CHADEMA mtimueni John Heche labda mseme hakuna accountability ndani ya chama

CHADEMA mtimueni John Heche labda mseme hakuna accountability ndani ya chama

Kuna shutuma za rushwa na matumizi mabaya ya resources ndani ya chadema, viongozi wa juu wanashutumiwa kujineemesha na misaada kutoka kwa mabeberu na zile donation za mitaani.

Heche anashutumiwa kwa ubadhirifu wa Hela za chama lakini bado tupo ofisini mpaka muda huu....hii ndo maana halisi ya Siasa za kitapeli.
Mtu ana tuhuma za Mauaji mbona hamumwambii akauntabiliti?
 
Kuna shutuma za rushwa na matumizi mabaya ya resources ndani ya chadema, viongozi wa juu wanashutumiwa kujineemesha na misaada kutoka kwa mabeberu na zile donation za mitaani.

Heche anashutumiwa kwa ubadhirifu wa Hela za chama lakini bado tupo ofisini mpaka muda huu....hii ndo maana halisi ya Siasa za kitapeli.
Ya chadema yanakuumiza kumbe.
 
Kuna shutuma za rushwa na matumizi mabaya ya resources ndani ya chadema, viongozi wa juu wanashutumiwa kujineemesha na misaada kutoka kwa mabeberu na zile donation za mitaani.

Heche anashutumiwa kwa ubadhirifu wa Hela za chama lakini bado tupo ofisini mpaka muda huu....hii ndo maana halisi ya Siasa za kitapeli.
Kwahiyo kila shutuma unatimua, wewe pia unazo shutuma, jiue.
 
Kuna shutuma za rushwa na matumizi mabaya ya resources ndani ya chadema, viongozi wa juu wanashutumiwa kujineemesha na misaada kutoka kwa mabeberu na zile donation za mitaani.

Heche anashutumiwa kwa ubadhirifu wa Hela za chama lakini bado tupo ofisini mpaka muda huu....hii ndo maana halisi ya Siasa za kitapeli.
Huu ni utapeli wa kisiasa, hapo bado hawajashika dola washaanza kudhulumiana, jee wakiwa na mamlala kamili itakuaje. Kiufupi wanasiasa wote mafisadi hakuna . Haya leo chadema na wenyewe na mafisadi. Hakuna wakuamini wote wezi. Kam chadema wanataka kujisafisha wafukuze wezi wao wote ndio tutawaamini na waseme hawadharani hao mafisadi
 
Kuna shutuma za rushwa na matumizi mabaya ya resources ndani ya chadema, viongozi wa juu wanashutumiwa kujineemesha na misaada kutoka kwa mabeberu na zile donation za mitaani.

Heche anashutumiwa kwa ubadhirifu wa Hela za chama lakini bado tupo ofisini mpaka muda huu....hii ndo maana halisi ya Siasa za kitapeli.
Pesa ziipi hizo mnazosema ametumia vibaya wkt hata ruzuku mmeinyima Chadema. Mbona ccm mnatumia vibaya Kodi za wananchi na huyo bi kizee hamtaki ajiuzulu na mnamlinda kwa gharama ya damu za watu? Shame on you!
 
Kuna shutuma za rushwa na matumizi mabaya ya resources ndani ya chadema, viongozi wa juu wanashutumiwa kujineemesha na misaada kutoka kwa mabeberu na zile donation za mitaani.

Heche anashutumiwa kwa ubadhirifu wa Hela za chama lakini bado tupo ofisini mpaka muda huu....hii ndo maana halisi ya Siasa za kitapeli.
Propaganda mfu sana hii. Jipangeni kivingine na hamtaiweza chadema. Wajinga nyie
 
Kuna shutuma za rushwa na matumizi mabaya ya resources ndani ya chadema, viongozi wa juu wanashutumiwa kujineemesha na misaada kutoka kwa mabeberu na zile donation za mitaani.

Heche anashutumiwa kwa ubadhirifu wa Hela za chama lakini bado tupo ofisini mpaka muda huu....hii ndo maana halisi ya Siasa za kitapeli.
Anakunyima amani eh! Na bado mtabweka sana ila hatoki kwa matakwa yenu bali kwa mujibu wa katiba ya cdm aliyoapa kwayo kuilinda na kuitii.
Hivi vijisenti mnavyopeana siyo zimetokana na mauzo ya dhahabu yetu kule BoT? Ole wenu tukute hakuna dhahabu kwenye kihenge chetu, mtazinya!
Heche kaza na kanyaga hivyohivyo usiachie hadi yakimbie nchi haya madhulumati na vijichawa uchwara vyao wanavyovifuga!
 
Back
Top Bottom