hiyo nguvu ilikuwa wapi wakati wa chaguzi ndogomnywa viroba ni kingunge na nchemba hapa ni movement for changes umepwayaa bora utulie uone nguvu ya umma inavyofanya kazi
hiyo nguvu ilikuwa wapi wakati wa chaguzi ndogomnywa viroba ni kingunge na nchemba hapa ni movement for changes umepwayaa bora utulie uone nguvu ya umma inavyofanya kazi
Akamdanganya freelad siyo sisi SAA name pesa ya kula ni shida alafu unasema eti yeye na yeriko wametoa laki tano jamani jamani[/ ha ha nepi, anajineemesha we kutwa kuchwa unaangaika na cdm pole.
Safi sana CHADEMA,, wapiga kura wengi tupo humu mitandaoni,. Amin usiamin, kama CDM mnajidanganya kwamba mtakomboa nchi kwa kutumia mtandao mmekwisha. Nendeni vijijini huko ukiwauliza mtandao ni nini watakushangaa..
hiyo nguvu ilikuwa wapi wakati wa chaguzi ndogo
Bora huyo anaelipwa elf 7 anaendesha maisha yake kuliko wewe unaeishi kwa shemeji yako na kulala sebuleni huku ukishuhudia Dada anapigwa..
Badilikeni vijana mnaangamia wenzenu watoto wao wapo ulaya na America nyie watumia vibatari mnahangaika..period !!
Nakuonea huruma wewe unaeliaga kwa sauti huko kanisani kwenu eti yesu akuokoe na umaskini halafu hapa unatetea ujinga..
Imbecilic!!
Aliwazalo m.jinga ndilo litakalo mtokea. Pole sana, unalala sebuleni na jamaa anampa raha dadaako wewe unasikilizia!!? Pole sana. Ni matatizo ya CCM yaliyokukosesha elimu, sasa unaishia kulala kwa shemeji. Kwa hii dunia ya kikameruni, siku dada akiwa mwekundu jamaa hakuachi?
Hakuna mapenzi kwa ccm dada!! Chama kimeitafuna nchi mkafanywa maskini na sasa kinawatumia kwa buku sabasaba hapo Lumumba. Hata mwendawazimu haweziipenda ccm. Ndio maana mmepagawa kuona wenye mapenzi na cdm! Ni mambo mageni kwenu!
Mkuu Filipo matusi yako hapa JF yanareflect Muundo wa BAVICHA.
Pamoja sana
nami naomba kujiunga kwenye harakati za ukombozi kuwaondoa hawa ccm washenzi na wahuni wakubwa
siasa za mitandaoni ni tofauti sana kama ukiingia front line,na ndio maana unapofika wakati wa kura ndipo utaelewa na kuona madhara ya kuwa na matumaini kupitia mitandao ya kijamii,kwani kura hazipigwi kupitia mitandaoni na hapo ndipo utofauti unapokuja
hope mitandaoni tupo vyema,sasa ifike wakati mf. Chalinze,wanamitandao tuingie field,wale walio busy na hawana jinsi basi watuchangie
Acha kutukana na kukashifu Imani za watu wengine wewe! Uwe na adabu walao kwa dini za watu.
Wajinga ndio waliwao...