Mu7
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 1,654
- 2,002
Heche amewabana mpaka mikojo imewabana!! Hapo ndio mnatusaidia kutambua kuwa huyu ndiye anayetufaa. HECHE ALL THE WAY!!!!! Huraaaa..,...Kuna shutuma za rushwa na matumizi mabaya ya resources ndani ya chadema, viongozi wa juu wanashutumiwa kujineemesha na misaada kutoka kwa mabeberu na zile donation za mitaani.
Heche anashutumiwa kwa ubadhirifu wa Hela za chama lakini bado tupo ofisini mpaka muda huu....hii ndo maana halisi ya Siasa za kitapeli.