CHADEMA kuweni makini na mapokezi ya Lissu wakati huu wa msiba, mnafanya kosa la kiufundi, mtawapa watu mtaji wa kiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu

Tatizo lako ni kwamba chochote kitakachopangwa na Chadema kwako wewe kitakuwa kizuri tu. kama huoni kuwa kukusanyika uwanjani kwa mapokezi na nina hakika lazima zitakuwa ni kama sherehe tu naweza sema hivo na sina shaka hapatakosa mabango yenye jumbe tofauti tofauti huku wakati huo huo nchi ipo kwenye maomboleza bendera ziko nusu mlingoti basi utakuwa na matatizo fulani mkuu.
Unaposema kada wa ccm aliyewahi kuwa rais wa Tanzania unamaanisha nini? Inamaana siku wapinzani wakichukua nchi tutakuja pia tuseme kuwa mfano Mbowe ni kada wa Chadema ambaye ni rais wa Tanzania? Huoni kauli kama hizo zinamalengo ovu mkuu.

Ni kipi kimepangwa na cdm kikawa kizuri kwako au nyie? Wakati walipotaka kukusanyika ili kumuombea kulikuwa na msiba pia? Huu msiba mnataka kuutumia kama kificho, ila hata kama kusingekuwa na msiba, bado cdm wasingeruhusiwa kumpokea kwa shangwe. Nionyeshe post yako ambayo cdm wamefanyiwa ndivyo sivyo, kisha ww ukaanzisha uzi kuwa hawahafanyiwi sawa, ili nijue kuwa huwa unasimamia haki?

Narudia tena, Mkapa alikuwa ni kada wa ccm aliyewahi kuwa rais wa Tanzania. Ni wapi nimekosea hapo? Na alipostaafu kwenye urais, bado alikuwa akizunguka kwenye majukwaa vya ccm, kueneza siasa za chuki dhidi ya wapinzani. Hili wala hakulifanya kwa kificho. Nadhani una kifua kidogo cha kusikia ukweli usioupenda, ndio maana unapata tabu unapokutana na ukweli unaokera. Siku huyo Mbowe au yoyote akiwa rais, unaweza kusema ni kamanda wa Cdm aliyekuwa rais wa Tanzania, na utakuwa sahihi kabisa.

Usitake kunilazimisha kumuita mtu alikuwa rais wetu tu, huku nikiacha sifa yake nyingine ambayo hakuona aibu kujihusisha nayo, tena mara nyingi sifa hiyo ya ukada, aliitumia kwa namna hasi dhidi vya upinzani.
 
Ni kipi kimepangwa na cdm kikawa kizuri kwako au nyie? Wakati walipotaka kukusanyika ili kumuombea kulikuwa na msiba pia? Huu msiba mnataka kuutumia kama kificho, ila hata kama kusingekuwa na msiba, bado cdm wasingeruhusiwa kumpokea kwa shangwe. Nionyeshe post yako ambayo cdm wamefanyiwa ndivyo sivyo, kisha ww ukaanzisha uzi kuwa hawahafanyiwi sawa, ili nijue kuwa huwa unasimamia haki?

Narudia tena, Mkapa alikuwa ni kada wa ccm aliyewahi kuwa rais wa Tanzania. Ni wapi nimekosea hapo? Na alipostaafu kwenye urais, bado alikuwa akizunguka kwenye majukwaa vya ccm, kueneza siasa za chuki dhidi ya wapinzani. Hili wala hakulifanya kwa kificho. Nadhani una kifua kidogo cha kusikia ukweli usioupenda, ndio maana unapata tabu unapokutana na ukweli unaokera. Siku huyo Mbowe au yoyote akiwa rais, unaweza kusema ni kamanda wa Cdm aliyekuwa rais wa Tanzania, na utakuwa sahihi kabisa.

Usitake kunilazimisha kumuita mtu alikuwa rais wetu tu, huku nikiacha sifa yake nyingine ambayo hakuona aibu kujihusisha nayo, tena mara nyingi sifa hiyo ya ukada, aliitumia kwa namna hasi dhidi vya upinzani.
Uko sahihi mkuu Tindo , huwezi kuwa Rais wa nchi hii bila kuwa mwanachama wa chama cha siasa..mkapa alikuwa mwanaccm anayebusha hilo ni pimbi tu ...
 
