CHADEMA yawatelekeza wagombea wao Kalenga na Chalinze

CHADEMA yawatelekeza wagombea wao Kalenga na Chalinze

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
56,752
Reaction score
46,271
Wanaukumbi.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepata lawama kutoka kwa wananchi wa maeneo yaliofanyika uchaguzi mdogo wa wabunge Chalinze na Kalenga.

Habari kutoka watu wa karibu wa hao wagombea walioshindwa Grace Tendega, na Mathayo Torongey, kuwa Chama kimewatelekeza.

Wagombea hao walionekana Makao Makuu ya Chadema Kinondoni mtaa wa Ufipa wakiwa wameongozana kwa pamoja kufuatilia pesa ambazo waliambiwa watapewa na chama kwa ajili ya kulipia madeni yalitokana na kampeni zao.

Wagombea hao wamerudi mikono mitupu baada ya kukaa siku nne bila msaada wowote kutoka kwa viongozi wa Chadema.

Chadema wakati mwingine jaribuni kuwa na ubinadamu japo kidogo wasaidieni wagombea wenu kama kushindwa mmeshindwa wote na kama wangeshinda sifa zingekwenda kwa Chadema.
 
Umbeya kitu kibaha sana Tendega yuko kazini , Mathayo anakushangaa kwani anakusanya ushahidi Chalinze wewe kutwa kuchwa ni majungu na umbeya tu........ka mtafute Kinana na Nnape boti ya TANAPA walivyo toka nayo Kigoma tangu asubuhi haijafika Katavi na Haijulikani ilipo......Kawasake wenzako Gombe
 
Wanaukumbi.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepata lawama kutoka kwa wananchi wa maeneo yaliofanyika uchaguzi mdogo wa wabunge Chalinze na Kalenga.

Habari kutoka watu wa karibu wa hao wagombea walioshindwa Grace Tendega, na Mathayo Torongey, kuwa Chama kimewatelekeza.

Wagombea hao walionekana Makao Makuu ya Chadema Kinondoni mtaa wa Ufipa wakiwa wameongozana kwa pamoja kufuatilia pesa ambazo waliambiwa watapewa na chama kwa ajili ya kulipia madeni yalitokana na kampeni zao.

Wagombea hao wamerudi mikono mitupu baada ya kukaa siku nne bila msaada wowote kutoka kwa viongozi wa Chadema.

Chadema wakati mwingine jaribuni kuwa na ubinadamu japo kidogo wasaidieni wagombea wenu kama kushindwa mmeshindwa wote na kama wangeshinda sifa zingekwenda kwa Chadema.
Kama hizi ndizo sampuli za viongozi tunaowapigia kura, basi Tanzania tuna hasara kubwa sana!
 
Hivi Siyoi Sumari yuko wapi? CCM wamemtelekeza hadi amerudia ile kazi yake kule Mombasa
 
Wanaukumbi.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepata lawama kutoka kwa wananchi wa maeneo yaliofanyika uchaguzi mdogo wa wabunge Chalinze na Kalenga.

Habari kutoka watu wa karibu wa hao wagombea walioshindwa Grace Tendega, na Mathayo Torongey, kuwa Chama kimewatelekeza.

Wagombea hao walionekana Makao Makuu ya Chadema Kinondoni mtaa wa Ufipa wakiwa wameongozana kwa pamoja kufuatilia pesa ambazo waliambiwa watapewa na chama kwa ajili ya kulipia madeni yalitokana na kampeni zao.

Wagombea hao wamerudi mikono mitupu baada ya kukaa siku nne bila msaada wowote kutoka kwa viongozi wa Chadema.

Chadema wakati mwingine jaribuni kuwa na ubinadamu japo kidogo wasaidieni wagombea wenu kama kushindwa mmeshindwa wote na kama wangeshinda sifa zingekwenda kwa Chadema.
Vipi madawa ya kulevya yamekuharibu ubongo? This is simply bull shit!
 
Wanaukumbi.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepata lawama kutoka kwa wananchi wa maeneo yaliofanyika uchaguzi mdogo wa wabunge Chalinze na Kalenga.

Habari kutoka watu wa karibu wa hao wagombea walioshindwa Grace Tendega, na Mathayo Torongey, kuwa Chama kimewatelekeza.

Wagombea hao walionekana Makao Makuu ya Chadema Kinondoni mtaa wa Ufipa wakiwa wameongozana kwa pamoja kufuatilia pesa ambazo waliambiwa watapewa na chama kwa ajili ya kulipia madeni yalitokana na kampeni zao.

Wagombea hao wamerudi mikono mitupu baada ya kukaa siku nne bila msaada wowote kutoka kwa viongozi wa Chadema.

