Mazishi ya Lowassa ni mtaji mzuri wa uchaguzi!

Ngongo

JF-Expert Member
Sep 20, 2008
18,930
31,172
Heshima sana wanajamvi,

Nimefuatilia mienendo ya msiba wa Mzee Lowassa kwa kiasi fulani na kubaini yafuatayo.

Mosi, watawala baada ya kugundua wameshindwa kuwapatia wananchi umeme wa uhakika, wameamua kuhamisha magoli makusudi kutuaminisha kwamba walimpenda, wanampenda na wataendelea kumpenda Hayati Lowassa.

Wanajua mara nyingi Watanzania hawana kumbukumbu nzuri, ni watu wepesi sana kusahau matendo yaliyotendeka miaka michahce iliyopita. Wanafikiri kwa kutumia msiba huu hakika WAMAASAI watasahau madhila wanayokumbana nayo huko Ngorongoro.

Wanajua Lowassa hakuwa Mmasai kwa asili lakini wanajua Lowassa kakulia, huko Masaini na amekuwa Mbunge wa Monduli kwa kipindi kirefu sana. Wanajua jamii ya Kimasai wanaheshima kubwa kwa Lowassa.

Mwaka 1995 Lowassa alikataliwa na Kamati kuu ya CCM kwa hoja ambazo mpaka umauti unamkuta hakuweza kuzipangua. Kama hilo halikutosha Mwaka 2015 Lowassa akajitosa katika mchakato wa kuwania nafasi ya Urais ndani ya CCM bado hakuweza kupenya kwa hoja zile zile za Mwaka 1995 tena zikaongezeka hoja nyingine nzito wakati akihudumu nafasi ya Waziri Mkuu.

Kwa ufupi sana tunafahamu Lowassa alijiunga CHADEMA baada ya kuenguliwa CCM. Zipo hoja nyingi kwamba katika uchaguzi ule Lowassa alishinda kwa kishindo kama ulivyo utaratibu wetu wa tume yetu ya uchaguzi wakafanya yao.Sishangai sana CHADEMA kudai tume huru ya uchaguzi, baada ya kubaini madudu yanayoendelea katika chaguzi zetu.

Mzee Lowassa atazikwa 17/02/2024, ninachokiona mpaka sasa Watawala wameamua kumtumia baada ya maigizo ya Makonda kuanza kuzua maswali mengi pasipo majibu.

Ni wazi tena pasipo shaka Watawala kuanzia awamu ya kwanza hawakumwamini Lowassa, walimtenga mbali na kiti cha Magogoni kwa HOJA nzito nzito. Lowassa hayupo tena lakini ana faida kubwa kipindi hiki kuelekea uchaguzi watamsifu, watamtukuza, watambandika majina mazuri mazuri kwakuwa hana madhara tena.

Watawala wanauza BANDARI, wanauza Ngorongoro, hawawezi kutuletea umeme wa uhakika, hakuna sukari, hali ya maisha inaendelea kupanda kila uchao, hawana majibu kwanini tusimtumie Lowassa!

Ngongo safarini Monduli.
 
Kuna mtu kapigwa Ngumi nzito Chali , kadondoka chini mpaka damu zinatoka puani na kavimba sura hii ni Fursa kwa Chadema.
 
umeme wa uhakika,hakuna sukari hali ya maisha inaendelea kupanda kila uchao hawana majibu kwanini tusimtumie Lowassa !.
Nukuu
1708004604138.png
 
Kuna mtu kapigwa Ngumi nzito Chali , kadondoka chini mpaka damu zinatoka puani na kavimba sura hii ni Fursa kwa Chadema.
Ndiyo watu wapunguze viherehere
Kukimbilia misafara
Bora ujikalie nyumbani tu

Ova
 
Heshima sana wanajamvi,

Nimefuatilia mienendo ya msiba wa Mzee Lowassa kwa kiasi fulani na kubaini yafuatayo.

Mosi, watawala baada ya kugundua wameshindwa kuwapatia wananchi umeme wa uhakika, wameamua kuhamisha magoli makusudi kutuaminisha kwamba walimpenda, wanampenda na wataendelea kumpenda Hayati Lowassa.

Wanajua mara nyingi Watanzania hawana kumbukumbu nzuri, ni watu wepesi sana kusahau matendo yaliyotendeka miaka michahce iliyopita. Wanafikiri kwa kutumia msiba huu hakika WAMAASAI watasahau madhila wanayokumbana nayo huko Ngorongoro.

Wanajua Lowassa hakuwa Mmasai kwa asili lakini wanajua Lowassa kakulia, huko Masaini na amekuwa Mbunge wa Monduli kwa kipindi kirefu sana. Wanajua jamii ya Kimasai wanaheshima kubwa kwa Lowassa.

Mwaka 1995 Lowassa alikataliwa na Kamati kuu ya CCM kwa hoja ambazo mpaka umauti unamkuta hakuweza kuzipangua. Kama hilo halikutosha Mwaka 2015 Lowassa akajitosa katika mchakato wa kuwania nafasi ya Urais ndani ya CCM bado hakuweza kupenya kwa hoja zile zile za Mwaka 1995 tena zikaongezeka hoja nyingine nzito wakati akihudumu nafasi ya Waziri Mkuu.

