Ndoto: Kwani Samia ni mwanachama wa CHADEMA? Tatizo la watu wa aina yako ni kutegemea personalities zaidi ya kutegemea institutions! CCMni institution yenye structure imara: awepo Magufuli na Bashiru au awepo Kikwete na Kinana, CCM ni ile ile. ChHADEMA inategemea personalities sana. Bila Mbowe chadema ni kishney. Hata Lissu anaongea kwa kutegemea huruma za Mbowe tu. Angalia akina Mnyika walivyolalamika kuhusu viti maalum vya ubunge na leo hii wako kimya kama vile hakuna tatizo.Tulia basi utazame uhuni wetu unavyo waua kwa njaa maana sasa hivi hamna tena mtu wa kumramba miguu ili muuze umbea na fitina.
Mama Samia hana mpango wa kuhitaji waramba miguu kama nyinyi.Ndoto: Kwani Samia ni mwanachama wa CHADEMA? Tatizo la watu wa aina yako ni kutegemea personalities zaidi ya kutegemea institutions! CCMni institution yenye structure imara: awepo Magufuli na Bashiru au awepo Kikwete na Kinana, CCM ni ile ile. ChHADEMA inategemea personalities sana. Bila Mbowe chadema ni kishney. Hata Lissu anaongea kwa kutegemea huruma za Mbowe tu. Angalia akina Mnyika walivyolalamika kuhusu viti maalum vya ubunge na leo hii wako kimya kama vile hakuna tatizo.
Kwiiiiishaaaaa habari zenu nyinyi MATAGANdoto: Kwani Samia ni mwanachama wa CHADEMA? Tatizo la watu wa aina yako ni kutegemea personalities zaidi ya kutegemea institutions! CCMni institution yenye structure imara: awepo Magufuli na Bashiru au awepo Kikwete na Kinana, CCM ni ile ile. ChHADEMA inategemea personalities sana. Bila Mbowe chadema ni kishney. Hata Lissu anaongea kwa kutegemea huruma za Mbowe tu. Angalia akina Mnyika walivyolalamika kuhusu viti maalum vya ubunge na leo hii wako kimya kama vile hakuna tatizo.
Watu wa hooovyooo kabisaNdoto: Kwani Samia ni mwanachama wa CHADEMA? Tatizo la watu wa aina yako ni kutegemea personalities zaidi ya kutegemea institutions! CCMni institution yenye structure imara: awepo Magufuli na Bashiru au awepo Kikwete na Kinana, CCM ni ile ile. ChHADEMA inategemea personalities sana. Bila Mbowe chadema ni kishney. Hata Lissu anaongea kwa kutegemea huruma za Mbowe tu. Angalia akina Mnyika walivyolalamika kuhusu viti maalum vya ubunge na leo hii wako kimya kama vile hakuna tatizo.
Hiyo Vyama vya kwenye briefcase wacha tu vishirikiChademwa watazame upande mwingine, wakati wao wakisusa wengine wanashiriki hivyo kama kuna picha mbaya inaondoka kwa wapinzani wachache.
Watu wa hooovyooo kabisa
Kwiiiiishaaaaa habari zenu nyinyi MATAGA
Mama Samia hana mpango wa kuhitaji waramba miguu kama nyinyi.
Mlidekezwa na mwendazake.
Sasa hayupo mmeanza kuwayawaya hovyo kama ndege asiye na kiota.
Tulieni dawa iwaingie vyema.
Wanasusaga kula nyama ila mchuzi wanakunywa.CHADEMA Ni wababaishaji,kwani kutoshiriki kwao kutaathiri kipi ktk uchaguzi huo
Where is mr. Chairman?Chama cha CHADEMA kimesema hakitashiriki uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Muhambwe lililopo wilayani Kibondo Mkoa wa Kigoma.
Jimbo la Muhambwe liko wazi baada ya aliyekuwa mbunge Atashasta Nditiye kufariki dunia Februari 12, 2021 katika Hospitali ya Benjamin Mkapa mkoani Dodoma alikokuwa akipatiwa matibabu baada ya kupata ajali ya gari iliyotokea Februari 10, 2021 eneo la Nane Nane, mkoani humo.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi Aprili mosi, 2021 naibu katibu mkuu wa CHADEMA, Benson Kigaila amesema baada ya kikao cha kamati kuu kilichofanyika Machi 31, 2021 kwa njia ya mtandao wameazimia kutoshiriki uchaguzi huo kutokana na mazingira ya tume ya uchaguzi kutotenda haki.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeshatangaza kuwa uchaguzi katika jimbo hilo utafanyika Mei 2, 2021.
Tayari Chama cha Mapinduzi (CCM) kimemteua Florence Samizi kuwa mgombea wa nafasi ya ubunge katika jimbo hilo.
Chanzo: Mwananchi
Ndoto: Kwani Samia ni mwanachama wa CHADEMA? Tatizo la watu wa aina yako ni kutegemea personalities zaidi ya kutegemea institutions! CCMni institution yenye structure imara: awepo Magufuli na Bashiru au awepo Kikwete na Kinana, CCM ni ile ile. ChHADEMA inategemea personalities sana. Bila Mbowe chadema ni kishney. Hata Lissu anaongea kwa kutegemea huruma za Mbowe tu. Angalia akina Mnyika walivyolalamika kuhusu viti maalum vya ubunge na leo hii wako kimya kama vile hakuna tatizo.
Wananchi hawana huo uhuru wa kuchagua, kama ulisikiliza kauli ya mpango baada ya kuapishwa jana kuhusu uchaguzi wa marudio utakuwa umeligundua hilo.Yes.
Wananchi waachwe wachague wawakilishi wao sio tume ya uchaguzi na watendaji wake wawateulie wananchi watu wanaowataka wao, hizo zama zimepita.
Jimbo la Muhambwe wilaya ya Kibondo.Wilaya ya Kibondo au Buhigwe?