CHADEMA mkisusa kuteua Wabunge wa Viti Maalumu mtakuwa mmejimaliza wenyewe

Nyie msuse tu, Maalim Seif na cuf walisusa 2015 lakini serikali ya mapinduzi ya Zanzibar iliwapotezea ikaendelea kuwaletea maendeleo wananchi. Chadema hamna madhara mkisusa SHAURI YENU
 
Nyie msuse tu, Maalim Seif na cuf walisusa 2015 lakini serikali ya mapinduzi ya Zanzibar iliwapotezea ikaendelea kuwaletea maendeleo wananchi. Chadema hamna madhara mkisusa SHAURI YENU
Sasa shida yenu nini, endeleeni tu na Bunge lenu la CCM, safari hii mayowe ya ndiyoooo yatakuwa maradufu.
 
mnatakiwa kufahamu watanzania bado hawajaamka na asilimia kubwa elimu ni tatizo so hata mkizira wao hawana mda na nyie.
Mnaniudhi sana mnaosema Watanzania hawajaamka/ujinga unawasaidia CCM, nk; lugha kama hizi za kutudharau ndizo zinafanya tupunguze interest za kuwaunga mkono.

Hivi mnasahau kuwa ni sisi hawa hawa (wasioamka/wajinga) ndio tuliwaunga mkono chadema na kuwafanya wafikishe wabunge zaidi ya 40? Ina maana sasa tumekuwa hatujaamka au wajinga zaidi kuliko miaka 10 au 5 iliyopita?

Kwa kuamini kuwa sisi hatujaamka/wajinga ndo maana chadema wakajua kwetu bila sera yoyote ya maana wakiamini kuwa tutawachagua tu? Wanafanya personal political interests zao kuwa ndiyo mahitaji yetu wananchi!

Jifunzeni kuongea lugha za kuheshimu watu. Chama mnakiua wenyewe wala msitulaumu sisi.
 
Kuna watu wametumwa mitandaoni kushawishi Chadema wakubali kuwa walipata mbunge mmoja tu na kwamba sasa inabidi wapate hisani ya Viti maalum.
 
Baada ya Maalim kususia uchaguzi 2015, wanachama walichangia chama kwa uwezo wao. Mbona aliweza kukiendesha chama kwa miaka mitano bila ruzuku ya serikali.
Hujui kitu CUF ilikuwa inachukua ruzuku walifika Maalim na Lipumba wakagombana kwa sababu ya ruzuku.
 
Si ndiyo furaha Chadema ikijimaliza angalau hakuta kuwa na mahabusu wa kisiasa. Nunueni Champaign.
 
Naunga mkono hoja, Chadema, hapa walipo tayari they are half dead, wakisusa kutoa ushirikiano kwa Mbunge wao wa ngama, na kususia kuteua wabunge wa viti maalum, then kwa Chadema, that will be the final fenale, Chadema itakuwa finito, totally kwishney, their only place will be 6ft under!.


Watu tunakesha humu kuwaombea uteuzi, kumbe wenzetu wanapanga kususa!.

Hawajajifunza kilichowapata CUF na sasa ACT kususa ile 2016?.

Kama ni kususa, suseni ila msije kujuta...

P
 
Naunga mkono hoja, Chadema, hapa walipo tayari they are half dead, wakisusa kutoa ushirikiano kwa Mbunge wao wa ngama, na kususia kuteua wabunge wa viti maalum, then kwa Chadema, that will be the final fenale, Chadema itakuwa finito, totally kwishney, their only place will be 6ft under!.


Watu tunakesha humu kuwaombea uteuzi, kumbe wenzetu wanapanga kususa!.

Hawajajifunza kilichowapata CUF na sasa ACT kususa ile 2016?.

Kama ni kususa, suseni ila msije kujuta...

P
Itakufa kivipi?

Hata wakiamua kwenda Likizo, siku wakiibuka watatukuta wananchi tupo intact tunawasubiri kuendeleza harakati, maana upinzani ni idea, na wananchi wameshaikubali hiyo idea japo CCM inajaribu kuizima!

Hata kama ni kufa bora ife kuliko kusaliti wananchi!

Kama Chadema lengo kake ni ruzuku basi ikachukue hiyo ruzuku.

Ila kama vision yao ni pana na ina lengo ka kuchukua dola, hakuna sababu ya kuhalalisha kuibiwa kura, ipambane tupate mifumo bora kama haiwezi kupambana basi isiungane na adui kuwachapa wananchi!
 
Hamstahili hata kupata. Mbunge mmoja mtapataje viti maalum??
Kumbe umekua ukipiga kelele za siasa lakini siasa yenyewe huijui kiasi hiki. Ndiyo maana hata hoja za msingi wanazozitoa watu siyo rahisi ukazielewa, hujui kitu. Viti maalumu havitegemei idadi ya wabunge, vinategemea % ya kura za wabunge ambazo chama kimepata nchi nzima. CHADEMA kimepata zaidi ya 5% ni kama 13% hivi. Hivyo kina sifa ya kupata wabunge wa viti maalumu zaidi ya 15.
 
N
Nyinyi silimjiapiza kuua upinzani ifikapo 2020 , sasa nini tena mbaki peke yenu mdumishe fikira za mwenyekiti wa CCM wa kihutu, bangi za njombe na Arusha Kali Sana zinamdhulu mgonjwa wa bipolar disorder.
 
Back
Top Bottom