Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,649
Chadema will keep getting our contributions!Lusingo it pains and shame on you
Hapana Babu Dark City bado sapoti inahitajika Chalinze inshallah tutafahamishana zaidi
Naskia wameongezewa baada ya Mwigulu kuzawadiwa unaibu waziri wa madafu. Hivi sasa wanalamba buku saba unusu.
Huna jipya mbeba box wewe..
Wajifanya mjuaji kumbe maskini tuu
Chuki zako kwa CCM hazitakusaidia
ila jamani hamjafanya fair, ifanyike fund raising humu jukwaani tupatiwe mpesa, tigo-pesa,airtel money nk tutunishe mfuko wa ukombozi Chalinze, hiyo laki 5 sio haba ila inaweza patikana kubwa zaidi
Hii kitu imewaumiza sana Lumumba, na bado wataumia sana,
Iniume nini wakati chama changing CCM kina nguvu nchi nzima?
I don't care..
Sio breadwinner wangu hata wewe ukitaka weka coz sijakufwata umejipendekeza mwenyewe..
Fukara kama wewe huna faida yoyote na wala sipo hapa kwa ajili yako..
Potezeaaaa
Reverse that
Unaliwa utu wako
Unaliwa akili yako
Sijui unaliwa na nini kingine tena.....very sad
....Yuko milestone kajianika !!!
Pamoja Makamanda In Chadema we Trust !!!!
ccm hawajawahi kuwa na hoja, umeshawahikushuhidia gari la kubeba kinyesi ikinukia perfume?
ccm ni gari la mavi wacha tupakie tu
Hah hah hah haa! Hela za Lumumba zinawatoa jasho jamaa hadi wanaona siku!
ila jamani hamjafanya fair, ifanyike fund raising humu jukwaani tupatiwe mpesa, tigo-pesa,airtel money nk tutunishe mfuko wa ukombozi Chalinze, hiyo laki 5 sio haba ila inaweza patikana kubwa zaidi
Hii kitu imewaumiza sana Lumumba, na bado wataumia sana,
Na kibaya zaid wanajiuliza Endapo na Makamanda wengine nao wakiamua kuingia kwenye huu utaratibu utakuaje kwao!!Kabisa mkuu, huko hawaamini kilichotokea,