tamimusalim
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 1,822
- 501
Kwa mujibu wa jamaa yangu wa karibu sana pale TBC1 ni kwamba tukio hilo litaonyeshwa LIVE bila chenga na kinara wa tiivii Tanzania TBC1 ifikapo saa kumi kamili tarehe mosi mwezi agosti. Hakikisha umelipia king'amuzi chako usikose uhondo huo.
Asante mkuu , humu jf ujinga mtupu nimepata majibu fb