Chadema wakati mwingine jaribuni kuwa na ubinadamu japo kidogo wasaidieni wagombea wenu kama kushindwa mmeshindwa wote na kama wangeshinda sifa zingekwenda kwa Chadema.

Sawa binti, vipi mumeo Nepi Nnaue hajambo?
 
Muleta mada angekuwa mzigo wangu ningeomba talaka Sabine kama ilivyo idadi ya Mahururani.......
 
Chadema kaeni chini na hawa wagombea wenu walipieni madeni walikuwa wanakipigania chama chenu.
 
Umbeya kitu kibaha sana Tendega yuko kazini , Mathayo anakushangaa kwani anakusanya ushahidi Chalinze wewe kutwa kuchwa ni majungu na umbeya tu........ka mtafute Kinana na Nnape boti ya TANAPA walivyo toka nayo Kigoma tangu asubuhi haijafika Katavi na Haijulikani ilipo......Kawasake wenzako Gombe
Hivi unajua kama mgombea wa Chadema Chalinze alikuwa anamiliki bucha tano sasa hivi kabakia na moja.
 
Kamanda! Hauna tusi jipya la kunitukana kila siku haya haya tu, nakupa ofa ukija na tusi jipya nakupa dola kumi serious.
Tatizo ukimuambia mtu ukweli hali wezi kuwa tusi , sasa Museveni yuko kwenye msako dhidi yako .....
 
Umbeya kitu kibaha sana Tendega yuko kazini , Mathayo anakushangaa kwani anakusanya ushahidi Chalinze wewe kutwa kuchwa ni majungu na umbeya tu........ka mtafute Kinana na Nnape boti ya TANAPA walivyo toka nayo Kigoma tangu asubuhi haijafika Katavi na Haijulikani ilipo......Kawasake wenzako Gombe

Naona umekuwa msemaji wa ChagaDema,
 
Umbeya kitu kibaha sana Tendega yuko kazini , Mathayo anakushangaa kwani anakusanya ushahidi Chalinze wewe kutwa kuchwa ni majungu na umbeya tu........ka mtafute Kinana na Nnape boti ya TANAPA walivyo toka nayo Kigoma tangu asubuhi haijafika Katavi na Haijulikani ilipo......Kawasake wenzako Gombe

Naona umekuwa msemaji wa Chama cha Wachaga.
 
mkuu ritz nakumbuka ktk kampeni nape alimnasihi sana huyo mgombea wa chadema kuwa unapoteza pesa zako bure na chalinze hautashinda uchaguzi.hapa wanamtaka riziwan utafilisika bure na badae chadema wakutelekeze uwe hela huna na ubunge umekosa. bora ujiachie akiba pesa zako utafanya biashara.hapo wakuu nanukuunamnukuu nape. angesikiliza huu ushauri huyo torongei maasai angebaki na pesa zake.
 
Wanaukumbi.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepata lawama kutoka kwa wananchi wa maeneo yaliofanyika uchaguzi mdogo wa wabunge Chalinze na Kalenga.

Habari kutoka watu wa karibu wa hao wagombea walioshindwa Grace Tendega, na Mathayo Torongey, kuwa Chama kimewatelekeza.

Wagombea hao walionekana Makao Makuu ya Chadema Kinondoni mtaa wa Ufipa wakiwa wameongozana kwa pamoja kufuatilia pesa ambazo waliambiwa watapewa na chama kwa ajili ya kulipia madeni yalitokana na kampeni zao.

Wagombea hao wamerudi mikono mitupu baada ya kukaa siku nne bila msaada wowote kutoka kwa viongozi wa Chadema.

Chadema wakati mwingine jaribuni kuwa na ubinadamu japo kidogo wasaidieni wagombea wenu kama kushindwa mmeshindwa wote na kama wangeshinda sifa zingekwenda kwa Chadema.

Wewe unazungumzia CHADEMA kuwatelekeza wagombea wake ubu angalia hizi picha jinsi CCM ilivyowatelekeza walioipigia KURA na kuifanya iwepo Madarakani kwa miaka zaidi ya 50.

Hospitali-Tanzania.jpg Mama na watoto.jpg shule tanzania.jpg Wanafunzi na kuni.JPG muhimbili2.jpg wachota maji.jpg watoto wa kijijini.jpg View attachment 151228 darasa.jpg Maisha bora kwa kila mtanzania.jpg
 
Ritz Kakikimbia hawezi ku comments hizo picha hapo juu, Magamba ndiyo zao wanatafuta vitu vidogovidogo vya uongo na kuvileta huku ili watanzania wasahau shida zao zilizosababishwa na Serikali ya ccm kwa zaidi ya miaka 50.
 
Back
Top Bottom