CHADEMA kuweni makini na mapokezi ya Lissu wakati huu wa msiba, mnafanya kosa la kiufundi, mtawapa watu mtaji wa kiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu

Salaam wakuu,

Maneno yangu ni machache sana kwa chama kikuu cha upinzani CHADEMA kuwa waachane haraka na mpango wao wa maandamano ya amani/ sherehe ya mapokezi ya mh Tundu A. Lissu siku ya jumatatu ya 27 jul 2020.

Ndugu zangu huu ni mtego ambao umejitokeza kwa bahati mbaya kwenye njia ya CHADEMA wanapaswa kuukwepa haraka iwezekanavyo, nchi ipo kwenye msiba wa kitaifa wa Rais mstaafu, tupo kwenye siku saba za maombolezo, nchi jirani mfano kwenye bendera zinapepea nusu mlingoti, viongozi wa mataifa mbalimbali watakuja hapa kuomboleza pamoja nasi n.k

Sasa kwa hali hii si sahihi kwa CHADEMA kufanya hayo mapokezi; mtakuwa mmefanya Jambo la kijinga na wengi watawadharau kabisa na mtapoteza Imani kwa watu wengi.

Kwenye sakata la kuondoka bungeni kujiweka karantini wakati wa kitisho cha COVID-19 tuliwashauri muachane na mpango ule hamkusikia na hatimae mkajitia aibu kubwa na kudharaulika kwa kiasi kikubwa sana, safari hii pia tunawashauri tena achaneni na huu mpango sio salama kwa ustawi wenu kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu mtapoteza wapiga kura wengi sana kwa sababu hili tukio.

Licha ya hayo mtasababisha mgawanyiko ndani ya Chama kwa wale ambao hawata kubaliana nanyi kuto kuhudhuria msibani badala yake kwenda kwenye mapokezi, ikiwa ubabe utatumika kwenye hili basi hakika Kuna watu watenda kuunga juhudi.

Shitukeni CHADEMA, achaneni na huu mpango mtawapa watu mtaji wa kisiasa bure. Tafakarini upya mkiwa kama CHAMA makini.

Natanguliza hongera zangu kwenu kama mtakuwa wasikivu.
Ushauri wako umeuharibu kwa kushindwa kuficha ushabiki wako.

Ngoja nikuulize swali:
Kwani umesikia CHADEMA wana mipango gani? Umekwishasikia uongozi wa CHADEMA ukisema lolote kuhusu jambo hili?
 
Huku mitaaani usiku kucha maccm yanasherehekea ushindi wa kura za maoni ya udiwani wala hawana habari ya msiba.
 
Huko nchi jirani hawajui alichokuwa anafanya huku ndani, hivyo ni haki yao kupeperusha bendera nusu mlingoti. Anayevaa kiatu ndio anajua kinapobania. Lisu atapokelewa kwa amani kabisa, na wala hakuna tatizo lolote. Watu wakiwa wengi ni vizuri, wakiwa wachache ni sawa pia. Cha muhimu wampokee kwa ustaarabu tu, wakijua kuna msiba wa kada wa ccm aliyewahi kuwa rais wa nchi hii. Lakini hakuwa na faida yoyote kwa cdm zaidi ya kuhakikisha wananyanyaswa ndani ya nchi hii.
LOoo, mkuu.
Marehemu alikuwa ni kiongozi wa nchi yetu sote.

Bila shaka yoyote, atakuwa alifanya makosa katika mengi kati ya aliyofanya akiwa kiongozi, lakini hilo halimuondolei sifa yake kuwa alikuwa kiongozi wetu sote, na sio wa CCM peke yake.

Mtizamo wangu ni huu: haya yanayotokea sasa ni ishara (hapana, sio ishara tena, bali ni ushahidi kamili), kwamba taifa letu limegawanyika sana, tumefarakana mno kutokana na uonevu na ukandamizaji unaofanywa na hawa viongozi na serikali za CCM.

Katika hali ya kawaida, msiba kama huu sote tungekuwa upande mmoja tukiomboleza kuondokewa na kiongozi wetu mstaafu.

Mapokezi ya Tundu Lissu (kwanza kumbuka sababu za mapokezi hayo. Kwa nini apokewe? Hili pekee ni jambo linaloweka mgawanyiko kati yetu.

