Ukawa wanakula matapishi yao
Hatareeeeeee....
Upepo umepuliza ....mambo hadharani!!!
Siasa raha tupu!! wengine wanacheka mtaa wa saba matanga!!
anaharisha tangu janaNashukuru sana nililimwa Ban lakini imeisha leo asubuhi kukiwa na tukio kunwa la kitaifa ...Nape vipi u hali gani? Swalaaamaaaa
Mmiliki mpya wa chadema kutambulishwa rasmi kesho. Ataishia kuwa rais wa UKAWA nchi haiwezi kuwekwa rehani kwa majambazi hata siku moja.kafanikiwa kukinunuwa chadema lakini ikulu BIG NO
mkuu kuanzia saa kumi
Manyerere Jackton, tafadhali thibitisha huu mkutano utafanyika saa ngapi. Maana ulisema saa 3 asubuhi sasa tunakwenda ni saa 9 na robo mkutano bado tu? Na hii AZAM TV watarusha live kuanzia saa ngapi?
Tiba
Nashukuru sana nililimwa Ban lakini imeisha leo asubuhi kukiwa na tukio kunwa la kitaifa ...Nape vipi u hali gani? Swalaaamaaaa
TBC vipi, hawarushi matangazo hayo live?
Nenda Rombo green, au Mwika bar ama Deluxe zote zinamililkiwa na friends of lowassaNipo sinza wapi nikae ambapo wataonyesha maana kulikosa tukio hili itakuwa ni dhambi kwakweli
Nashukuru sana nililimwa Ban lakini imeisha leo asubuhi kukiwa na tukio kunwa la kitaifa ...Nape vipi u hali gani? Swalaaamaaaa
hahahaha unabati sana wewe. pole kwa BAN
Ukawa wanakula matapishi yao
Mmiliki mpya wa chadema kutambulishwa rasmi kesho. Ataishia kuwa rais wa UKAWA nchi haiwezi kuwekwa rehani kwa majambazi hata siku moja.kafanikiwa kukinunuwa chadema lakini ikulu BIG NO
Nape kijana wa kuropoka hovyo na kutoa vitisho vya kitoto. Alisema wote ambao wanalalamikia mchakato wa upatikanaji wa mgombea urais watashughulikiwa, sasa atamshughulikia nani? Lowassa? Kingunge? Napenda aingie katika vitabu vya Historia kwamba alichangia sana katika kukiangamiza chama cha Mapinduzi. Hovyo kabisa!Nashukuru sana nililimwa Ban lakini imeisha leo asubuhi kukiwa na tukio kunwa la kitaifa ...Nape vipi u hali gani? Swalaaamaaaa