Cdm hatujawahi kukosea kwa bahati mbaya au makusudi.Baraza la wanawake wa Chadema ( BAWACHA ) , limetangaza rasmi kuanza mchakato wa kujaza nafasi za Wasaliti waliotimuliwa ndani ya Chama wakiongozwa na Halima Mdee .
Fomu za Kugombea nafasi hizo za uongozi wa Bawacha Taifa zinapatikana kwenye ofisi za Mikoa za Chadema , ofisi za Kanda zote na ofisi ya Bawacha Makao Makuu , DSM , ambapo wanawake wote wa Chadema wenye uwezo wanaombwa kuchangamkia nafasi hizo Muhimu na zenye heshima kubwa .
Form zinaanza kutolewa tarehe 25 february 2021 ambapo zoezi la kuchukua na kurejesha form hizo litadumu hadi tarehe 3 March 2021 saa 10 jioni .
View attachment 1711946
Mungu ibariki Chadema
Mungu wa kweli bado amesimama na cdmGood news! hatua moja mbele
Labda vichwa vya treni mlizo okota bandariniWakishinda rufaa itakuwaje?mnaingia na matokeo ya rufaa mfukoni. Hawa wamama ni vichwa wa cdm nauona mpango wa mbowe kuiua cdm ukikamilika
Na hawawezi kushinda kamwe maana hata watumie mamluki hawawezi tuuu wana cdm hatupo tayari kuwapokea wasalitikitu pekee ambacho kinaweza kutokea wakishinda rufaa ( japo hilo halipo ) ni kurejeshewa uanachama , si kurejeshewa uongozi
Ndito za wana lumumba wengi ni kuona cdm inakufa maana wabunge na viongozi wa cdm wamechangia pakubwa kuhakikisha kuwa wananchi hawaibiwi kwa hila chafu za wana lumumbachedema kufa ngumu hata Mbowe akihama
Tatizo huoni lkn pia unashindwa kutumia nukta nunduKwa hiyo kina Mdee wanakuwa ni kina nani!!??
ni wabunge ama wageni wa bunge.....
hiki ni kituko cha karne
MH MBOWE NI TUNU TULIYO PEWA NA MWENYEZI MUNGU KAMA TAIFA LA TANZANIA.Mwamba ni smart, historia itamkumbuka.
Maiti ni ndugu zako wooteTangu lini maiti ikafa
Kawaulize wanawake wenzakoBawacha bado ipo?
Kama wewe shemeji yako anaye kulisha bure anavyo kuona ni bureeeeeBawacha bila wabunge ni bure!
Mboga kama weweUnataka iwe mboga ya watu.ndugu mke umemchoka.
Kwa sasa Halima James Mdee ndio anawalipa mshahara Mbowe, Mnyika na Makene!Kama wewe shemeji yako anaye kulisha bure anavyo kuona ni bureeeee
Kwani hapo Ufipa kuna wanaume?Kawaulize wanawake wenzako
Achana na huyo bibi amechanganyikiwa sababu ya ugumu wa maisharuzuku za vyama zinaletwa na wabunge wa viti maalum ! kwahiyo kumbe mara zote humu tunabishana mtu ambaye kichwa chake ni kifuu ?
Kwani vyama vinaanza na wabunge? Ni aheri usiwe na wabunge kuliko kuishi na wasaliti.Bawacha bila wabunge ni bure!
Sio kweli maamuzi ya mkutano mkuu hayajafanyika bado wanachama halali na watambwaga Mbowe na kamati kuu yake mapema tu..hawatorudishiwa nyadhifa kwasababu nafasi zao zilijazwa wakati chama kikiwa hakiwatambui kuwa ni wanachama.
Wamekata rufaa wapi?Wakishinda rufaa itakuwaje?mnaingia na matokeo ya rufaa mfukoni. Hawa wamama ni vichwa wa cdm nauona mpango wa mbowe kuiua cdm ukikamilika
Hiyo haiondoi sifa yako kuuKwani hapo Ufipa kuna wanaume?
Mbona bungeni vinaonekana Vidume vya ACT wazalendo na Majike ya Chadema bwashee?!!