Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 29,514
- 42,648
Pole dada yangu kunywa maji sasa.Shinikizo la damu litakuua mama!
Ushachoka!!
Hoja zimekushinda unaanza viroja
Pole dada yangu kunywa maji sasa.Shinikizo la damu litakuua mama!
Kuna watu wanawazimu kweli! Yaani unatoa hela mfukoni kwa upuuzi huu wa siasa. Kweli Wajinga ndio waliwao.
Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
Ushachoka!!
Hoja zimekushinda unaanza viroja
Hivi mtu alazwe kwa ajili ya laki tano?
CCM tuna rasilimali za kutosha nchi nzima Leo tulazwe kwa michango ya mafukara?
Kila siku tunawapiga bao kwenye chaguzi tuumwe na nini sasa?
ACT taratibu wanakuja kuwafunika ili tupumzike na utoto wenu
Ushachoka!!
Hoja zimekushinda unaanza viroja
Wewe unaugua. Mna rasilimali gani zaidi ya udhulumat tu
Tunamdhulumu nani?
Tunasambaza ruzuku mpaka wilayani...
Tuna wafanyakazi waajiriwa mpaka ngazi ya kata Leo mtatuambia nini?
Wenzenu ruzuku wanaitafuna makao makuu halafu nyie mafukara mnakaa kichangishana vihela vya madafu mnachekesha!!!!
Unafikiri utapewa ubunge wa viti maalumu? Umeliwa!!
Nyie ni majambazi mnaojaribu kununua upendo wa Watanzania lakini washawachoka. Kinachowauma ni jinsi watu wanavyojitoa kwa chochote walichonacho.....tutaendelea tu hadi mpasuke
Ushachoka!!
Hoja zimekushinda unaanza viroja
Your intellect is below average. No matter how hard I try to make you understand the significance of today's contribution hutoelewa....too bad
ccm hawajawahi kuwa na hoja, umeshawahikushuhidia gari la kubeba kinyesi ikinukia perfume?
ccm ni gari la mavi wacha tupakie tu
Your intellect is below average. No matter how hard I try to make you understand the significance of today's contribution hutoelewa....too bad
Wasting ur time and calories to educate the stupid!
Wewe uchangie nini wakati wenzio wanatafuna ruzuku we unashindia dagaa tuu?
CCM ndo kimbilio la wastaarabu huko kwingine uhuni tuu
The good one is that everyone has put you in the ignore list
Mbona hii kitu imefanyika kimya kimya?
Naamini hakuna mtu aliyetengwa!
Wewe uchangie nini wakati wenzio wanatafuna ruzuku we unashindia dagaa tuu?
CCM ndo kimbilio la wastaarabu huko kwingine uhuni tuu
Thank goodness na wengine mmeliona hilo!