Kwa ufupi sana tunafahamu Lowassa alijiunga CHADEMA baada ya kuenguliwa CCM. Zipo hoja nyingi kwamba katika uchaguzi ule Lowassa alishinda kwa kishindo kama ulivyo utaratibu wetu wa tume yetu ya uchaguzi wakafanya yao.Sishangai sana CHADEMA kudai tume huru ya uchaguzi, baada ya kubaini madudu yanayoendelea katika chaguzi zetu.

Mzee Lowassa atazikwa 17/02/2024, ninachokiona mpaka sasa Watawala wameamua kumtumia baada ya maigizo ya Makonda kuanza kuzua maswali mengi pasipo majibu.

Ni wazi tena pasipo shaka Watawala kuanzia awamu ya kwanza hawakumwamini Lowassa, walimtenga mbali na kiti cha Magogoni kwa HOJA nzito nzito. Lowassa hayupo tena lakini ana faida kubwa kipindi hiki kuelekea uchaguzi watamsifu, watamtukuza, watambandika majina mazuri mazuri kwakuwa hana madhara tena.

Watawala wanauza BANDARI, wanauza Ngorongoro, hawawezi kutuletea umeme wa uhakika, hakuna sukari, hali ya maisha inaendelea kupanda kila uchao, hawana majibu kwanini tusimtumie Lowassa!

Ngongo safarini Monduli.
We ni bwege tu, upuuzwe
 
Heshima sana wanajamvi,

Nimefuatilia mienendo ya msiba wa Mzee Lowassa kwa kiasi fulani na kubaini yafuatayo.

Mosi, watawala baada ya kugundua wameshindwa kuwapatia wananchi umeme wa uhakika, wameamua kuhamisha magoli makusudi kutuaminisha kwamba walimpenda, wanampenda na wataendelea kumpenda Hayati Lowassa.

Wanajua mara nyingi Watanzania hawana kumbukumbu nzuri, ni watu wepesi sana kusahau matendo yaliyotendeka miaka michahce iliyopita. Wanafikiri kwa kutumia msiba huu hakika WAMAASAI watasahau madhila wanayokumbana nayo huko Ngorongoro.

Wanajua Lowassa hakuwa Mmasai kwa asili lakini wanajua Lowassa kakulia, huko Masaini na amekuwa Mbunge wa Monduli kwa kipindi kirefu sana. Wanajua jamii ya Kimasai wanaheshima kubwa kwa Lowassa.

Mwaka 1995 Lowassa alikataliwa na Kamati kuu ya CCM kwa hoja ambazo mpaka umauti unamkuta hakuweza kuzipangua. Kama hilo halikutosha Mwaka 2015 Lowassa akajitosa katika mchakato wa kuwania nafasi ya Urais ndani ya CCM bado hakuweza kupenya kwa hoja zile zile za Mwaka 1995 tena zikaongezeka hoja nyingine nzito wakati akihudumu nafasi ya Waziri Mkuu.

Kwa ufupi sana tunafahamu Lowassa alijiunga CHADEMA baada ya kuenguliwa CCM. Zipo hoja nyingi kwamba katika uchaguzi ule Lowassa alishinda kwa kishindo kama ulivyo utaratibu wetu wa tume yetu ya uchaguzi wakafanya yao.Sishangai sana CHADEMA kudai tume huru ya uchaguzi, baada ya kubaini madudu yanayoendelea katika chaguzi zetu.

Mzee Lowassa atazikwa 17/02/2024, ninachokiona mpaka sasa Watawala wameamua kumtumia baada ya maigizo ya Makonda kuanza kuzua maswali mengi pasipo majibu.

Ni wazi tena pasipo shaka Watawala kuanzia awamu ya kwanza hawakumwamini Lowassa, walimtenga mbali na kiti cha Magogoni kwa HOJA nzito nzito. Lowassa hayupo tena lakini ana faida kubwa kipindi hiki kuelekea uchaguzi watamsifu, watamtukuza, watambandika majina mazuri mazuri kwakuwa hana madhara tena.

Watawala wanauza BANDARI, wanauza Ngorongoro, hawawezi kutuletea umeme wa uhakika, hakuna sukari, hali ya maisha inaendelea kupanda kila uchao, hawana majibu kwanini tusimtumie Lowassa!

Ngongo safarini Monduli.
CCM ilimfanyia Hayati Lowassa mambo 4 mambo ambayo haikuwa hata siku moja kimwomba Msamaha
1 Walimsingizia kuhusika na kampuni ya Richmond kumbe leo ni kumpokonya Uwaziri mkuu
2.Ccm walimkata Lowassa kugombea Urais kupitia ccm kinyume na katiba ya ccm
3.CCM walipokonya kura za Lowassa za Urais uchaguzi mkuu 2015 licha ya kumshinda magufuli lakini Mfumo na bao la mkono la masaki vilitumika
4 Ccm kupitia kina Msukuma NAPE Selina Kombani Walimtukana san Lowassa lakini hakuna hata siku walimwomba msamaha.Ccm kuubeba msiba wa Lowassa na kuibagua Chadema chams kilichomkota Lowassa jalalani alikotupwa na ccm na kumpa Heshima kubwa ya kuwa mgombea wao URAIS ni heshima kwa Chadema na Dharau kwa ccm.
 
Back
Top Bottom