza ni kuuza visheti tuSio kweli maamuzi ya mkutano mkuu hayajafanyika bado wanachama halali na watambwaga Mbowe na kamati kuu yake mapema tu
Sema Mbowe anafanya kusudi kuvuruga mchakato sababu keshavuta pesa ya kila mwezi kutoka kwa hao wabunge anataka tu kuzusha mgogoro wa kisheria sababu wale wamekata rufaa kikatiba.Kikao cha kikatiba waluchokata rufaa hakijaketi kuamua yeye ansitisha uchaguzi mmmmm ni fix tupu hapo
Hahahaaaa.....hahahaaaa...... hahahaaaa...... bila Mdee Chadema ni bure!Labda anawalipa babako na mamako
Hivi mtu anasemaje eti walio saliti chamaBaraza la wanawake wa Chadema ( BAWACHA ) , limetangaza rasmi kuanza mchakato wa kujaza nafasi za Wasaliti waliotimuliwa ndani ya Chama wakiongozwa na Halima Mdee .
Fomu za Kugombea nafasi hizo za uongozi wa Bawacha Taifa zinapatikana kwenye ofisi za Mikoa za Chadema , ofisi za Kanda zote na ofisi ya Bawacha Makao Makuu , DSM , ambapo wanawake wote wa Chadema wenye uwezo wanaombwa kuchangamkia nafasi hizo Muhimu na zenye heshima kubwa .
Form zinaanza kutolewa tarehe 25 february 2021 ambapo zoezi la kuchukua na kurejesha form hizo litadumu hadi tarehe 3 March 2021 saa 10 jioni .
View attachment 1711946
Mungu ibariki Chadema
Awape upande wa CCMNdugaye atajua
Rufaaa ipi waliteuliwa nanani ivi watu wengine akili zenu mnazipeleka wapi na mnamitizamo ipiWakishinda rufaa itakuwaje?mnaingia na matokeo ya rufaa mfukoni. Hawa wamama ni vichwa wa cdm nauona mpango wa mbowe kuiua cdm ukikamilika
Wewe endelea kuwaramba miguu wanao kupatia mkate wako wa kila sikuHivi mtu anasemaje eti walio saliti chama
Chadema hii ya kisanii? Yamkini kabisa kabisa wasaliti ni walio baki,ni vile tu waTanzania wengi ni vipofu
Safii sanaBaraza la wanawake wa Chadema ( BAWACHA ) , limetangaza rasmi kuanza mchakato wa kujaza nafasi za Wasaliti waliotimuliwa ndani ya Chama wakiongozwa na Halima Mdee .
Fomu za Kugombea nafasi hizo za uongozi wa Bawacha Taifa zinapatikana kwenye ofisi za Mikoa za Chadema , ofisi za Kanda zote na ofisi ya Bawacha Makao Makuu , DSM , ambapo wanawake wote wa Chadema wenye uwezo wanaombwa kuchangamkia nafasi hizo Muhimu na zenye heshima kubwa .
Form zinaanza kutolewa tarehe 25 february 2021 ambapo zoezi la kuchukua na kurejesha form hizo litadumu hadi tarehe 3 March 2021 saa 10 jioni .
View attachment 1711946
Mungu ibariki Chadema
Hawa wajinga sio wa kubishana nao tena Chadema ni kubwa kuliko mdee na wengine woteuzuri wake ni kwamba kwa sasa unaongoza kwa kudharauliwa hapa jf
Sio lazima. Baraza linaweza kuamua kuwasamehe bila kuwarudishia nyadhfa zao. Itakuwa unavyosema kama Baraza litaona kuwa hawakutendewa haki na Kamati Kuu na kutamka kuwa kufukuzwa kwao na adhabu nyingine walizopewa zilikuwa batili. Sidhani kama hili litatokea. Likitokea Kamati Kuu itabidi ijiuzuru. Kinachohitajika ni unyenyekevu kutoka waliokuwa wanachama wa CHADEMA na kukubali hukumu yeyote itakayotolewa dhidi yao. Ukimya wao hadi sasa unaelekea huko.Kisheria wakirudisiwa unachama, basi wanakuwa wamerudishiwa na haki zao zote walizokuwa nazo kabla ya kuvuliwa uanachama, ikiwa ni pamoja na nafasi za uongozi walizokuwa nazo wakati huo. Subira huko BAWACHA ilihitajika.
Kwani KATIBA ya Tanzania inasemaje?Kwa hiyo kina Mdee wanakuwa ni kina nani!!??
ni wabunge ama wageni wa bunge.....
hiki ni kituko cha karne
Habari ya uanachama wa Chadema kwa hawa wakina mama imekwisha na imefungwa , makosa waliyoyatenda ndani ya Chadema adhabu yake iko ndani ya katiba , hakuna namna yoyote ile ya hawa kurudi Chadema kupitia rufaa...katiba ya chadema hairuhusu mwanachama kukishitaki chama chao.
..zitto alifukuzwa kwasababu alifungua kesi dhidi ya chadema.
..hawa kina mama nia yao ni ubunge, siyo nafasi za uongozi ktk chama.
..wanachotakiwa ni kuwa wapole ili waendelee kuwa wanachama wa chadema.
Watagombea lini ?Kwani mtu akishakuwa mwanachama moja kwa moja si anakuwa na sifa za kugombea uongozi? liangalieni hili mnajichanganya sana CHADEMA.
Fyekelea mbali hao COVID-19!Baraza la wanawake wa Chadema (BAWACHA) , limetangaza rasmi kuanza mchakato wa kujaza nafasi za Wasaliti waliotimuliwa ndani ya Chama wakiongozwa na Halima Mdee.
Fomu za Kugombea nafasi hizo za uongozi wa Bawacha Taifa zinapatikana kwenye ofisi za Mikoa za Chadema, ofisi za Kanda zote na ofisi ya Bawacha Makao Makuu, DSM, ambapo wanawake wote wa Chadema wenye uwezo wanaombwa kuchangamkia nafasi hizo Muhimu na zenye heshima kubwa.
Form zinaanza kutolewa tarehe 25 february 2021 ambapo zoezi la kuchukua na kurejesha form hizo litadumu hadi tarehe 3 March 2021 saa 10 jioni.
Mungu ibariki Chadema
Sasa ccm mnalia nini ?Kwa hiyo Mbowe kadhamilia kuizika rasimi Chadema?