Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,303
- 12,962
Kwakuwa sasa mchakato wa kuwafukuza wale wanawake 19 waliopewa ubunge wa viti maalumu kinyume na taratibu umekamilika kwa Baraza kuu kutoa maamuzi, ni vema sasa CHADEMA ipeleke barua rasmi kwa Spika kuhusu maamuzi hayo na kisha uteue wabunge rasmi sasa wa viti maalumu kw kufuata taratibu za chama
Kwakuwa wanatambua kuwepo kwa serikali ndiyo maana hata Mwenyekiti alipofutiwa kesi yake alialikwa na Rais Ikulu na akaenda wakajadiliana naye.
Wasipo fanya hivyo tutaamini kuwa baadhi ya viongozi wana maslahi na wale wasaliti 19
Kwakuwa wanatambua kuwepo kwa serikali ndiyo maana hata Mwenyekiti alipofutiwa kesi yake alialikwa na Rais Ikulu na akaenda wakajadiliana naye.
Wasipo fanya hivyo tutaamini kuwa baadhi ya viongozi wana maslahi na wale wasaliti 19