mandago shululu
Senior Member
- Mar 24, 2013
- 124
- 34
Wabunge wote wahamie Kalenga ili wawe mawakala na walinzi,viongozi wote wa chadema wa mkoa husika wawe Kalenga,viongozi walioko makao makuu wawe kalenga ili waweze kusambazwa na kupewa majukumu ya kulinda kura.Chonde chonde nawaomba sana Waziri mkuu pamoja na Rais watarajiwa wetu mlifanyie kazi jambo hili.Nawakumbushia ni ile issue niliyopost mwezi wa kwanza mwishoni,iliyokuwa inasema kwamba. "CHADEMA TUNAWAPIGANAJI NA WAPAMBANAJI WENGI ZAIDI YA MNAOWAFAHAMU" Katika posti hiyo nilisema kwamba,sasa hivi kila jimbo kunawatiania wa ubunge pamoja na udiwani ambao ni wazuri sana ambao waweza kuwa wazuri sana,kitu kinachotakiwa kufanywa ni kwamba ufanywe usahili wa kuwapima hao makamanda ili watakao onekana kuwa ni wazuri sana wapangiwe majukumu ili waweze kuingia kwenye mchakachaka wa Elimu ya uraia(civic education) na kwa maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa pamoja na uchaguzi mkuu 2015,mnaweza mkaamua hata kila mkoa kuchukua makamanda7 au kadri mtakavyoona,kama mkiamua kuchukua 7 na ukazidisha kwa mikoa 20 utapata makamanda 140 ambao wanaungana na makamanda waliopo kwa sasa ili kuweza kutawanywa kila kona ya nchi.Timu ya makamanda hawa inaweza ikachaguliwa jina lao kamili mfano wanaweza kuitwa TIKMATA lenye maana ya Timu ya Kusaka Mabadiriko Tanzania.Mbinu ambazo wanazitumia wenzetu tunazifahamu sana we have to be more creative and ponderble daily through learning and practice if not emitate what other side is doing,kwa mbinu hii chadema ushindi ni asubuhi sana.Tunamakamanda kama akina MAWAZO,LEMA,MNYIKA ,MDEE....... hawawezi kuhimili kuzunguka nchi kwa wakati mmoja,mfano katika uchaguzi mkuu 2015 kila mmoja atajikuta akitetea jimbo lake,kama hatutatafuta wapiganaji wengine kwa sasa tutajukuta tunakosa wapambanaji coz tunaowatumia kila siku nao watakuwa kwenye majimbo yao.Heri vita ya kusaka amani kuliko uhuru wa kuiba raslimali za Taifa.
Mandago 2015 Kwimba
mshululu@yahoo.com
Mandago 2015 Kwimba
mshululu@yahoo.com