CHADEMA mtimueni John Heche labda mseme hakuna accountability ndani ya chama

CHADEMA mtimueni John Heche labda mseme hakuna accountability ndani ya chama

instinct desire

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2026
Posts
1,618
Reaction score
1,227
Kuna shutuma za rushwa na matumizi mabaya ya resources ndani ya chadema, viongozi wa juu wanashutumiwa kujineemesha na misaada kutoka kwa mabeberu na zile donation za mitaani.

Heche anashutumiwa kwa ubadhirifu wa Hela za chama lakini bado tupo ofisini mpaka muda huu....hii ndo maana halisi ya Siasa za kitapeli.
 
Kuna shutuma za rushwa na matumizi mabaya ya resources ndani ya chadema, viongozi wa juu wanashutumiwa kujineemesha na misaada kutoka kwa mabeberu na zile donation za mitaani.

Heche anashutumiwa kwa ubadhirifu wa Hela za chama lakini bado tupo ofisini mpaka muda huu....hii ndo maana halisi ya Siasa za kitapeli.
Mnadhani mtaweza mliowafanyia Mbatia na Lipumba mtaweza kwa Chadema?
Endeleeni kutumia fedha za mauzo ya dhahabu Dubai za Muuaji Mkuu na mwanawe mkidhani mtafanikiwa,mkishamaliza kuwalipa Mwaipopo na Yona.
 
Kuna shutuma za rushwa na matumizi mabaya ya resources ndani ya chadema, viongozi wa juu wanashutumiwa kujineemesha na misaada kutoka kwa mabeberu na zile donation za mitaani.

Heche anashutumiwa kwa ubadhirifu wa Hela za chama lakini bado tupo ofisini mpaka muda huu....hii ndo maana halisi ya Siasa za kitapeli.
Mbona samia hajiuzulu punga wewe?
 
Kuna shutuma za rushwa na matumizi mabaya ya resources ndani ya chadema, viongozi wa juu wanashutumiwa kujineemesha na misaada kutoka kwa mabeberu na zile donation za mitaani.

Heche anashutumiwa kwa ubadhirifu wa Hela za chama lakini bado tupo ofisini mpaka muda huu....hii ndo maana halisi ya Siasa za kitapeli.
Omba wakutimue wewe hapo unpojibanza kwa shemeji yako. Ukitimliwa, huenda utaijiwa na mawazo ya kujitegemea, ukaondokewa na hii laana ya kutumiwa.
 
Kuna shutuma za rushwa na matumizi mabaya ya resources ndani ya chadema, viongozi wa juu wanashutumiwa kujineemesha na misaada kutoka kwa mabeberu na zile donation za mitaani.

Heche anashutumiwa kwa ubadhirifu wa Hela za chama lakini bado tupo ofisini mpaka muda huu....hii ndo maana halisi ya Siasa za kitapeli.
ninyi ndio mnaosababisha hata tusiopenda kutukana, tusikie kutukana. Mnatutendesha dhambi. Project zote za kisheitwani dhidi ya WATETEA haki mlifeli, hamjifunnzi kitu tu? bongo zenu zimejaa samadi ya nguruwe
 
Kuna shutuma za rushwa na matumizi mabaya ya resources ndani ya chadema, viongozi wa juu wanashutumiwa kujineemesha na misaada kutoka kwa mabeberu na zile donation za mitaani.

Heche anashutumiwa kwa ubadhirifu wa Hela za chama lakini bado tupo ofisini mpaka muda huu....hii ndo maana halisi ya Siasa za kitapeli.
Bilioni 40 za kagoda limited hakuna aliyesimamishwa wala kutimuliwa ndani ya CCM ambako kuna accountability.
R.I.P Benjamin Mkapa
 
Kuna shutuma za rushwa na matumizi mabaya ya resources ndani ya chadema, viongozi wa juu wanashutumiwa kujineemesha na misaada kutoka kwa mabeberu na zile donation za mitaani.

Heche anashutumiwa kwa ubadhirifu wa Hela za chama lakini bado tupo ofisini mpaka muda huu....hii ndo maana halisi ya Siasa za kitapeli.
mbaya zaidi,
John Heche anatumia fedha za chama mpaka kusuka mikeka na kubeti.

Inasikitisha sana na kwakweli inafedhehesha sana aise 🐒
 
Kuna shutuma za rushwa na matumizi mabaya ya resources ndani ya chadema, viongozi wa juu wanashutumiwa kujineemesha na misaada kutoka kwa mabeberu na zile donation za mitaani.

Heche anashutumiwa kwa ubadhirifu wa Hela za chama lakini bado tupo ofisini mpaka muda huu....hii ndo maana halisi ya Siasa za kitapeli.
tunajua mnalipwa kuandika takataka.
 
Kama aliyekili kuua watu zaidi ya mia tano kwenye Tume ya Jaji Chande bado yuko madarakani kwanini afukuzwe Heche?
 
Hii kauli ya Heche "hakuna maridhiano bila mpatanishi wa kimataifa" itakuwa imebinya jagina au ndulele za mama na mtoto huko Daslaam ndio maana vilio vimekuwa vingi.

CDM shikiliani hapohapo tuone nyeti zao.
 
Back
Top Bottom