Ni kipi kimepangwa na cdm kikawa kizuri kwako au nyie? Wakati walipotaka kukusanyika ili kumuombea kulikuwa na msiba pia? Huu msiba mnataka kuutumia kama kificho, ila hata kama kusingekuwa na msiba, bado cdm wasingeruhusiwa kumpokea kwa shangwe. Nionyeshe post yako ambayo cdm wamefanyiwa ndivyo sivyo, kisha ww ukaanzisha uzi kuwa hawahafanyiwi sawa, ili nijue kuwa huwa unasimamia haki?

Narudia tena, Mkapa alikuwa ni kada wa ccm aliyewahi kuwa rais wa Tanzania. Ni wapi nimekosea hapo? Na alipostaafu kwenye urais, bado alikuwa akizunguka kwenye majukwaa vya ccm, kueneza siasa za chuki dhidi ya wapinzani. Hili wala hakulifanya kwa kificho. Nadhani una kifua kidogo cha kusikia ukweli usioupenda, ndio maana unapata tabu unapokutana na ukweli unaokera. Siku huyo Mbowe au yoyote akiwa rais, unaweza kusema ni kamanda wa Cdm aliyekuwa rais wa Tanzania, na utakuwa sahihi kabisa.

Usitake kunilazimisha kumuita mtu alikuwa rais wetu tu, huku nikiacha sifa yake nyingine ambayo hakuona aibu kujihusisha nayo, tena mara nyingi sifa hiyo ya ukada, aliitumia kwa namna hasi dhidi vya upinzani.
Yako mengi tu ambayo sikukubaluana nayo katika nyanja tofauti tofauti na sina muda wa kukuaminisha. Tatizo lako ni kwamba kila siku unawashambulia wana ccm ukidai kuwa wanasifu na kuabudu kila kitu huku na wewe ukiwa na tatizo lile lile la kusifu na kuabudu kila kitu kinachotoka Chadema, yaani huna tofauti yoyote nao, tofauti pekee ilipo kuwa wewe ni Chadema na hawa wenzako nao ni ccm.

Sasa mbona hueleweki mkuu, wewe ulikuwa hutaki yeye kujihusisha na ccm wakati ndio Chama chake, ulikuwa hutaki aonekane kwenye majukwaa ya ccm kwani huo urais aliupata akiwa chama gani? Au alikuwa mgombea binafsi? narudia tena mfano siku Mbowe akiwa rais vipi ajitenge sasa na Chadema tusiwe tunamuona kwenye majukwaa ya Chadema?

Nakwambia hivi hata Rais atokee chama gani lakini bado hajondoi maana kuwa ni rais wa wote na sio wa chama fulani, najua unaelewa vizuri tu ila hizo itikadi zako ndio zinakupeleka vibaya kutaka kubadili ukweli kuwa uongo jambo ambalo haliwezekani kamwe.
 
Uko sahihi mkuu Tindo , huwezi kuwa Rais wa nchi hii bila kuwa mwanachama wa chama cha siasa..mkapa alikuwa mwanaccm anayebusha hilo ni pimbi tu ...
We nae naona ni wale wale tu sasa aliye bisha kwamba Mkapa hajihusishi na ccm ni nani? Soma vizuri hiyo comment hapo uone msimamo wa hoja yake ni upi mkuu usikurupuke.
 
Salaam wakuu,

Maneno yangu ni machache sana kwa chama kikuu cha upinzani CHADEMA kuwa waachane haraka na mpango wao wa maandamano ya amani/ sherehe ya mapokezi ya mh Tundu A. Lissu siku ya jumatatu ya 27 jul 2020.

Ndugu zangu huu ni mtego ambao umejitokeza kwa bahati mbaya kwenye njia ya CHADEMA wanapaswa kuukwepa haraka iwezekanavyo, nchi ipo kwenye msiba wa kitaifa wa Rais mstaafu, tupo kwenye siku saba za maombolezo, nchi jirani mfano kwenye bendera zinapepea nusu mlingoti, viongozi wa mataifa mbalimbali watakuja hapa kuomboleza pamoja nasi n.k

Sasa kwa hali hii si sahihi kwa CHADEMA kufanya hayo mapokezi; mtakuwa mmefanya Jambo la kijinga na wengi watawadharau kabisa na mtapoteza Imani kwa watu wengi.

