Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,372
- 6,078
Nimeona viongozi mbalimbali wa CHADEMA wakitaka Tanzania iwekewe vikwazo baada ya kushindwa katika uchaguzi mkuu uliopita.
Mimi ninauhakika Tanzania haijafikia hatua ya kuwekewa vikwazo vya kiuchumi kwani hao wafadhili wanajua moja kwa moja mwananchi wa kawaida ndio atakayeumia na vikwazo hivyo.
Ni aibu kwa mtanzania kukimbilia Belgium na kuomba waliompigia kura kuwekewa vikwazo vya kiuchumi wakati yeye na familia wakila Bata huko. Tanzania kwanza tuache masuala ya vyama.
Mimi ninauhakika Tanzania haijafikia hatua ya kuwekewa vikwazo vya kiuchumi kwani hao wafadhili wanajua moja kwa moja mwananchi wa kawaida ndio atakayeumia na vikwazo hivyo.
Ni aibu kwa mtanzania kukimbilia Belgium na kuomba waliompigia kura kuwekewa vikwazo vya kiuchumi wakati yeye na familia wakila Bata huko. Tanzania kwanza tuache masuala ya vyama.