CCM wanataka kutumia msiba kuzima mapokezi, ambayo ni wao walisababisha mapokezi yawepo. Kwa hiyo wana maslahi na watakuwa wanufaika kwa kutokuwepo kwa mapokezi hayo. Hii ndio sababu hawataki Tundu Lissu apokelewe, hata bila kujua mapokezi yamepangwa yawe vipi, baada ya msiba kutokea.

Sasa CCM wanatafuta njia za kuyavuruga mapokezi hayo kwa kisingizio cha msiba.

Watakwenda kuanzisha vurugu na kuua wapokeaji? Hilo ndilo wanalopanga kufanya, au ni vitisho?
 
Tuache na Mambo yetu hata chaguzi zetu tumesogeza mbele Tundu Ni muelewa atatafakari some Ni lini aje so lazima 27/7
 
Hawa watu umewasahau? Kelele nyingi na matusi mtandaoni tu. Kumbuka issue ya UKUTA, hakuna aliyetoka nje, issue kulinda kula ndani ya mita 100, hakuna aliyebaki kituoni, Maandamano ya Mange, nani aliingia mtaani? Amini usiamina, j3 hakuna atakaye toa pua nje eti anaenda Airport kumpokea mtu. Ukipenda pia kumbuka azimio la Zanzibar hivi liliishia wapi?
Naona wewe unachanganya mambo chungu nzima hata yasiyohusiana. Mfano ni hilo "Azimio la Zanzibar", lipi hilo?

Mbali ya kuchanganya huko, inaonekana kuwa mwenye kuridhika sana kwamba vitisho wanavyofanyiwa wapinzani vinaleta mafanikio chanya kwa upande wenu.

Kwa hiyo njia hiyo ndio sahihi ya kuendeleza mafanikio yenu?

Ukiwa mwenye busara, utalitafakari kwa makini swali hilo nililokuuliza.
 
LOoo, mkuu.
Marehemu alikuwa ni kiongozi wa nchi yetu sote.

Bila shaka yoyote, atakuwa alifanya makosa katika mengi kati ya aliyofanya akiwa kiongozi, lakini hilo halimuondolei sifa yake kuwa alikuwa kiongozi wetu sote, na sio wa CCM peke yake.

Mtizamo wangu ni huu: haya yanayotokea sasa ni ishara (hapana, sio ishara tena, bali ni ushahidi kamili), kwamba taifa letu limegawanyika sana, tumefarakana mno kutokana na uonevu na ukandamizaji unaofanywa na hawa viongozi na serikali za CCM.

Katika hali ya kawaida, msiba kama huu sote tungekuwa upande mmoja tukiomboleza kuondokewa na kiongozi wetu mstaafu.

Mapokezi ya Tundu Lissu (kwanza kumbuka sababu za mapokezi hayo. Kwa nini apokewe? Hili pekee ni jambo linaloweka mgawanyiko kati yetu.

CCM wanataka kutumia msiba kuzima mapokezi, ambayo ni wao walisababisha mapokezi yawepo. Kwa hiyo wana maslahi na watakuwa wanufaika kwa kutokuwepo kwa mapokezi hayo. Hii ndio sababu hawataki Tundu Lissu apokelewe, hata bila kujua mapokezi yamepangwa yawe vipi, baada ya msiba kutokea.

Sasa CCM wanatafuta njia za kuyavuruga mapokezi hayo kwa kisingizio cha msiba.

Watakwenda kuanzisha vurugu na kuua wapokeaji? Hilo ndilo wanalopanga kufanya, au ni vitisho?

Mkuu sijasema alikuwa kiongozi wa ccm pekee, nimesema alikuwa ni kada wa ccm aliyewahi kuwa rais wa nchi hii. Hata baada ya kustaafu aliendelea kuishi kwa itikadi yake ya kiccm, na alikuwa akipanda kwenye majukwaa ya kisiasa kueneza chuki dhidi ya wapinzani. Labda uniambie kuwa ninayosema sio kweli.
 
Salaam wakuu,

Maneno yangu ni machache sana kwa chama kikuu cha upinzani CHADEMA kuwa waachane haraka na mpango wao wa maandamano ya amani/ sherehe ya mapokezi ya mh Tundu A. Lissu siku ya jumatatu ya 27 jul 2020.

