engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,149
- 1,441
leo umoja wa wanachadema wanaoendesha siasa zao kupitia mitandao ya kijamii wamekabidhi michango yao mbele ya viongozi wakuu wa chama hicho. Akizungumza na waandishi wa habari mwakilishi wa wanachadema hao bwana yericko nyerere amesema, "mara yakwanza zilipoanza kampeni za kalenga tulipenda kushiriki siasa za majukwaani moja kwa moja lakini walibuni njia mujarabu yakushiriki kikamilifu kwa kila mmoja kuchanga kiasi chochote alichonacho na kukileta kwenu viongozi ili kisaidie ushindi kalenga na chalinze. "ninawashukuru makamanda kwakujitolea kuchanga kiasi cha laki tano ambazo leo nitazikabidhi hapa, niwahakikishie wanahabari kuwa kalenga tutashinda, hilo halihitaji mjadala, sasa tunakwenda chalinze, tutahakikisha tunalibeba jimbo hilo kwakuwa tumempata mgombea imara kamanda mathayo"
nae mh john mrema ambe amepokea mchango huo kwa niaba ya katibu mkuu amepongeza juhudi za wanachama wanaohudumu siasa mitandaoni kwa kuwahimiza kupambana kukijenga chama na kukitetea bila kuchoka, kundi la wanachadema mitandaoni kupitia m4c pamoja daima ni mjumuiko wa makamanda wote wa chadema.
Cc
ben saanane, mungi, shark, masanilo, sweetlady, 'valentina', the name, crashwise, filipo, chadema kote, molemo, babu jitu na wengine wengi.....
View attachment 143994
siasa za mitandaoni ni tofauti sana kama ukiingia front line,na ndio maana unapofika wakati wa kura ndipo utaelewa na kuona madhara ya kuwa na matumaini kupitia mitandao ya kijamii,kwani kura hazipigwi kupitia mitandaoni na hapo ndipo utofauti unapokuja