BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 328
- 414
Mbunge wa Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma Mhe. Dkt. Florence George Samizi amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuondoa adha ya muda mrefu ya Vijana na Wananchi wa Muhambwe kukosa Chuo cha Ufundi na hivyo kupata shida kupata mafunzo stadi hayo maeneo mengine.
Katika kuhakikisha watu wetu hawaendi nje ya Jimbo letu kufuata masomo ya ufundi stadi- VETA, tuliamua kulisemea hili kwa Serikali yetu siikivu na hatimaye kilio chetu kimesikilizwa na ujenzi umeanza mara moja wa chuo hichi cha VETA hapa Jimboni kwetu Muhambwe.
Tunaipongeza Serikali ya awamu ya sita chini yake Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali wana Muhambwe.
#MuhambweKaziInaendelea
Katika kuhakikisha watu wetu hawaendi nje ya Jimbo letu kufuata masomo ya ufundi stadi- VETA, tuliamua kulisemea hili kwa Serikali yetu siikivu na hatimaye kilio chetu kimesikilizwa na ujenzi umeanza mara moja wa chuo hichi cha VETA hapa Jimboni kwetu Muhambwe.
Tunaipongeza Serikali ya awamu ya sita chini yake Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali wana Muhambwe.
#MuhambweKaziInaendelea