Ndugu zangu huu ni mtego ambao umejitokeza kwa bahati mbaya kwenye njia ya CHADEMA wanapaswa kuukwepa haraka iwezekanavyo, nchi ipo kwenye msiba wa kitaifa wa Rais mstaafu, tupo kwenye siku saba za maombolezo, nchi jirani mfano kwenye bendera zinapepea nusu mlingoti, viongozi wa mataifa mbalimbali watakuja hapa kuomboleza pamoja nasi n.k

Sasa kwa hali hii si sahihi kwa CHADEMA kufanya hayo mapokezi; mtakuwa mmefanya Jambo la kijinga na wengi watawadharau kabisa na mtapoteza Imani kwa watu wengi.

Kwenye sakata la kuondoka bungeni kujiweka karantini wakati wa kitisho cha COVID-19 tuliwashauri muachane na mpango ule hamkusikia na hatimae mkajitia aibu kubwa na kudharaulika kwa kiasi kikubwa sana, safari hii pia tunawashauri tena achaneni na huu mpango sio salama kwa ustawi wenu kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu mtapoteza wapiga kura wengi sana kwa sababu hili tukio.

Licha ya hayo mtasababisha mgawanyiko ndani ya Chama kwa wale ambao hawata kubaliana nanyi kuto kuhudhuria msibani badala yake kwenda kwenye mapokezi, ikiwa ubabe utatumika kwenye hili basi hakika Kuna watu watenda kuunga juhudi.

Shitukeni CHADEMA, achaneni na huu mpango mtawapa watu mtaji wa kisiasa bure. Tafakarini upya mkiwa kama CHAMA makini.

Natanguliza hongera zangu kwenu kama mtakuwa wasikivu.
Kaka nadhani ungeonekana mwelevu kama kichwa cha habari kingeanza na neno POLICCM..arafu ukaendelea na hayo mengine...hapo tu ndipo umefeli mtihani, ungerekebisha kidogo tu hiyo sentensi yako basi ungestahili tuzo ya kutoa andiko bora....
 
Salaam wakuu,

Maneno yangu ni machache sana kwa chama kikuu cha upinzani CHADEMA kuwa waachane haraka na mpango wao wa maandamano ya amani/ sherehe ya mapokezi ya mh Tundu A. Lissu siku ya jumatatu ya 27 jul 2020.

Ndugu zangu huu ni mtego ambao umejitokeza kwa bahati mbaya kwenye njia ya CHADEMA wanapaswa kuukwepa haraka iwezekanavyo, nchi ipo kwenye msiba wa kitaifa wa Rais mstaafu, tupo kwenye siku saba za maombolezo, nchi jirani mfano kwenye bendera zinapepea nusu mlingoti, viongozi wa mataifa mbalimbali watakuja hapa kuomboleza pamoja nasi n.k

Sasa kwa hali hii si sahihi kwa CHADEMA kufanya hayo mapokezi; mtakuwa mmefanya Jambo la kijinga na wengi watawadharau kabisa na mtapoteza Imani kwa watu wengi.

Kwenye sakata la kuondoka bungeni kujiweka karantini wakati wa kitisho cha COVID-19 tuliwashauri muachane na mpango ule hamkusikia na hatimae mkajitia aibu kubwa na kudharaulika kwa kiasi kikubwa sana, safari hii pia tunawashauri tena achaneni na huu mpango sio salama kwa ustawi wenu kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu mtapoteza wapiga kura wengi sana kwa sababu hili tukio.

Licha ya hayo mtasababisha mgawanyiko ndani ya Chama kwa wale ambao hawata kubaliana nanyi kuto kuhudhuria msibani badala yake kwenda kwenye mapokezi, ikiwa ubabe utatumika kwenye hili basi hakika Kuna watu watenda kuunga juhudi.

Shitukeni CHADEMA, achaneni na huu mpango mtawapa watu mtaji wa kisiasa bure. Tafakarini upya mkiwa kama CHAMA makini.

Natanguliza hongera zangu kwenu kama mtakuwa wasikivu.
Michezo ya ligi kuu inayovuta umati mkubwa wa watu inaendelea. Kuna shida gani kwa kumpokea mgojwa wao aliyepona? You are putting across a lame reason to justify the police's double standard behavior.
 
Kaka nadhani ungeonekana mwelevu kama kichwa cha habari kingeanza na neno POLICCM..arafu ukaendelea na hayo mengine...hapo tu ndipo umefeli mtihani, ungerekebisha kidogo tu hiyo sentensi yako basi ungestahili tuzo ya kutoa andiko bora....
Nianze na hilo neno ili kwamba nikufurahishe wewe?
 
LOoo, mkuu.
Marehemu alikuwa ni kiongozi wa nchi yetu sote.