Kwenye sakata la kuondoka bungeni kujiweka karantini wakati wa kitisho cha COVID-19 tuliwashauri muachane na mpango ule hamkusikia na hatimae mkajitia aibu kubwa na kudharaulika kwa kiasi kikubwa sana, safari hii pia tunawashauri tena achaneni na huu mpango sio salama kwa ustawi wenu kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu mtapoteza wapiga kura wengi sana kwa sababu hili tukio.

Licha ya hayo mtasababisha mgawanyiko ndani ya Chama kwa wale ambao hawata kubaliana nanyi kuto kuhudhuria msibani badala yake kwenda kwenye mapokezi, ikiwa ubabe utatumika kwenye hili basi hakika Kuna watu watenda kuunga juhudi.

Shitukeni CHADEMA, achaneni na huu mpango mtawapa watu mtaji wa kisiasa bure. Tafakarini upya mkiwa kama CHAMA makini.

Natanguliza hongera zangu kwenu kama mtakuwa wasikivu.

Hawa watu umewasahau? Kelele nyingi na matusi mtandaoni tu. Kumbuka issue ya UKUTA, hakuna aliyetoka nje, issue kulinda kula ndani ya mita 100, hakuna aliyebaki kituoni, Maandamano ya Mange, nani aliingia mtaani? Amini usiamina, j3 hakuna atakaye toa pua nje eti anaenda Airport kumpokea mtu. Ukipenda pia kumbuka azimio la Zanzibar hivi liliishia wapi?
 
Salaam wakuu,

Maneno yangu ni machache sana kwa chama kikuu cha upinzani CHADEMA kuwa waachane haraka na mpango wao wa maandamano ya amani/ sherehe ya mapokezi ya mh Tundu A. Lissu siku ya jumatatu ya 27 jul 2020.

Ndugu zangu huu ni mtego ambao umejitokeza kwa bahati mbaya kwenye njia ya CHADEMA wanapaswa kuukwepa haraka iwezekanavyo, nchi ipo kwenye msiba wa kitaifa wa Rais mstaafu, tupo kwenye siku saba za maombolezo, nchi jirani mfano kwenye bendera zinapepea nusu mlingoti, viongozi wa mataifa mbalimbali watakuja hapa kuomboleza pamoja nasi n.k

Sasa kwa hali hii si sahihi kwa CHADEMA kufanya hayo mapokezi; mtakuwa mmefanya Jambo la kijinga na wengi watawadharau kabisa na mtapoteza Imani kwa watu wengi.

Kwenye sakata la kuondoka bungeni kujiweka karantini wakati wa kitisho cha COVID-19 tuliwashauri muachane na mpango ule hamkusikia na hatimae mkajitia aibu kubwa na kudharaulika kwa kiasi kikubwa sana, safari hii pia tunawashauri tena achaneni na huu mpango sio salama kwa ustawi wenu kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu mtapoteza wapiga kura wengi sana kwa sababu hili tukio.

Licha ya hayo mtasababisha mgawanyiko ndani ya Chama kwa wale ambao hawata kubaliana nanyi kuto kuhudhuria msibani badala yake kwenda kwenye mapokezi, ikiwa ubabe utatumika kwenye hili basi hakika Kuna watu watenda kuunga juhudi.

Shitukeni CHADEMA, achaneni na huu mpango mtawapa watu mtaji wa kisiasa bure. Tafakarini upya mkiwa kama CHAMA makini.

Natanguliza hongera zangu kwenu kama mtakuwa wasikivu.

Mkapa kafa kwa CORONA, manina itawamaliza maana mlikuwa wote Dodoma. Mkufe tu na ccm yenu hadi raha
 
Ni kipi kimepangwa na cdm kikawa kizuri kwako au nyie? Wakati walipotaka kukusanyika ili kumuombea kulikuwa na msiba pia? Huu msiba mnataka kuutumia kama kificho, ila hata kama kusingekuwa na msiba, bado cdm wasingeruhusiwa kumpokea kwa shangwe. Nionyeshe post yako ambayo cdm wamefanyiwa ndivyo sivyo, kisha ww ukaanzisha uzi kuwa hawahafanyiwi sawa, ili nijue kuwa huwa unasimamia haki?

