CHADEMA yatangaza uchaguzi wa kujaza nafasi za waliotimuliwa Bawacha

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
116,123
214,249
Baraza la wanawake wa Chadema (BAWACHA) , limetangaza rasmi kuanza mchakato wa kujaza nafasi za Wasaliti waliotimuliwa ndani ya Chama wakiongozwa na Halima Mdee.

Fomu za Kugombea nafasi hizo za uongozi wa Bawacha Taifa zinapatikana kwenye ofisi za Mikoa za Chadema, ofisi za Kanda zote na ofisi ya Bawacha Makao Makuu, DSM, ambapo wanawake wote wa Chadema wenye uwezo wanaombwa kuchangamkia nafasi hizo Muhimu na zenye heshima kubwa.

Form zinaanza kutolewa tarehe 25 february 2021 ambapo zoezi la kuchukua na kurejesha form hizo litadumu hadi tarehe 3 March 2021 saa 10 jioni.

IMG-20210225-WA0046.jpg

Mungu ibariki Chadema
 
Baraza la wanawake wa Chadema ( BAWACHA ) , limetangaza rasmi kuanza mchakato wa kujaza nafasi za Wasaliti waliotimuliwa ndani ya Chama wakiongozwa na Halima Mdee .

Fomu za Kugombea nafasi hizo za uongozi wa Bawacha Taifa zinapatikana kwenye ofisi za Mikoa za Chadema , ofisi za Kanda zote na ofisi ya Bawacha Makao Makuu , DSM , ambapo wanawake wote wa Chadema wenye uwezo wanaombwa kuchangamkia nafasi hizo Muhimu na zenye heshima kubwa .

Form zinaanza kutolewa tarehe 25 february 2021 ambapo zoezi la kuchukua na kurejesha form hizo litadumu hadi tarehe 3 March 2021 saa 10 jioni .

Mungu ibariki Chadema
Kwa hiyo kina Mdee wanakuwa ni kina nani!!??
ni wabunge ama wageni wa bunge.....
hiki ni kituko cha karne
 
Baraza la wanawake wa Chadema ( BAWACHA ) , limetangaza rasmi kuanza mchakato wa kujaza nafasi za Wasaliti waliotimuliwa ndani ya Chama wakiongozwa na Halima Mdee .

Fomu za Kugombea nafasi hizo za uongozi wa Bawacha Taifa zinapatikana kwenye ofisi za Mikoa za Chadema , ofisi za Kanda zote na ofisi ya Bawacha Makao Makuu , DSM , ambapo wanawake wote wa Chadema wenye uwezo wanaombwa kuchangamkia nafasi hizo Muhimu na zenye heshima kubwa .

Form zinaanza kutolewa tarehe 25 february 2021 ambapo zoezi la kuchukua na kurejesha form hizo litadumu hadi tarehe 3 March 2021 saa 10 jioni .

Mungu ibariki Chadema
Bawacha bado ipo?
 
37 Reactions
Reply
Back
Top Bottom