Bila shaka yoyote, atakuwa alifanya makosa katika mengi kati ya aliyofanya akiwa kiongozi, lakini hilo halimuondolei sifa yake kuwa alikuwa kiongozi wetu sote, na sio wa CCM peke yake.

Mtizamo wangu ni huu: haya yanayotokea sasa ni ishara (hapana, sio ishara tena, bali ni ushahidi kamili), kwamba taifa letu limegawanyika sana, tumefarakana mno kutokana na uonevu na ukandamizaji unaofanywa na hawa viongozi na serikali za CCM.

Katika hali ya kawaida, msiba kama huu sote tungekuwa upande mmoja tukiomboleza kuondokewa na kiongozi wetu mstaafu.

Mapokezi ya Tundu Lissu (kwanza kumbuka sababu za mapokezi hayo. Kwa nini apokewe? Hili pekee ni jambo linaloweka mgawanyiko kati yetu.

CCM wanataka kutumia msiba kuzima mapokezi, ambayo ni wao walisababisha mapokezi yawepo. Kwa hiyo wana maslahi na watakuwa wanufaika kwa kutokuwepo kwa mapokezi hayo. Hii ndio sababu hawataki Tundu Lissu apokelewe, hata bila kujua mapokezi yamepangwa yawe vipi, baada ya msiba kutokea.

Sasa CCM wanatafuta njia za kuyavuruga mapokezi hayo kwa kisingizio cha msiba.

Watakwenda kuanzisha vurugu na kuua wapokeaji? Hilo ndilo wanalopanga kufanya, au ni vitisho?
Katika yote uliyo yasema naomba nikusahihishe kidogo tu kwamba nchi yetu bado haijawa na mgawanyiko wa namna hiyo kama unavyosema hapo, ila utofauti wa kiitikadi lazima uwepo kwenye taifa lolote lile duniani kwasababu watu hawawezi wakawa na mawazo yanayofafana.

Angalia hiyo kauli anayo toa hapo "kada wa ccm aliyewahi kuwa rais wa Tanzania" huyu ndio anae lazimisha tuamini kuwa kuna utengano jiulize Rais akipatikana kupitia Chadema je Wana ccm nao weseme hivyo? Anasema alikuwa akipanda kwenye majukwaa ya ccm! Sa alitaka afanyaje wakati ccm ndio Chama chake au alitaka ajitenge? ataacha vipi kujihusisha na Chama chake? Mfano huyo Tundu Lissu akitokea kashinda uchaguzi vipi tuje hapa kusema kuwa ajitenge na Chadema asionekane kwenye majukwaa yao?
 
Michezo ya ligi kuu inayovuta umati mkubwa wa watu inaendelea. Kuna shida gani kwa kumpokea mgojwa wao aliyepona? You are putting across a lame reason to justify the police's double standard behavior.
Yani unachukua mechi za ligi kuu unataka kuziweka kundi moja na matukio ya kiasa kama hayo?
 
Mtego kivipi, unataka kusema CCM mmemuua mkapa ili uwe mtego juu ya ujio wa Lisu? Au nyie mnatumia msiba wa mkapa ka mtaji wa kisiasa wa CCM.?

Kama ni mtego kwa nini mtumie kifo cha mkapa kua mtego kwa chadema?
Soma tena mada uelewe kisha rudi tena mkuu.
 
Hivi kwan marehem alikua anaundugu na mtoa mada?au kwan unataka kusema vifo vingine havisikitishi? mimi binafsi sikua na undugu nae wala hata sikuwah kumtakia heri ya siku yake kuzaliwa akiwa hai sasa ya nini kujipendekeza ingali na shughul zangu nyingine hu n unafiki uliotaradadi. Ngoja niendelee na mambo yangu nitafute ugali wangu.
 
Nianze na hilo neno ili kwamba nikufurahishe wewe?
MiMi ni nani mpaka unifurahishe....kawafurahishe waliokutuma kwanza...acha kupoteza mda umechemsha Mkuu..Wenzako wapo msibani wewe hata kusogelea uwanja wa Taifa tu hutakiwi maskini jitafakari
 
MiMi ni nani mpaka unifurahishe....kawafurahishe waliokutuma kwanza...acha kupoteza mda umechemsha Mkuu..Wenzako wapo msibani wewe hata kusogelea uwanja wa Taifa tu hutakiwi maskini jitafakari
Kwa comment hii ni dhahiri una tatizo fulani mkuu.
 
Back
Top Bottom