Narudia tena, Mkapa alikuwa ni kada wa ccm aliyewahi kuwa rais wa Tanzania. Ni wapi nimekosea hapo? Na alipostaafu kwenye urais, bado alikuwa akizunguka kwenye majukwaa vya ccm, kueneza siasa za chuki dhidi ya wapinzani. Hili wala hakulifanya kwa kificho. Nadhani una kifua kidogo cha kusikia ukweli usioupenda, ndio maana unapata tabu unapokutana na ukweli unaokera. Siku huyo Mbowe au yoyote akiwa rais, unaweza kusema ni kamanda wa Cdm aliyekuwa rais wa Tanzania, na utakuwa sahihi kabisa.

Usitake kunilazimisha kumuita mtu alikuwa rais wetu tu, huku nikiacha sifa yake nyingine ambayo hakuona aibu kujihusisha nayo, tena mara nyingi sifa hiyo ya ukada, aliitumia kwa namna hasi dhidi vya upinzani.

Aliyekufa alikuwa mtu mbaya sana mwache akapate anachositahili
 
Mkapa kafa kwa CORONA, manina itawamaliza maana mlikuwa wote Dodoma. Mkufe tu na ccm yenu hadi raha
Sasa wewe mbona unataka kuchekesha watu mkuu. Kama hiyo Corona ipo na inamaliza watu namna hiyo sasa kwanini mnapanga kwenda kukusanyika huko airport kwenye hayo mapokezi hamjui kuwa ndio mnaenda kujikaanga hapo? Si mngejifungia ndani kujikinga na hiyo Corona? Wakati mwingine fikiri kanza kabla ya ku comment.
 
Lissu anawasumbua Sana.Kwa nini hujasema CCM wasisitishe kura za maoni za udiwani?Kwa Nini hijazungumzia mechi za soka zinazoendelea hapo kesho Kama kawaida?Chili yako ninkuona Lissu hapokelewi kwa uZuri.Unafiki na wivu mwisho wake Ni wanga au uchawi,we jamaa utakuwa mchawi kwa mawazo Kama haya.Utakuja kula wanao bure.
 
Haahaa yaani makamanda wataunga juhudi kisa makamu mwenyekiti Wa chama kaenda kupolewa airport? Ni miongoni mwa ushauri Wa hovyo kabisa
 
Huko nchi jirani hawajui alichokuwa anafanya huku ndani, hivyo ni haki yao kupeperusha bendera nusu mlingoti. Anayevaa kiatu ndio anajua kinapobania. Lisu atapokelewa kwa amani kabisa, na wala hakuna tatizo lolote. Watu wakiwa wengi ni vizuri, wakiwa wachache ni sawa pia. Cha muhimu wampokee kwa ustaarabu tu, wakijua kuna msiba wa kada wa ccm aliyewahi kuwa rais wa nchi hii. Lakini hakuwa na faida yoyote kwa cdm zaidi ya kuhakikisha wananyanyaswa ndani ya nchi hii.
Bravo!!!
 
Mtego kivipi, unataka kusema CCM mmemuua mkapa ili uwe mtego juu ya ujio wa Lisu? Au nyie mnatumia msiba wa mkapa ka mtaji wa kisiasa wa CCM.?

Kama ni mtego kwa nini mtumie kifo cha mkapa kua mtego kwa chadema?
 
Waache wawape watu chakusema, yani we bendera zinapepea nusu mlingoti hadi nchi jirani, watu wanaacha shughuli zao za kitaifa kwenye nchi zao huko wanakuja hapa nchini alafu eti wewe mtanzania unaenda kufanya maandamano ya mapokezi.
Mkuu hivi mchakato wa Uchaguzi ndani ya CCM umesimamishwa?
 
Ushauri Kuntu...
Ushauri Maridhawa Kuliko....
Ushauri Adhimu........

Wanasema MKANYE AKIRUDI,AKENDA MWACHE...mtoa POST amefanya kinyume kwa kuwatakia WEMA...
Yeye anasema MKANYE AKENDA,AKIRUDI MWACHE....


AKILI KUMKICHWA...
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom