mnyamiwono
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 708
- 71
Ujinga huu. Wajinga ndo waliwao
Sana!! Umewaacha wanaweweseka kwakuwa wao wanahemea buku saba nyuma ya pc za lumumba!
Bora huyo anaelipwa elf 7 anaendesha maisha yake kuliko wewe unaeishi kwa shemeji yako na kulala sebuleni huku ukishuhudia Dada anapigwa..
Badilikeni vijana mnaangamia wenzenu watoto wao wapo ulaya na America nyie watumia vibatari mnahangaika..period !!
Leo Msalani kunavuja kumefurikaaa
Mnuka dhiki wewe usiyejua hatima yàko ya kesho unichangie mie??
Mtoto Mzuri kama wewe kuanza kukashifu watu wa makamo kama mimi haipendezi. Kama una shida yeyote ni - PM usifuate huu mkumbo wa wahuni!
tutakuchangia jeneza..
mtoto mzuri kama Eliza hawezi kuhangsika na wanaopumuliwa..
mtoto mzuri kama Eliza hawezi kuhangsika na wanaopumuliwa..
Mtoto Mzuri kama wewe kuanza kukashifu watu wa makamo kama mimi haipendezi. Kama una shida yeyote ni - PM usifuate huu mkumbo wa wahuni!
Naskia wameongezewa baada ya Mwigulu kuzawadiwa unaibu waziri wa madafu. Hivi sasa wanalamba buku saba unusu.
MSALANI sidhani kama kashfa na matusi yatabadilisha hii positive kuwa negative. ...kwa ufupi watu wameamua hii ni sehemu ndogo tu. Tukiamua kuripoti kila kitu nadhani utalazwa mkuu
Mnuka dhiki wewe usiyejua hatima yàko ya kesho unichangie mie??
Hela ya kumnunulia kalamu mdogo wako inakushinda halafu unaenda kuchanga ili ujipenyeze kwa slaa huo ni ujinga dogo badilika
MSALANI sidhani kama kashfa na matusi yatabadilisha hii positive kuwa negative. ...kwa ufupi watu wameamua hii ni sehemu ndogo tu. Tukiamua kuripoti kila kitu nadhani utalazwa mkuu
Nitakuchangia tu dada yangu usijali