Prince Moola
Member
- Aug 21, 2013
- 87
- 98
Wacha kulialia rudisheni hela zawatu kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani CHADEMA imepigiwa jura na nani?Nimeona viongozi mbalimbali wa CHADEMA wakitaka Tanzania iwekewe vikwazo baada ya kushindwa katika uchaguzi mkuu uliopita.
Mimi ninauhakika Tanzania haijafikia hatua ya kuwekewa vikwazo vya kiuchumi kwani hao wafadhili wanajua moja kwa moja mwananchi wa kawaida ndio atakayeumia na vikwazo hivyo.
Ni aibu kwa mtanzania kukimbilia Belgium na kuomba waliompigia kura kuwekewa vikwazo vya kiuchumi wakati yeye na familia wakila Bata huko. Tanzania kwanza tuache masuala ya vyama.
Si viongozi tu wanaotaka.Hata sisi raia wa kawaida tuliofanywa wajinga kwa kupiga kura na kupigwa changa la macho.Nimeona viongozi mbalimbali wa CHADEMA wakitaka Tanzania iwekewe vikwazo baada ya kushindwa katika uchaguzi mkuu uliopita.
Mimi ninauhakika Tanzania haijafikia hatua ya kuwekewa vikwazo vya kiuchumi kwani hao wafadhili wanajua moja kwa moja mwananchi wa kawaida ndio atakayeumia na vikwazo hivyo.
Ni aibu kwa mtanzania kukimbilia Belgium na kuomba waliompigia kura kuwekewa vikwazo vya kiuchumi wakati yeye na familia wakila Bata huko. Tanzania kwanza tuache masuala ya vyama.
Wewe ulitakaje kwa mfano?Post zote 34 za waliotangulia kuchangia wamepingana na mleta mada!Wewe wa 35 ndiye umeungana na mleta mada!
Hii inamaana watanzania hawapendezwi na ukandamizwaji wa haki unaofanya na serikali ya CCM kwa kutumia dola!Wakulaumiwa hapa ni serikali ya CCM!
Mmetugawa sana wananchi,mnapandikiza chuki katika jamii!