Huu ndio ukweli ninaowaeleza msije mkajichanganya mkagomea Bunge la awamu hii.
Nu kweli uchaguzi hakua wa haki lakini hampaswi kususia Bunge.
Kwasababu hata mkisusa hamta gain chochote mnatakiwa kufahamu watanzania bado hawajaamka na asilimia kubwa elimu ni tatizo so hata mkizira wao hawana mda na nyie.
Eacheni vichwa kama Halima Mdee, Suzan Kiwanga, Ester Bulaya. n.k
Waacheni wakapambane hata kama watakua peke yao, shujaa hakimbii vita
Mnafikiri mkisusia bunge baada ya hapo itasaidia nini?
Kazi kwenu sawa
Nu kweli uchaguzi hakua wa haki lakini hampaswi kususia Bunge.
Kwasababu hata mkisusa hamta gain chochote mnatakiwa kufahamu watanzania bado hawajaamka na asilimia kubwa elimu ni tatizo so hata mkizira wao hawana mda na nyie.
Eacheni vichwa kama Halima Mdee, Suzan Kiwanga, Ester Bulaya. n.k
Waacheni wakapambane hata kama watakua peke yao, shujaa hakimbii vita
Mnafikiri mkisusia bunge baada ya hapo itasaidia nini?
Kazi kwenu sawa